KESI YA MBASHA YASOMWA TENA LEO MAHAKAMANI
Kauli hiyo ya Mbasha ilimfanya Hakimu Luago kuhoji kama kweli alikuwa na nia ya...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi24 Sep
KESI WAFUASI WA CHADEMA KUVAMIA POLISI YASOMWA LEO MAHAKAMANI
Kadhalika, washtakiwa hao Ngaiza Kamugisha (28) dereva, mkazi wa Vingunguti, Benito Mwapinga (30) Fundi nguo mkazi wa Mtoni kwa Azizi Ally na Eliasante Bugeji (51) Mhasibu wa CCBRT mkazi wa Komakoma Kinondoni, Dar es Salaam, wanadaiwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Zrnzcj8-g6s/VWb5P6wOu8I/AAAAAAAAeCk/KTWjpKxDhVo/s72-c/1.jpg)
Kesi ya Mbasha Yakwama tena
![](http://1.bp.blogspot.com/-Zrnzcj8-g6s/VWb5P6wOu8I/AAAAAAAAeCk/KTWjpKxDhVo/s640/1.jpg)
Kesi ya ubakaji inayomkabili mwanamuziki wa nyimbo za injili ambaye ni mume wa Flora Mbasha kwenye mahakama ya hakimu mkazi Kisutu imesogezwa tena mbele kutokana na kutokuwepo kwa mwendesha mashtaka anayeisimamia kesi hiyo. Kesi hiyo ya Emmanuel Mbasha ilitakiwa kuendelea baada ya mashahidi kuwepo eneo la tukio kabla ya hakimu mkazi Flora Mjaya kuairisha mpaka Mei 29, 2015 kutokana na kutokuwepo kwa mwendesha mashtaka Nassoro Katuga.
Mashahidi wawili wameshatoa ushahidi huku mmojawapo akiwa ...
10 years ago
Mtanzania05 Mar
Mbasha amwaga machozi mahakamani
Na Veronica Romwald, Dar es Salaam
MWIMBAJI wa muziki wa injili, Emmanuel Mbasha, anayekabiliwa na kesi ya kumbaka mtoto wa miaka 17, jana alitoka kwenye chumba cha Mahakama ya Wilaya ya Ilala akibubujikwa machozi.
Hali hiyo ilimtokea mara baada ya shahidi wa pili wa kesi hiyo, aliyejulikana kwa jina la Suzan, kutoa ushahidi wake.
Kwa kuwa kesi hiyo inasikilizwa kwenye chemba (chumba maalumu ambacho waandishi na watu wasiohusika hawaruhusiwi kuingia) haikuweza kujulikana mara moja ni kitu...
10 years ago
Bongo506 Mar
Mbasha adaiwa kumwaga machozi mahakamani
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-h1J9axrKcFk/U0K1APhmxcI/AAAAAAAFZM0/Apd4yl4blF4/s72-c/IMG_9895.jpg)
HITMA YA MAREHEMU MZEE KARUME YASOMWA LEO ZANZIBAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-h1J9axrKcFk/U0K1APhmxcI/AAAAAAAFZM0/Apd4yl4blF4/s1600/IMG_9895.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/--nKN_-Jgag0/U0K1AAsB7VI/AAAAAAAFZM8/gdz5u_Jz_-0/s1600/IMG_9912.jpg)
10 years ago
Dewji Blog07 Apr
Hitma ya Marehemu Mzee Karume yasomwa mapema leo Zanzibar
![](http://4.bp.blogspot.com/-TVe0FzaeEpA/VSOwAJ8Pg8I/AAAAAAAHPfE/NfEhW-QQ8tg/s1600/IMG_0185.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-aJPiFNj1gcU/VSOwACyhPDI/AAAAAAAHPfM/EWtbePaOeD4/s1600/IMG_0199.jpg)
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://2.bp.blogspot.com/-Yv4i2d4SyDQ/VS_UWF24_NI/AAAAAAAACFs/l1t8P8TqHKw/s72-c/mbasha2.jpg)
KESI YA MUME WA MBASHA
Daktari aanika taarifa ya vipimo
NA ATHNATH MKIRAMWENI
SHAHIDI wa nne katika kesi ya tuhuma za ubakaji inayomkabili Emmanuel Mbasha, mume wa mwanamuziki wa nyimbo za injili, Flora Mbasha, jana alidai mahakamani kuwa hakuona dalili zozote za kuingiliwa kimwili mlalamikaji.
Hayo yalidaiwa na daktari wa Hospitali ya Amana, Migole Mtuka, ambaye alimfanyia vipimo msichana huyo.
![](http://2.bp.blogspot.com/-Yv4i2d4SyDQ/VS_UWF24_NI/AAAAAAAACFs/l1t8P8TqHKw/s1600/mbasha2.jpg)
Daktari huyo alidai katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala kwamba vipimo alivyomfanyia msichana huyo anayedaiwa kubakwa na...
11 years ago
Mwananchi24 Jul
Ushahidi kesi ya Mbasha Agosti 22
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-v1F3qXvD8zQ/U6MBjaCNpTI/AAAAAAAFrwo/vZPenqEwgBw/s72-c/1.jpg)
UPELELEZI KESI YA MBASHA WAKAMILIKA
![](http://1.bp.blogspot.com/-v1F3qXvD8zQ/U6MBjaCNpTI/AAAAAAAFrwo/vZPenqEwgBw/s1600/1.jpg)