Kocha wa City atoa hofu mashabiki
Licha ya kupoteza mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Yanga, Kocha Mkuu wa Mbeya City, Juma Mwambusi amesema kuwa hajakatishwa tamaa na matokeo hayo na badala yake wataendelea na kasi yao ili wachukue ubingwa kwa mara ya kwanza.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi21 Oct
Mashabiki Mbeya City wamlilia kocha
11 years ago
Mwananchi17 Feb
Kocha atoa siri za Mbeya City
9 years ago
Bongo Movies16 Sep
Wolper Awatoa Hofu Mashabiki, Asisitiza Kubaki Kuwa Jacqueline Lowassa
Staa wa Bongo Movies, Jacqueline Wolper ambaye amejipambanua siasa kuwa anaunga mkono madadiliko kupitia UKAWA na kushiriki katika harakati za kumpigia kampeni Mh Edward Lowassa ambaye ni mgombea urasi kupitia UKAWA kwa tiketi ya CHADEMA, amewatoa hofu mashabiki wao kuwa hakuna bifu miongoni mwao kwani siasa zikiisha wataendelea na maisha yao kama kawaida tofauti na baadhi ya mashabiki wanavyodhani hasa baada ya wasanii hao wa bongo movies walivyotafautiana kimitazamo ya kisiasa kwakipindi...
9 years ago
Habarileo09 Sep
Kocha Faru Jeuri awapa tano mashabiki
BAADA ya timu ya Faru Jeuri kutwaa ubingwa wa Ndondo Cup 2015 kwa kuifunga Kauzu FC kwa penalti 4-3 baada ya pambano kumalizika kwa sare ya bila kufungana ndani ya dakika 90, kocha wa Faru Jeuri, Spear Mbwembwe amewashukuru wachezaji na mashabiki wote.
10 years ago
Mwananchi10 Oct
Kocha Stars atoa dozi
9 years ago
Raia Tanzania07 Sep
Kocha Yanga atoa masharti
KOCHA wa Mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga Hans Pluijm ameikataa kambi ya Zanzibar ameutaka uongozi kutafuta kambi hapa Dar es Salaam kwa ajili ya kujiandaa na mchezo wao wa kwanza wa ligi Kuu dhidi ya Coastal Union Jumapili katika Uwanja wa Taifa.
Awali uongozi wa Yanga ulitangaza kwenda kuweka kambi visiwani Zanzibar na kucheza mchezo mmoja wa kirafiki ili kujiweka sawa na Ligi Kuu Tanzania Bara.
Katibu Mkuu wa Yanga Jonas Tiboroha alisema jana kuwa kocha wao hameghairi...
11 years ago
Mwananchi19 Jun
Brazil 2014: Kocha wa Nigeria awajia juu mashabiki
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oszb1oYwZClyqvb55X9PJSyZ6C9GNCVopoaF3ECQwqLNDxTJ8GTEoIJKtyuge8*0Zv2ZtB1udbLxVQqroMc7caYXBr*TvgPS/BACKAMANI.jpg?width=650)
HOFU YA BOMU MLIMANI CITY
11 years ago
Tanzania Daima17 Jan
Kocha mpya Yanga atoa masharti matatu
KOCHA mpya wa Yanga, Mholanzi Hans Van Der Pluyjm, amewataka wachezaji wa timu hiyo kuzingatia mambo matatu muhimu katika kupigania mafanikio ya timu hiyo dimbani ambayo ni nidhamu, upendo na...