NSSF kumwaga nyumba YangaÂ
KLABU ya Yanga imeingia makubaliano ya kununua nyumba za Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF), kwa ajili ya wachezaji wake kupitia program maalumu. Akizungumza katika hafla ya utiaji saini makubalinao...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-codrRs2ions/XrmUjImYudI/AAAAAAALp1k/EvRXTiG6Qf49guRqCb5_Y7xqqI8q1NdRACLcBGAsYHQ/s72-c/8ff4a1ff-e8e1-4259-989f-3bce726da3eb.jpg)
NSSF YATANGAZA BEI YA KUPANGISHA NYUMBA ZAKE
Na Said Mwishehe, Michuzi TV
SHIRIKA la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), limetangaza bei ya nyumba zake ambazo zimepitishwa na Mthamini Mkuu wa Serikali kuwa kodi ni kati ya Sh. 250,000 mpaka Sh. 500,000.
Kwa mujibu wa NSSF ni kwamba kutokana na kodi hiyo mteja anaweza kulipa kuanzia mwezi mmoja, miezi mitatu hadi mwaka kutegemeana na aina ya nyumba anayotaka kupangisha.
Akizungumza alipotembelea mradi wa nyumba Dungu uliopo Kigamboni jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, William...
10 years ago
MichuziWAZIRI MKUU ATEMBELEA UJENZI WA NYUMBA ZA NSSF KIGAMBONI
10 years ago
MichuziNSSF YAKABIDHI NYUMBA KWA WASANII WA ORIJINO KOMEDI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-uhwQltyYXXE/VDQG37KR8pI/AAAAAAAGojE/ceY1KAQO0WI/s72-c/ns1.jpg)
JK ATEMBELEA DARAJA LA KIGAMBONI, MRADI WA NYUMBA ZA MAKAZI ZA NSSF KIJICHI
![](http://1.bp.blogspot.com/-uhwQltyYXXE/VDQG37KR8pI/AAAAAAAGojE/ceY1KAQO0WI/s1600/ns1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-IK-OR89wUzI/VDQG6cu-pyI/AAAAAAAGojg/dpQCJCgE9Zc/s1600/ns2.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-oQTCbsSj9bA/U8Uu6mOXpDI/AAAAAAAClcM/S7gkEhjKCnw/s72-c/Crescentius-Jogn-Magori-NSSF-speaking-at-SafeCare-Conference-2013.jpg)
YANGA SC YAINGIA MAKUBALIANO YA KUNUNUA NYUMBA KWA AJILI YA WACHEZAJI WAKE NA NSSF
![](http://2.bp.blogspot.com/-oQTCbsSj9bA/U8Uu6mOXpDI/AAAAAAAClcM/S7gkEhjKCnw/s1600/Crescentius-Jogn-Magori-NSSF-speaking-at-SafeCare-Conference-2013.jpg)
Akizungumza leo katika mkutano maalum na wachezaji hao Mkurugenzi wa uendeshaji NSSF , Crecentius Magori amewaambia wachezaji hao kijana mjanja mjini ni yule ambaye ana miliki nyumba ama ardhi kuliko magari huku akiwahamasisha wachezaji wa Yanga kuchangamkia ununuzi wa nyumba hizo ambazo ziko katika mradi wa makao mapya katika kijiji cha
Dege Kigamboni jijini Dar es...
10 years ago
Dewji Blog17 Aug
Pinda akagua ujenzi wa daraja la Kigamboni na mradi wa nyumba za mashirika ya NSSF na NHC
Waziri Mkuu, Mizewngo Pinda akikagua ujenzi wa daraja la kigamboni jijini Dar es salaam August 16, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua ujenzi wa nyumba unaofanywa na Shirika la NSSF katika eno la Kigamboni jijini Dar es salaam August 16, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
10 years ago
MichuziMAKAMU RAIS ZANZIBAR BALOZI SEIF ALI IDDI ATEMBELEA NYUMBA ZA NSSF KIJISCHI, DAR ES SALAAM
11 years ago
Tanzania Daima21 Feb
Udhaifu wa Al Ahly, usiwahadae YangaÂ
TANZANIA imesaliwa na timu moja tu ya Yanga katika medani ya kimataifa, baada ya Azam iliyokuwa ikishiriki Kombe la Shirikisho kuishia raundi ya awali kama ilivyo kwa KMKM na Chuoni...
11 years ago
Tanzania Daima17 Jan
Kocha mpya Yanga atoa masharti matatu
KOCHA mpya wa Yanga, Mholanzi Hans Van Der Pluyjm, amewataka wachezaji wa timu hiyo kuzingatia mambo matatu muhimu katika kupigania mafanikio ya timu hiyo dimbani ambayo ni nidhamu, upendo na...