Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hans Pope: Simba Ukawa futeni kesi mahakamani!





MWENYEKITI wa kamati ya usajili ya Simba, Zakaria Hans Pope amewataka Simba ukawa kufuta kesi iliyopo mahakamani ili wawarejeshee uwanachama wao. Pope alisema leo  kuwa hawana ugomvi na Ukawa, na kwamba uongozi uliopo madarakani upo tayari kuwarudisha Ukawa na kuwa kitu kimoja kwa maslahi ya kuijenga Simba. "Ukawa ni matawi mawili ya Mpira Pesa na Mpira maendeleo, nimeshakutana na mpira pesa nikazungumza nao, nimewashauri wawasiliane na wenzao wakafute kesi ili tuungane na tuwe kitu kimoja...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Wambura amzuia Hans Pope kusajili Simba

Aliyekuwa mgombea wa nafasi ya urais klabuni hapo, Michael Wambura. Na Wilbert Molandi
MWENYEKITI wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zakaria Hans Pope, amesema kwa sasa hataki kujihusisha na masuala ya usajili, badala yake ataelekeza nguvu zake katika biashara zake binafsi.
Mwenyekiti huyo ameitoa kauli hiyo hivi karibuni wakati klabu mbalimbali zikiendelea na usajili kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Bara na sababu kubwa ni...

 

11 years ago

GPL

Hans Pope azuia mkataba wa Loga Simba

Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zakaria Hans Pope.
Na Martha Mboma
IMEELEZWA kuwa, kutokuwepo kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Klabu ya Simba, Zacharia Hans Pope, ndiyo chanzo cha kocha mkuu wa timu hiyo, Mcrotia Zdravko Logarusic kushindwa kusaini mkataba wa kuendelea kuitumikia klabu hiyo. Loga ambaye aliifundisha Simba awali kwa mkataba wa miezi sita msimu uliopita, amekuwa katika mvutano na uongozi juu ya...

 

11 years ago

GPL

Aveva, Kaburu wamsimamisha Hans Pope Simba

Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zakaria Hans Pope. Na Khadija Mngwai
MWENYEKITI wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zakaria Hans Pope, ameamua kujiweka pembeni katika suala zima la usajili kwenye kikosi hicho. Hans Pope ambaye amekuwa nguvu muhimu kwenye kikosi cha Simba, amesema anasubiri kwanza uongozi mpya chini ya Evans Aveva na Geofrey Nyange ‘Kaburu’ utangaze kamati zake.
Juni 29, Simba ilifanikiwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Madega, Hans Pope wakomaa

U.ongozi wa Yanga umetakiwa kuacha kuweweseka kuhusiana na uamuzi utakaotolewa na Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya TFF dhidi ya mshambuliaji Emmanuel Okwi kwani kitakachoangaliwa ni kanuni na siyo ushabiki

 

11 years ago

Michuzi

SIMBA WAFANYA MKUTANO, YAWAFUKUZA WANACHAMA 72 WALIOFUNGUA KESI MAHAKAMANI

Rais wa Klabu ya Simba, Evans Aveva akifafanua jambo wakati wa mkutano maalum wa wananchama wa klabu hiyo uliofanyika kwenye Bwalo la Maofisa wa Polisi Oysterbay jijini Dar es Salaam. (Picha na Francis Dande) Baadhi ya wanachama wa Simba wakiwa katika mkutano maalum wa klabu hiyo jijini Dar es Salaam Baadhi ya wanachama wa Simba wakihakiki kadi zao kabla ya kuingia katika ukumbi wa mkutano. Mwenyekiti wa zamani wa Simba, Hassan Dalali akipitia nyaraka za klabu hiyo wakati akiingia katika...

 

10 years ago

Michuzi

Mahakama ya Kisutu yasema Hans Macha ana kesi ya kujibu

Na Mwandishi Wetu
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu leo imetoa uamuzi katika kesi inayomkabili mfanyabiashara maarufu jijini Dar es Salaam, Hans Aingaya Macha (pichani) kuwa ana kesi ya kujibu.
Uamuzi huo, umetolewa na Hakimu Mkazi wa mahakama hiyo, Devotha Kisoka katika kesi inayomkabili mfanyabiashara huyo ya kugushi hati ya kiwanja cha Ramadhan Balenga chenye namba 183 kilichopo Kigogo, mkataba wa mauziano na hati ya uhamishaji miliki.
Akitoa uamuzi huo jana, Hakimu Devotha alisema baada...

 

11 years ago

Mwananchi

Liyumba ana kesi ya kujibu mahakamani

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imesema aliyekuwa Mkurugenzi wa Utawala na Utumishi (DPA), Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Amatus Liyumba anayekabiliwa na kesi ya kukutwa na simu ndani ya Gereza la Ukonga ana kesi ya kujibu.

 

11 years ago

CloudsFM

KESI YA MBASHA YASOMWA TENA LEO MAHAKAMANI

Mume wa mwimbaji wa nyimbo za injili nchini Frola Mbasha,Mr.Emanuel Mbasha leo amepandishwa tena kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala kujibu mashtaka mawili yanayo mkabili ya ubakaji. Katika kesi hiyo inayoendeshwa na Hakimu Wilbert Luago,amelazimika kuhairisha kesi hiyo kwa muda wa nusu saa kwa hoja aliyoitoa Mbasha kwamba ana wakili wa kumtetea lakini alishindwa kufika kutokana na matatizo ya usafiri.
Kauli hiyo ya Mbasha ilimfanya Hakimu Luago kuhoji kama kweli alikuwa na nia ya...

 

11 years ago

Habarileo

Kesi za ardhi mahakamani zamkera Prof. Tibaijuka

Profesa Anna TibaijukaMLUNDIKANO wa kesi katika mahakama, mivutano ya ardhi baina ya viongozi na watendaji katika Halmashauri ya Manispaa ya Lindi mkoani hapa, vimesababisha kusimama na kuchelewesha kupimwa mji wa Lindi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani