Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mawaziri wapigwa ‘stop’ ziara za JK

Katika kile kinachoonekana kutaka mawaziri washiriki vikao vya kamati za Bunge la Katiba ili kukidhi matakwa ya akidi, Rais Jakaya Kikwete amesema hakuna ulazima wa mawaziri kuambatana naye kwenye ziara zake mikoani, badala yao wawepo makatibu wakuu wa wizara kama wanahitajika.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Tambaza wapigwa ‘stop’ Kinondoni

MEYA wa Manispaa ya Kinondoni Yusuph Mwenda, amesema manispaa hiyo haiwatambui, watu wa Kampuni ya Udalali ya Tambaza wanaofanya kazi ya kuwatapeli wananchi katika Manispaa hiyo. Alisema kimsingi mkataba wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Waandishi wa habari za Bunge wapigwa ‘stop’

Waandishi wa habari za Bunge la Katiba wamezuiwa kuingia ndani ya viwanja vya Bunge wakati semina ya wajumbe wa Bunge hilo Maalumu zikiendelea

 

10 years ago

Mtanzania

Matajiri wapigwa stop urais CCM

Mohamme+Seif+KhatibELIZABETH MJATTA (DAR) NA DEBORA SANJA (DODOMA)

SIKU chache baada ya Watendaji Wakuu wa Kampuni Binafsi nchini (CEO,s RoundTable) kutoa matangazo ya kufanya mdahalo na makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliochukua fomu ya kuwania urais, ili kuwapima kupitia mjadala huo ambao pamoja na mambo mengine ungejadili maslahi mapana yanayohusu uchumi, chama hicho kimepiga marufuku wanachama wake hao kujihusisha katika midahalo yoyote ile.
Kabla ya kupigwa marufuku, matangazo yaliyokuwa yakitolewa...

 

11 years ago

GPL

Usajili wa Mamilioni Simba wapigwa Stop

Kikosi cha timu ya Simba SC. Na Hans Mloli
MIKAKATI mingi katika kipindi hiki cha usajili mkali na wa umakini zaidi kwa ajili ya msimu ujao inaendele na sasa Simba wamekubaliana kutofanya tena usajili wa gharama wa mamilioni ya shilingi kutokana na sababu mbalimbali. Mpaka sasa Simba haijafanya usajili wa mchezaji yeyote zaidi ya kuwatema baadhi ya wachezaji wao huku ikielezwa kuwa, lengo lao ni kufanya usajili wa siri mno na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wenyeviti wa vijiji Bukoba wapigwa ‘stop’

WENYEVITI wa vijiji na vitongoji katika Halmashauri ya Bukoba wamezuiwa kugawa au kuuza ardhi kwa wananchi kinyume na sheria. Amri hiyo imetolewa jana na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Bukoba, Kapteni...

 

11 years ago

Tanzania Daima

UDA wapigwa ‘stop’ kuendeleza ujenzi Mbagala

SAKATA la mzozo wa ardhi kati ya Kampuni ya Usafirishaji Dar es Salaam (UDA) inayomilikiwa na Robert Kisena na mfanyabiashara Alex Msama limeingia katika hatua mpya baada ya Kamati ya...

 

9 years ago

Mwananchi

Polisi Jamii wapigwa ‘stop’ kufanya kazi ya trafiki

Kutokana na tatizo la kukosa ajira nchini, baadhi ya vijana wameamua kujiajiri kwa kufanya kazi ya kuendesha pikipiki kusafirisha abiria maarufu bodaboda, baada ya kununua na wengine wakipatiwa na watu binafsi kwa makubaliano maalumu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mawaziri wapigwa kalamu Nigeria

Rais wa Nigeria, Goodluck Jonathan, amewafuta kazi mawaziri wanne akiwemo waziri wa usafiri wa angani aliyehusishwa na ufisadi

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani