Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wambura amzuia Hans Pope kusajili Simba

Aliyekuwa mgombea wa nafasi ya urais klabuni hapo, Michael Wambura. Na Wilbert Molandi
MWENYEKITI wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zakaria Hans Pope, amesema kwa sasa hataki kujihusisha na masuala ya usajili, badala yake ataelekeza nguvu zake katika biashara zake binafsi.
Mwenyekiti huyo ameitoa kauli hiyo hivi karibuni wakati klabu mbalimbali zikiendelea na usajili kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Bara na sababu kubwa ni...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Hans Pope azuia mkataba wa Loga Simba

Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zakaria Hans Pope.
Na Martha Mboma
IMEELEZWA kuwa, kutokuwepo kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Klabu ya Simba, Zacharia Hans Pope, ndiyo chanzo cha kocha mkuu wa timu hiyo, Mcrotia Zdravko Logarusic kushindwa kusaini mkataba wa kuendelea kuitumikia klabu hiyo. Loga ambaye aliifundisha Simba awali kwa mkataba wa miezi sita msimu uliopita, amekuwa katika mvutano na uongozi juu ya...

 

11 years ago

GPL

Aveva, Kaburu wamsimamisha Hans Pope Simba

Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zakaria Hans Pope. Na Khadija Mngwai
MWENYEKITI wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zakaria Hans Pope, ameamua kujiweka pembeni katika suala zima la usajili kwenye kikosi hicho. Hans Pope ambaye amekuwa nguvu muhimu kwenye kikosi cha Simba, amesema anasubiri kwanza uongozi mpya chini ya Evans Aveva na Geofrey Nyange ‘Kaburu’ utangaze kamati zake.
Juni 29, Simba ilifanikiwa...

 

10 years ago

Michuzi

Hans Pope: Simba Ukawa futeni kesi mahakamani!





MWENYEKITI wa kamati ya usajili ya Simba, Zakaria Hans Pope amewataka Simba ukawa kufuta kesi iliyopo mahakamani ili wawarejeshee uwanachama wao. Pope alisema leo  kuwa hawana ugomvi na Ukawa, na kwamba uongozi uliopo madarakani upo tayari kuwarudisha Ukawa na kuwa kitu kimoja kwa maslahi ya kuijenga Simba. "Ukawa ni matawi mawili ya Mpira Pesa na Mpira maendeleo, nimeshakutana na mpira pesa nikazungumza nao, nimewashauri wawasiliane na wenzao wakafute kesi ili tuungane na tuwe kitu kimoja...

 

10 years ago

Mwananchi

Madega, Hans Pope wakomaa

U.ongozi wa Yanga umetakiwa kuacha kuweweseka kuhusiana na uamuzi utakaotolewa na Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya TFF dhidi ya mshambuliaji Emmanuel Okwi kwani kitakachoangaliwa ni kanuni na siyo ushabiki

 

10 years ago

GPL

Mke amzuia Okwi kurudi Simba

Mshambuliaji wa Simba,Emmanuel Okwi. Na Mwandishi Wetu
KUMEKUWA na taarifa zinazotofautiana kuhusiana na kuchelewa kwa mshambuliaji Emmanuel Okwi aliye kwao Uganda, lakini ukweli sasa ni kwamba suala la ndoa, ndilo lililomchelewesha. Uchunguzi wa Championi Ijumaa kuhusiana na suala hilo umeanzia jijini Kampala, Uganda na ikabainika Okwi yuko katika mipango ya kutaka kufunga ndoa.Baada ya taarifa hizo, imekuwa vigumu kupata...

 

11 years ago

GPL

Logarusic amzuia Kapombe kurudi Simba

Shomari Salum Kapombe. Na Mwandishi Wetu
BEKI wa zamani wa Simba, Shomari Kapombe, amemtaja Kocha wa Simba, Zdravko Logarusic kuwa sababu mojawapo ya kushindwa kurudi Simba kufanya mazoezi na badala yake kujiunga na Azam.
Kapombe alisajiliwa na AS Cannes inayoshiriki Ligi Daraja la Nne nchini Ufaransa, lakini alirejea nchini kuichezea timu ya taifa kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya Zimbabwe na kuanzia hapo amegoma kurudi...

 

9 years ago

Habarileo

Simba kusajili watano

KOCHA Mkuu wa Simba Dylan Kerr, amesema amependekeza kwa uongozi kusajili wachezaji watano wapya kwenye dirisha dogo la usajili kwa ajili ya kuimarisha kikosi chake ili kiweze kuhimili ushindani wa kuwania ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara.

 

10 years ago

BBCSwahili

Simba kusajili wachezaji kuziba pengo

Katika kile kinachoonekana ni kuweka mikakati ili kuchukua ubingwa msimu ujao, wekundu wa Msimbazi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wambura yametimia Simba

MICHAEL Richard Wambura aliyekuwa anawania nafasi ya uenyekiti katika klabu ya Simba kupitia uchaguzi mkuu uliopangwa kufanyika Juni 29, jijini Dar es Salaam, amechujwa katika mbio hizo kwa kutokuwa mwanachama....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani