Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kocha Faru Jeuri awapa tano mashabiki

BAADA ya timu ya Faru Jeuri kutwaa ubingwa wa Ndondo Cup 2015 kwa kuifunga Kauzu FC kwa penalti 4-3 baada ya pambano kumalizika kwa sare ya bila kufungana ndani ya dakika 90, kocha wa Faru Jeuri, Spear Mbwembwe amewashukuru wachezaji na mashabiki wote.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Darasa awapa tano mashabiki

MSANII wa muziki wa Hip Hop nchini, Sharifu Thabit ‘Darasa’, amewashukuru mashabiki wa muziki huo, kwa kumpa sapoti katika muziki wake tangu alipoingia katika tasnia hiyo. Akizungumza Tanzania Daima jijini...

 

11 years ago

GPL

Maximo awapa jeuri Tegete, Cannavaro

Kocha Mbrazili, Marcio Maximo. Na Wilbert Molandi
WACHEZAJI mahiri wa Yanga, beki Nadir Haroub ‘Cannavaro’ na straika Jerry Tegete, wamefurahishwa na ujio wa Kocha Mbrazili, Marcio Maximo katika kikosi cha Yanga na wakatamba kuwa timu yao itakuwa tishio msimu ujao.…

 

11 years ago

Dewji Blog

Magufuli awapa tano makandarasi wazawa

DSC00056

Waziri wa Ujenzi, Dk.John Pombe Magufuli, akifuatilia kwa makini taarifa iliyokuwa ikitolewa na kaimu meneja TANROADS mkoa wa Singida Mhandisi, Leonard Kapongo kwenye hafla ya kuweka jiwe la msingi kwa ujenzi wa barabara ya Manyoni mjini yenye urefu wa kilometa mbili kwa kiwango cha lami.Wa kwanza kushoto ni mkuu wa wilaya ya Manyoni na anayefuatia ni mkuu wa mkoa wa Singida .Dk.Parseko Kone.

Na Nathaniel Limu, Manyoni

Serikali  imewaagiza Mameneja wa TANROADS na Wakurugenzi watendaji wa...

 

9 years ago

Habarileo

Malinzi awapa tano Taifa Stars

RAIS wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) ameipongeza timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ na Watanzania wote kwa ushindi waliopata dhidi ya Malawi juzi.

 

10 years ago

Bongo Movies

Ndauka Atupiwa Lawama na Mashabiki, Awapa Pole!

Staa mrembo wa Bongo Movies, Rose Nduka ametupiwa lawama na baadhi ya mashabuki  wake kwa kuweka picha mtandaoni akiwa amalazwa hospital na wao kudhani kweli kumbe yupo ‘ON SET’ ya movie mpya.

Hapo jana Rose ndauka alibandika picha hiyo hapo juu akiwa amelala kwenye kitanda ya hospital na kuandika “AAR Hospital” kitendo ambacho kiliwafanya mashabiki weke wengi kudhani kuwa Rose anamwa na kuanza kumpa pole na kumuombea dua apone haraka.

Baada ya masaa kadhaa kupita, Rose akaweka tena picha...

 

9 years ago

GPL

JOSE CHAMELEONE AWAPA SURPRISE YA NGUVU MASHABIKI WA SKYLIGHT

Muimbaji kutoka nchiniUganda Jose Chameleone akiimba kwenye stage ya bendi ya Skylight mara baada ya kupanda kwenye stage hiyo na kuwaacha mashabiki awa bendi hiyo wakitoa shangwe ya nguvu. Muimbaji wa nchini Uganda Jose Chameleone (katikati) akiimba kwa hisia moja ya nyimbo yake uku akisindikizwa na waimbaji wa bendi ya Skylight kushoto ni Suzy pamoja na Kasongo Junior (kulia).… ...

 

9 years ago

Dewji Blog

Jose Chameleone awapa surprise ya nguvu mashabiki wa Skylight Band, usikose leo kiota cha Escape One

Muimbaji kutoka nchiniUganda Jose Chameleone akiimba kwenye stage ya bendi ya Skylight mara baada ya kupanda kwenye stage hiyo na kuwaacha mashabiki awa bendi hiyo wakitoa shangwe ya nguvu. Njoo leo Skylight imekuandalia suprise za kutosha kutoka katika bendi hii.

DSC_0048

 

Muimbaji wa nchini Uganda Jose Chameleone (katikati) akiimba kwa hisia moja ya nyimbo yake uku akisindikizwa na waimbaji wa bendi ya Skylight kushoto ni Suzy pamoja na Kasongo Junior (kulia).

 

Sony Masamba ambaye ni mmoja...

 

11 years ago

Mwananchi

Kocha wa City atoa hofu mashabiki

Licha ya kupoteza mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Yanga, Kocha Mkuu wa Mbeya City, Juma Mwambusi amesema kuwa hajakatishwa tamaa na matokeo hayo na badala yake wataendelea na kasi yao ili wachukue ubingwa kwa mara ya kwanza.

 

10 years ago

Mwananchi

Mashabiki Mbeya City wamlilia kocha

Baadhi ya mashabiki wa Mbeya City walioko jijini Mbeya, wamesema moja ya sababu ya timu yao kushindwa kuonyesha cheche zake kama ilivyokuwa msimu uliopita wa Ligi Kuu Bara ni pengo linaonekana baada ya kuondoka kwa aliyekuwa kocha msaidizi, Maka Mwalwisi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani