Kocha Stars azuia usajili wa Kipanga Simba
![](http://api.ning.com:80/files/WRH9ovbTZmAqrtpoUJjvyaAZV5IBiDyiyVFWLMA8I6I8fUcTGjEHE-RhEyE7BVu9VcCM7yZdA54-qRVBTX4LIXcfesv1BPzP/KOCHA11.jpg?width=650)
Aliyekuwa kocha msaidizi wa Taifa Stars, Sylvester Marsh. Na Hans Mloli ALIYEKUWA kocha msaidizi wa Taifa Stars, Sylvester Marsh, amempa onyo na kumsihi straika wa Mbeya City, Saad Kipanga anayewaniwa kwa udi na uvumba na timu ya Simba, kuwa asiihame timu hiyo na kwenda kuchezea Simba au klabu kubwa msimu ujao kwa ajili ya faida yake binafsi. Marsh aliyekuwa msaidizi wa Kocha Mkuu, Mdenishi, Kim Poulsen kabla ya Stars...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KhKaa56BSVW9*pt4-WrVIXLrmFLRH0P7DTdQdvfGhNeCHQ35LibnjXNi8XmbBgaCr-MgqOX2RODNDHGrULyPZEbKPVSKpNTA/rage.jpg?width=650)
Rage azuia 100m za usajili Simba
10 years ago
Mwananchi11 Aug
Kocha wa Simba apiga ‘stop’ usajili
10 years ago
Mwananchi21 Jan
Kopunovic azuia kambi Simba SC
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-f3jkeDuWU-M/U10mJFyzBBI/AAAAAAAFdgg/EuM-SRGDdWI/s72-c/Tanzania-Mart-Nooij-300.jpg)
KOCHA MPYA WA TAIFA STARS AONGEZA WACHEZAJI TISA STARS
![](http://2.bp.blogspot.com/-f3jkeDuWU-M/U10mJFyzBBI/AAAAAAAFdgg/EuM-SRGDdWI/s1600/Tanzania-Mart-Nooij-300.jpg)
Wachezaji walioongezwa ni Edward Charles Manyama (JKT Ruvu), Elias Maguli (Ruvu Shooting), Hassan Dilunga (Yanga), Hussein Javu (Yanga), John Bocco (Azam), Kelvin Friday (Azam), Oscar Joshua (Yanga), Nadir Haroub (Yanga) na Shomari Kapombe (AC Cannes, Ufaransa).
Naye beki...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/V0siS8-FppAo20Dtyf9qv1MgN5iVstc9nb2ug7PhPlBrrwh7RltWTITIpGl4dWC*gE2kwKWirshAH2H21dkl8kndDX9*yzqR/HANSPOPE.gif?width=650)
Hans Pope azuia mkataba wa Loga Simba
9 years ago
StarTV29 Nov
Kocha Luis Enrique Asema ataongeza nguvu ya usajili Barcelona.
Kocha Luis Enrique Martinez wa FC Barcelona amesema kuwa hana shaka na kiwango bora cha timu yake msimu huu na kubainisha kuwa ana mpango wa kukiongezea nguvu zaidi katika dirisha dogo la usajili la janauri mwakani.
Kocha huyo ameweka wazi wakati akizungumza na waandishi wa habari katika maandalizi ya mechi ya ligi kuu ya La liga dhidi Real Sociedad kwenye uwanja wa Nou Camp.
Amesema hana hofu kwa kuwa siku zote anataka wachezaji wake kuwa fiti licha ya kukumbwa na majeruhi ya...
11 years ago
Mwananchi14 Jun
Usajili Simba shaka
10 years ago
Mwananchi17 Jun
USAJILI SIMBA : Hatuwataki
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
KOCHA MPYA STARS