Mbasha adaiwa kumwaga machozi mahakamani
Muimbaji wa muziki wa injili, Emmanuel Mbasha, anayekabiliwa na kesi ya kumbaka mtoto wa miaka 17, jana alitoka kwenye chumba cha Mahakama ya Wilaya ya Ilala akibubujikwa machozi. Hali hiyo ilimtokea mara baada ya shahidi wa pili wa kesi hiyo, aliyejulikana kwa jina la Suzan, kutoa ushahidi wake. Kwa kuwa kesi hiyo inasikilizwa kwenye chemba […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania05 Mar
Mbasha amwaga machozi mahakamani
Na Veronica Romwald, Dar es Salaam
MWIMBAJI wa muziki wa injili, Emmanuel Mbasha, anayekabiliwa na kesi ya kumbaka mtoto wa miaka 17, jana alitoka kwenye chumba cha Mahakama ya Wilaya ya Ilala akibubujikwa machozi.
Hali hiyo ilimtokea mara baada ya shahidi wa pili wa kesi hiyo, aliyejulikana kwa jina la Suzan, kutoa ushahidi wake.
Kwa kuwa kesi hiyo inasikilizwa kwenye chemba (chumba maalumu ambacho waandishi na watu wasiohusika hawaruhusiwi kuingia) haikuweza kujulikana mara moja ni kitu...
10 years ago
Vijimambo
Emmanuel Mbasha Amwaga Machozi Mahakani..Sakata la Kumbaka Shemeji Yake

11 years ago
Mwananchi27 May
‘Bibi wa unga’ amwaga machozi mahakamani
11 years ago
CloudsFM17 Jul
KESI YA MBASHA YASOMWA TENA LEO MAHAKAMANI
Kauli hiyo ya Mbasha ilimfanya Hakimu Luago kuhoji kama kweli alikuwa na nia ya...
10 years ago
Vijimambo
SAKATA LA EMMANUEL MBASHA KUBAKA: Daktari Atoa Ushahidi Mahakamani, Asema Vipimo Havikuonyesha Dalili yoyote ya Msichana Huyo Kubakwa

Shahidi wa nne katika kesi ya tuhuma za ubakaji inayomkabili Emmanuel Mbasha, mume wa mwanamuziki wa nyimbo za injili, Flora Mbasha, jana alidai mahakamani kuwa hakuona dalili zozote za kuingiliwa kimwili mlalamikaji.
Hayo yalidaiwa na daktari wa Hospitali ya Amana, Migole Mtuka, ambaye alimfanyia vipimo msichana huyo.Daktari huyo alidai katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala kwamba vipimo alivyomfanyia msichana huyo anayedaiwa kubakwa na Mbasha, havikuonyesha kitu chochote.
Dk. Migole alidai kuwa...
10 years ago
GPL
FLORA MBASHA AKIRI: MWANANGU SI WA MBASHA!
10 years ago
GPL
SNURA ADAIWA ADAIWA KUPORA MUME WA DAVINA
11 years ago
Tanzania Daima16 Jul
NSSF kumwaga nyumba YangaÂ
KLABU ya Yanga imeingia makubaliano ya kununua nyumba za Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF), kwa ajili ya wachezaji wake kupitia program maalumu. Akizungumza katika hafla ya utiaji saini makubalinao...
11 years ago
Tanzania Daima15 Dec
Cole kumwaga vifaa Karume
NYOTA wa zamani wa Manchester United ya England, Andy Cole aliyetua nchini juzi usiku, leo asubuhi anatarajia kutembelea na kucheza soka na watoto wa vituo mbalimbali kwenye Uwanja wa Karume,...