Kocha mpya Yanga atoa masharti matatu
KOCHA mpya wa Yanga, Mholanzi Hans Van Der Pluyjm, amewataka wachezaji wa timu hiyo kuzingatia mambo matatu muhimu katika kupigania mafanikio ya timu hiyo dimbani ambayo ni nidhamu, upendo na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Raia Tanzania07 Sep
Kocha Yanga atoa masharti
KOCHA wa Mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga Hans Pluijm ameikataa kambi ya Zanzibar ameutaka uongozi kutafuta kambi hapa Dar es Salaam kwa ajili ya kujiandaa na mchezo wao wa kwanza wa ligi Kuu dhidi ya Coastal Union Jumapili katika Uwanja wa Taifa.
Awali uongozi wa Yanga ulitangaza kwenda kuweka kambi visiwani Zanzibar na kucheza mchezo mmoja wa kirafiki ili kujiweka sawa na Ligi Kuu Tanzania Bara.
Katibu Mkuu wa Yanga Jonas Tiboroha alisema jana kuwa kocha wao hameghairi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MlukZF2i55JhON3aefZjj07OFKhBPNWUEM1VIAMvKZ2Z20d4f5PsPOWPYcOSgusEJOEjCJjfzDGUtccXoBj2nXcjlTUHn5zL/HansVanderPluijm.jpg?width=650)
KOCHA MPYA YANGA APEWA MASHARTI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*pSOuo72vrhZh2gNAIcVBDOL5UeMdPQuKLsiyVEJFKEIk0EOm26IEgHt9-Y6rKxT6vn-X9ij1e7ZwTriWkqKQSY/yanga.jpg?width=650)
Yanga wauziwa beki kwa masharti matatu
10 years ago
Mwananchi21 Apr
Zitto atoa masharti kwa Lowassa
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/L5vwVsPJDZ8/default.jpg)
5 years ago
BBCSwahili29 Apr
Virusi vya corona: Museveni atoa masharti ya kuwadhibiti madereva wa malori Uganda
10 years ago
Mwananchi10 Oct
Kocha Stars atoa dozi
11 years ago
Mwananchi06 Feb
Kocha wa City atoa hofu mashabiki