Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hans Pope azuia mkataba wa Loga Simba

Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zakaria Hans Pope.
Na Martha Mboma
IMEELEZWA kuwa, kutokuwepo kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Klabu ya Simba, Zacharia Hans Pope, ndiyo chanzo cha kocha mkuu wa timu hiyo, Mcrotia Zdravko Logarusic kushindwa kusaini mkataba wa kuendelea kuitumikia klabu hiyo. Loga ambaye aliifundisha Simba awali kwa mkataba wa miezi sita msimu uliopita, amekuwa katika mvutano na uongozi juu ya...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Aveva, Kaburu wamsimamisha Hans Pope Simba

Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zakaria Hans Pope. Na Khadija Mngwai
MWENYEKITI wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zakaria Hans Pope, ameamua kujiweka pembeni katika suala zima la usajili kwenye kikosi hicho. Hans Pope ambaye amekuwa nguvu muhimu kwenye kikosi cha Simba, amesema anasubiri kwanza uongozi mpya chini ya Evans Aveva na Geofrey Nyange ‘Kaburu’ utangaze kamati zake.
Juni 29, Simba ilifanikiwa...

 

11 years ago

GPL

Wambura amzuia Hans Pope kusajili Simba

Aliyekuwa mgombea wa nafasi ya urais klabuni hapo, Michael Wambura. Na Wilbert Molandi
MWENYEKITI wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zakaria Hans Pope, amesema kwa sasa hataki kujihusisha na masuala ya usajili, badala yake ataelekeza nguvu zake katika biashara zake binafsi.
Mwenyekiti huyo ameitoa kauli hiyo hivi karibuni wakati klabu mbalimbali zikiendelea na usajili kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Bara na sababu kubwa ni...

 

10 years ago

Michuzi

Hans Pope: Simba Ukawa futeni kesi mahakamani!





MWENYEKITI wa kamati ya usajili ya Simba, Zakaria Hans Pope amewataka Simba ukawa kufuta kesi iliyopo mahakamani ili wawarejeshee uwanachama wao. Pope alisema leo  kuwa hawana ugomvi na Ukawa, na kwamba uongozi uliopo madarakani upo tayari kuwarudisha Ukawa na kuwa kitu kimoja kwa maslahi ya kuijenga Simba. "Ukawa ni matawi mawili ya Mpira Pesa na Mpira maendeleo, nimeshakutana na mpira pesa nikazungumza nao, nimewashauri wawasiliane na wenzao wakafute kesi ili tuungane na tuwe kitu kimoja...

 

11 years ago

GPL

Simba yaweka pembeni mkataba wa Loga

Kocha wa Simba, Zdravko Logarusic. Na Khadija Mngwai
UONGOZI wa Klabu ya Simba umeweka wazi kuwa suala la kumuongezea mkataba kocha wake mkuu wa sasa, Zdravko Logarusic limewekwa pembeni kwa kuwa wanasubiri kuona mwelekeo wa timu yao ambayo imekuwa haina matokeo mazuri hivi karibuni. Loga raia wa Croatia alisaini mkataba wa miezi sita wakati alipotua klabuni hapo mwishoni mwa mwaka jana, ambapo mkataba huo unatarajiwa kufikia...

 

11 years ago

GPL

Loga atimka zake, Simba yampotezea mkataba

Kocha Mkuu wa SImba, Zdravko Logarusic na msanii wa Filamu, Wema Sepetu. Na Martha mboma
UWEZI kuacha kumtaja katika listi ya makocha wasioishiwa vituko kutokana na mbwembwe ambazo amekuwa akizifanya pindi anapowaelekeza wachezaji wake iwe mazoezini au kwenye mechi.
Huyo ni Zdravko Logarusic raia wa Croatia, aliyeanza kuifundisha Simba katika mzunguko wa pili wa msimu uliomalizika wiki iliyopita, ambapo alipokea mikoba ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Madega, Hans Pope wakomaa

U.ongozi wa Yanga umetakiwa kuacha kuweweseka kuhusiana na uamuzi utakaotolewa na Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya TFF dhidi ya mshambuliaji Emmanuel Okwi kwani kitakachoangaliwa ni kanuni na siyo ushabiki

 

10 years ago

Mwananchi

Kopunovic azuia kambi Simba SC

 Kocha Mkuu wa Simba Goran Kopunovic ametoa uamuzi uliowafurahisha wachezaji wake baada ya kuamrisha kuwa timu hiyo iingie kambini kesho badala ya jana jioni kama uongozi wa timu hiyo ulivyopanga.

 

11 years ago

GPL

Rage azuia 100m za usajili Simba

Mwenyekiti wa Simba, Ismail Aden Rage. Na  Wilbert Moland
JAMBO limezua jambo! Imefahamika wazi kuwa Mwenyekiti wa Simba, Ismail Aden Rage, amegoma kutoa shilingi milioni 100 za klabu hiyo kwa ajili ya usajili wa msimu ujao wa Ligi Kuu Bara mapema Agosti, mwaka huu. Simba ipo kwenye kampeni za uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Juni 29 na habari zilizopo ni kuwa, kiasi hicho cha fedha kimepatikana kutokana na malipo ya kodi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani