Kocha Faru Jeuri awapa tano mashabiki
BAADA ya timu ya Faru Jeuri kutwaa ubingwa wa Ndondo Cup 2015 kwa kuifunga Kauzu FC kwa penalti 4-3 baada ya pambano kumalizika kwa sare ya bila kufungana ndani ya dakika 90, kocha wa Faru Jeuri, Spear Mbwembwe amewashukuru wachezaji na mashabiki wote.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima20 Aug
Darasa awapa tano mashabiki
MSANII wa muziki wa Hip Hop nchini, Sharifu Thabit ‘Darasa’, amewashukuru mashabiki wa muziki huo, kwa kumpa sapoti katika muziki wake tangu alipoingia katika tasnia hiyo. Akizungumza Tanzania Daima jijini...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JKksqYJJ9YhhV0jaKaI6CQX8Uo1DsLiAFnU9Muybp9Bsftq97CThFMHusNIz31Dr4ibzO-1qUCGhtFcQI5s4GluYJ6kghrkj/11.gif?width=650)
Maximo awapa jeuri Tegete, Cannavaro
11 years ago
Dewji Blog13 Jul
Magufuli awapa tano makandarasi wazawa
Waziri wa Ujenzi, Dk.John Pombe Magufuli, akifuatilia kwa makini taarifa iliyokuwa ikitolewa na kaimu meneja TANROADS mkoa wa Singida Mhandisi, Leonard Kapongo kwenye hafla ya kuweka jiwe la msingi kwa ujenzi wa barabara ya Manyoni mjini yenye urefu wa kilometa mbili kwa kiwango cha lami.Wa kwanza kushoto ni mkuu wa wilaya ya Manyoni na anayefuatia ni mkuu wa mkoa wa Singida .Dk.Parseko Kone.
Na Nathaniel Limu, Manyoni
Serikali imewaagiza Mameneja wa TANROADS na Wakurugenzi watendaji wa...
9 years ago
Habarileo09 Oct
Malinzi awapa tano Taifa Stars
RAIS wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) ameipongeza timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ na Watanzania wote kwa ushindi waliopata dhidi ya Malawi juzi.
10 years ago
Bongo Movies18 May
Ndauka Atupiwa Lawama na Mashabiki, Awapa Pole!
Staa mrembo wa Bongo Movies, Rose Nduka ametupiwa lawama na baadhi ya mashabuki wake kwa kuweka picha mtandaoni akiwa amalazwa hospital na wao kudhani kweli kumbe yupo ‘ON SET’ ya movie mpya.
Hapo jana Rose ndauka alibandika picha hiyo hapo juu akiwa amelala kwenye kitanda ya hospital na kuandika “AAR Hospital” kitendo ambacho kiliwafanya mashabiki weke wengi kudhani kuwa Rose anamwa na kuanza kumpa pole na kumuombea dua apone haraka.
Baada ya masaa kadhaa kupita, Rose akaweka tena picha...
9 years ago
GPLJOSE CHAMELEONE AWAPA SURPRISE YA NGUVU MASHABIKI WA SKYLIGHT
9 years ago
Dewji Blog01 Nov
Jose Chameleone awapa surprise ya nguvu mashabiki wa Skylight Band, usikose leo kiota cha Escape One
Muimbaji kutoka nchiniUganda Jose Chameleone akiimba kwenye stage ya bendi ya Skylight mara baada ya kupanda kwenye stage hiyo na kuwaacha mashabiki awa bendi hiyo wakitoa shangwe ya nguvu. Njoo leo Skylight imekuandalia suprise za kutosha kutoka katika bendi hii.
Muimbaji wa nchini Uganda Jose Chameleone (katikati) akiimba kwa hisia moja ya nyimbo yake uku akisindikizwa na waimbaji wa bendi ya Skylight kushoto ni Suzy pamoja na Kasongo Junior (kulia).
Sony Masamba ambaye ni mmoja...
11 years ago
Mwananchi06 Feb
Kocha wa City atoa hofu mashabiki
10 years ago
Mwananchi21 Oct
Mashabiki Mbeya City wamlilia kocha