Hans Pope: Simba Ukawa futeni kesi mahakamani!
![](http://1.bp.blogspot.com/-vL9_0PU-o28/VJcQaXa2jwI/AAAAAAAG44Q/pv7iYZhH3Q8/s72-c/1.jpg)
MWENYEKITI wa kamati ya usajili ya Simba, Zakaria Hans Pope amewataka Simba ukawa kufuta kesi iliyopo mahakamani ili wawarejeshee uwanachama wao. Pope alisema leo kuwa hawana ugomvi na Ukawa, na kwamba uongozi uliopo madarakani upo tayari kuwarudisha Ukawa na kuwa kitu kimoja kwa maslahi ya kuijenga Simba. "Ukawa ni matawi mawili ya Mpira Pesa na Mpira maendeleo, nimeshakutana na mpira pesa nikazungumza nao, nimewashauri wawasiliane na wenzao wakafute kesi ili tuungane na tuwe kitu kimoja...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JKksqYJJ9Ygg2DSoOYTaOiwo7yHmr6x4P59lEUjkhS9oZCZs8-on0rFCCTO0c83n763eM6xnWqMtiU5kbvO-2bgIyoIk4esA/Untitled1.gif?width=650)
Wambura amzuia Hans Pope kusajili Simba
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/V0siS8-FppAo20Dtyf9qv1MgN5iVstc9nb2ug7PhPlBrrwh7RltWTITIpGl4dWC*gE2kwKWirshAH2H21dkl8kndDX9*yzqR/HANSPOPE.gif?width=650)
Hans Pope azuia mkataba wa Loga Simba
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FsV0PLw632p*TJEcjGbn2h*Xl5wRX7VGZAyHLMfymQQc*LC8fNEIY8Uh8W0s5GrHCJMTA-k32VYA9dsBcDkNVRxkmjZa4*1H/aveva.gif?width=650)
Aveva, Kaburu wamsimamisha Hans Pope Simba
10 years ago
Mwananchi06 Sep
Madega, Hans Pope wakomaa
11 years ago
MichuziSIMBA WAFANYA MKUTANO, YAWAFUKUZA WANACHAMA 72 WALIOFUNGUA KESI MAHAKAMANI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qwjdQuP_SQs/VGtnXe79S5I/AAAAAAABNFw/slaYHdZmJPg/s72-c/macha.jpg)
Mahakama ya Kisutu yasema Hans Macha ana kesi ya kujibu
![](http://4.bp.blogspot.com/-qwjdQuP_SQs/VGtnXe79S5I/AAAAAAABNFw/slaYHdZmJPg/s1600/macha.jpg)
Uamuzi huo, umetolewa na Hakimu Mkazi wa mahakama hiyo, Devotha Kisoka katika kesi inayomkabili mfanyabiashara huyo ya kugushi hati ya kiwanja cha Ramadhan Balenga chenye namba 183 kilichopo Kigogo, mkataba wa mauziano na hati ya uhamishaji miliki.
Akitoa uamuzi huo jana, Hakimu Devotha alisema baada...
11 years ago
Mwananchi13 Dec
Liyumba ana kesi ya kujibu mahakamani
11 years ago
CloudsFM17 Jul
KESI YA MBASHA YASOMWA TENA LEO MAHAKAMANI
Kauli hiyo ya Mbasha ilimfanya Hakimu Luago kuhoji kama kweli alikuwa na nia ya...
11 years ago
Habarileo27 Jul
Kesi za ardhi mahakamani zamkera Prof. Tibaijuka
MLUNDIKANO wa kesi katika mahakama, mivutano ya ardhi baina ya viongozi na watendaji katika Halmashauri ya Manispaa ya Lindi mkoani hapa, vimesababisha kusimama na kuchelewesha kupimwa mji wa Lindi.