KESI YA MUME WA MBASHA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Yv4i2d4SyDQ/VS_UWF24_NI/AAAAAAAACFs/l1t8P8TqHKw/s72-c/mbasha2.jpg)
Daktari aanika taarifa ya vipimo
NA ATHNATH MKIRAMWENI
SHAHIDI wa nne katika kesi ya tuhuma za ubakaji inayomkabili Emmanuel Mbasha, mume wa mwanamuziki wa nyimbo za injili, Flora Mbasha, jana alidai mahakamani kuwa hakuona dalili zozote za kuingiliwa kimwili mlalamikaji.
Hayo yalidaiwa na daktari wa Hospitali ya Amana, Migole Mtuka, ambaye alimfanyia vipimo msichana huyo.
Daktari huyo alidai katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala kwamba vipimo alivyomfanyia msichana huyo anayedaiwa kubakwa na...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MUME WA FLORA MBASHA KIZIMBANI KWA KESI YA UBAKAJI
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-KdePnNdzi0U/U6BHSjOjmiI/AAAAAAAFrP0/_2leZsTzu6U/s72-c/1911114_507199476058710_1063991907_o.jpg)
NEWS ALERT: MUME WA FROLA MBASHA APANDISHWA KIZIMBANI kWA KESI YA UBAKAJI
![](http://4.bp.blogspot.com/-KdePnNdzi0U/U6BHSjOjmiI/AAAAAAAFrP0/_2leZsTzu6U/s1600/1911114_507199476058710_1063991907_o.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-dV1tnoxKrQQ/VaSWIF1dmKI/AAAAAAAAxrs/hJQjTvEPGQ0/s72-c/ema%2Bmbasha.jpg)
KAUMBUKA! MUME wa FLORA MBASHA Akutwa na Hatia ya Kesi ya Ubakaji wa Shemeji Yake!
![](http://3.bp.blogspot.com/-dV1tnoxKrQQ/VaSWIF1dmKI/AAAAAAAAxrs/hJQjTvEPGQ0/s640/ema%2Bmbasha.jpg)
MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala imesema mfanyabiashara na muimbaji wa muziki wa injili Emmanuel Mbasha ana kesi ya kujibu katika shtaka linalomkabili la ubakaji linalomkabili.Katika shtaka hilo Mbasha anadaiwa kumbaka binti mwenye umri wa miaka 17 (jina linahifadhiwa) ambaye ni shemeji yake.Mbele ya Hakimu Flora Mjaya, mwendesha Mashtaka Munde Kalombola alidai mahakama imemkuta Mbasha na hatia baada ya kupitia ushahidi wa pande zote mbili.Mbasha ambaye ni mume wa muimbaji maarufu wa muziki wa...
9 years ago
Bongo507 Oct
Flora Mbasha afuta kesi ya talaka dhidi ya mumewe, ‘bado nampenda sana mume wangu’
11 years ago
Habarileo18 Jun
Mume wa Flora Mbasha kizimbani
MUME wa Mwimbaji wa nyimbo za Injili, Flora Mbasha, Emmanuel Mbasha (32) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala mkoani Dar es Salaam akikabiliwa na mashitaka mawili ya ubakaji.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MUME WA FLORA MBASHA APEWA DHAMANA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MjUiWVyv*JLXEq3k2YQYcLuDSOAgLtZuLngx1zkseMC565ttMS2b8lhuxkLqc6Kmo8zydNq1wOP1fJK-Pf-svFOoUPVc1VPt/flora.jpg)
MUME WA FLORA MBASHA ASAKWA KWA UBAKAJI
10 years ago
Mtanzania11 Mar
Flora Mbasha: Nipo tayari kurudiana na mume wangu
Veronica Romwald na Jacqueline Swai (RCT), Dar es Salaam
MUIMBAJI wa muziki wa Injili, Flora Mbasha amesema yupo tayari kurudiana na mume wake Emmanuel Mbasha, ikiwa atakwenda kumuangukia miguuni na kumuomba msamaha.
Flora alisema hayo jana alipozungumza na waandishi wa habari baada ya kumaliza kutoa ushahidi wake juu ya kesi ya ubakaji inayomkabili Mbasha ambayo inasikilizwa katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala.
“Mbasha nimemsamehe siku nyingi na nipo tayari kuishi naye iwapo atakuja...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-wvkDXzhTopc/VQVlaHUi3OI/AAAAAAAAqGw/AYWbKcyI0wc/s72-c/flora%2Bna%2Bmumewe_full%2B(1).jpg)
Florah mbasha: Nipo Tayari Kurudiana na Mume Wangu.
![](http://3.bp.blogspot.com/-wvkDXzhTopc/VQVlaHUi3OI/AAAAAAAAqGw/AYWbKcyI0wc/s640/flora%2Bna%2Bmumewe_full%2B(1).jpg)
"Mbasha nimeshamsamehe siku nyingi na nipo tayari kuishi naye iwapo atakuja kuniangukia miguuni na kuniomba msamaha..lakini hili la...