Matajiri wapigwa stop urais CCM
ELIZABETH MJATTA (DAR) NA DEBORA SANJA (DODOMA)
SIKU chache baada ya Watendaji Wakuu wa Kampuni Binafsi nchini (CEO,s RoundTable) kutoa matangazo ya kufanya mdahalo na makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliochukua fomu ya kuwania urais, ili kuwapima kupitia mjadala huo ambao pamoja na mambo mengine ungejadili maslahi mapana yanayohusu uchumi, chama hicho kimepiga marufuku wanachama wake hao kujihusisha katika midahalo yoyote ile.
Kabla ya kupigwa marufuku, matangazo yaliyokuwa yakitolewa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi21 Aug
Mawaziri wapigwa ‘stop’ ziara za JK
10 years ago
Tanzania Daima09 Nov
Tambaza wapigwa ‘stop’ Kinondoni
MEYA wa Manispaa ya Kinondoni Yusuph Mwenda, amesema manispaa hiyo haiwatambui, watu wa Kampuni ya Udalali ya Tambaza wanaofanya kazi ya kuwatapeli wananchi katika Manispaa hiyo. Alisema kimsingi mkataba wa...
10 years ago
Mwananchi18 Sep
Waandishi wa habari za Bunge wapigwa ‘stop’
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y4MVF3b94yIXIyC531WATh7r6n8YU2pYXN5QOKUTude3m1PavRLBnaD3GphiMPSLzidm6V0l-eWAVWx0UBc6JpIWJ0-NVI2G/simba.gif?width=650)
Usajili wa Mamilioni Simba wapigwa Stop
11 years ago
Tanzania Daima02 May
Wenyeviti wa vijiji Bukoba wapigwa ‘stop’
WENYEVITI wa vijiji na vitongoji katika Halmashauri ya Bukoba wamezuiwa kugawa au kuuza ardhi kwa wananchi kinyume na sheria. Amri hiyo imetolewa jana na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Bukoba, Kapteni...
11 years ago
Tanzania Daima04 Jan
UDA wapigwa ‘stop’ kuendeleza ujenzi Mbagala
SAKATA la mzozo wa ardhi kati ya Kampuni ya Usafirishaji Dar es Salaam (UDA) inayomilikiwa na Robert Kisena na mfanyabiashara Alex Msama limeingia katika hatua mpya baada ya Kamati ya...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-7TqmZ_9E_ss/XrvoW85F2iI/AAAAAAALqEc/QBxGMtsZRuk-wEzaH6GEmJpNcmViSpPgwCLcBGAsYHQ/s72-c/PAZURI.jpg)
9 years ago
Mwananchi08 Sep
Polisi Jamii wapigwa ‘stop’ kufanya kazi ya trafiki
10 years ago
Habarileo10 Jul
Mwenyekiti wa CCM aonya kutegemea matajiri
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Jakaya Kikwete amesema kitendo cha kutumia matajiri kama vyanzo vya mapato, kunadhalilisha chama hicho na haiwezi kuendelea kuvumiliwa.