Usajili wa Mamilioni Simba wapigwa Stop
![](http://api.ning.com:80/files/Y4MVF3b94yIXIyC531WATh7r6n8YU2pYXN5QOKUTude3m1PavRLBnaD3GphiMPSLzidm6V0l-eWAVWx0UBc6JpIWJ0-NVI2G/simba.gif?width=650)
Kikosi cha timu ya Simba SC. Na Hans Mloli MIKAKATI mingi katika kipindi hiki cha usajili mkali na wa umakini zaidi kwa ajili ya msimu ujao inaendele na sasa Simba wamekubaliana kutofanya tena usajili wa gharama wa mamilioni ya shilingi kutokana na sababu mbalimbali. Mpaka sasa Simba haijafanya usajili wa mchezaji yeyote zaidi ya kuwatema baadhi ya wachezaji wao huku ikielezwa kuwa, lengo lao ni kufanya usajili wa siri mno na...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi11 Aug
Kocha wa Simba apiga ‘stop’ usajili
10 years ago
Mwananchi21 Aug
Mawaziri wapigwa ‘stop’ ziara za JK
10 years ago
Tanzania Daima09 Nov
Tambaza wapigwa ‘stop’ Kinondoni
MEYA wa Manispaa ya Kinondoni Yusuph Mwenda, amesema manispaa hiyo haiwatambui, watu wa Kampuni ya Udalali ya Tambaza wanaofanya kazi ya kuwatapeli wananchi katika Manispaa hiyo. Alisema kimsingi mkataba wa...
10 years ago
Mwananchi18 Sep
Waandishi wa habari za Bunge wapigwa ‘stop’
11 years ago
Tanzania Daima02 May
Wenyeviti wa vijiji Bukoba wapigwa ‘stop’
WENYEVITI wa vijiji na vitongoji katika Halmashauri ya Bukoba wamezuiwa kugawa au kuuza ardhi kwa wananchi kinyume na sheria. Amri hiyo imetolewa jana na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Bukoba, Kapteni...
10 years ago
Mtanzania06 Jun
Matajiri wapigwa stop urais CCM
ELIZABETH MJATTA (DAR) NA DEBORA SANJA (DODOMA)
SIKU chache baada ya Watendaji Wakuu wa Kampuni Binafsi nchini (CEO,s RoundTable) kutoa matangazo ya kufanya mdahalo na makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliochukua fomu ya kuwania urais, ili kuwapima kupitia mjadala huo ambao pamoja na mambo mengine ungejadili maslahi mapana yanayohusu uchumi, chama hicho kimepiga marufuku wanachama wake hao kujihusisha katika midahalo yoyote ile.
Kabla ya kupigwa marufuku, matangazo yaliyokuwa yakitolewa...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-7TqmZ_9E_ss/XrvoW85F2iI/AAAAAAALqEc/QBxGMtsZRuk-wEzaH6GEmJpNcmViSpPgwCLcBGAsYHQ/s72-c/PAZURI.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima04 Jan
UDA wapigwa ‘stop’ kuendeleza ujenzi Mbagala
SAKATA la mzozo wa ardhi kati ya Kampuni ya Usafirishaji Dar es Salaam (UDA) inayomilikiwa na Robert Kisena na mfanyabiashara Alex Msama limeingia katika hatua mpya baada ya Kamati ya...
9 years ago
Mwananchi08 Sep
Polisi Jamii wapigwa ‘stop’ kufanya kazi ya trafiki