Darasa awapa tano mashabiki
MSANII wa muziki wa Hip Hop nchini, Sharifu Thabit ‘Darasa’, amewashukuru mashabiki wa muziki huo, kwa kumpa sapoti katika muziki wake tangu alipoingia katika tasnia hiyo. Akizungumza Tanzania Daima jijini...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo09 Sep
Kocha Faru Jeuri awapa tano mashabiki
BAADA ya timu ya Faru Jeuri kutwaa ubingwa wa Ndondo Cup 2015 kwa kuifunga Kauzu FC kwa penalti 4-3 baada ya pambano kumalizika kwa sare ya bila kufungana ndani ya dakika 90, kocha wa Faru Jeuri, Spear Mbwembwe amewashukuru wachezaji na mashabiki wote.
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/-xKNkCdhR-Dg/VQBdLKJ9JnI/AAAAAAAAB7c/gDCnhnICgYc/s72-c/William%2BLukuvi.jpg)
Lukuvi awapa darasa maofisa ardhi
NA DOTTO MADUHU, MWANZA
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Wiliam Lukuvi, amewaagiza maofisa ardhi na wazee wa mabaraza ya ardhi, kuhakikisha wanatenda haki ya kutoa hukumu kwa wakati kuhusu mashauri ya ardhi.
![](http://4.bp.blogspot.com/-xKNkCdhR-Dg/VQBdLKJ9JnI/AAAAAAAAB7c/gDCnhnICgYc/s1600/William%2BLukuvi.jpg)
Lukuvi alisema hayo jana katika ziara yake ya siku mbili mkoani hapa, na kuongeza kuwa lengo la ziara hiyo ni kutokana na kuwepo kwa malalamiko mengi kutoka kwa wananchi wa kanda ya ziwa.
Aliwaasa maofisa ardhi kuhudumia wananchi kwa haki na uzalendo bila kujali uwezo wao wa...
10 years ago
Uhuru Newspaper13 Nov
Mgimwa awapa darasa waongoza watalii
NA JAMES LANKA, MOSHI
NAIBU Waziri wa Maliasili na Utaliii, Mahmoud Mgimwa, amewataka waongoza watalii kuhakikisha wanapewa mikataba halali ya kazi na wamiliki wa kampuni wanayofanyakazi ili kuepuka kunyonywa haki zao.
Mgimwa alitoa rai katika mkutano mkuu wa mwaka wa Chama cha Waongoza Watalii Mlima Kilimanjaro (KGA), kilichofanyika juzi mjini hapa.
Mwenyekiti wa chama hicho, Respicius Baitwa, alimueleza naibu waziri kuwa, pamoja na ugumu wa kazi yao, baadhi ya wamiliki wa kampuni za utalii...
11 years ago
Dewji Blog13 Jul
Magufuli awapa tano makandarasi wazawa
Waziri wa Ujenzi, Dk.John Pombe Magufuli, akifuatilia kwa makini taarifa iliyokuwa ikitolewa na kaimu meneja TANROADS mkoa wa Singida Mhandisi, Leonard Kapongo kwenye hafla ya kuweka jiwe la msingi kwa ujenzi wa barabara ya Manyoni mjini yenye urefu wa kilometa mbili kwa kiwango cha lami.Wa kwanza kushoto ni mkuu wa wilaya ya Manyoni na anayefuatia ni mkuu wa mkoa wa Singida .Dk.Parseko Kone.
Na Nathaniel Limu, Manyoni
Serikali imewaagiza Mameneja wa TANROADS na Wakurugenzi watendaji wa...
9 years ago
Habarileo09 Oct
Malinzi awapa tano Taifa Stars
RAIS wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) ameipongeza timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ na Watanzania wote kwa ushindi waliopata dhidi ya Malawi juzi.
10 years ago
Tanzania Daima13 Nov
Mwanafunzi wa darasa la tano atoweka nyumbani
MTOTO, Valentina Ngoya (14), Mkazi wa Songambele, Mererani mkoani Manyara anatafutwa na wazazi wake baada ya kuondoka nyumbani kwao tangu Novemba 3 mwaka huu akienda shule. Akizungumza na Tanzania Daima...
10 years ago
Bongo Movies18 May
Ndauka Atupiwa Lawama na Mashabiki, Awapa Pole!
Staa mrembo wa Bongo Movies, Rose Nduka ametupiwa lawama na baadhi ya mashabuki wake kwa kuweka picha mtandaoni akiwa amalazwa hospital na wao kudhani kweli kumbe yupo ‘ON SET’ ya movie mpya.
Hapo jana Rose ndauka alibandika picha hiyo hapo juu akiwa amelala kwenye kitanda ya hospital na kuandika “AAR Hospital” kitendo ambacho kiliwafanya mashabiki weke wengi kudhani kuwa Rose anamwa na kuanza kumpa pole na kumuombea dua apone haraka.
Baada ya masaa kadhaa kupita, Rose akaweka tena picha...
9 years ago
GPLJOSE CHAMELEONE AWAPA SURPRISE YA NGUVU MASHABIKI WA SKYLIGHT
11 years ago
GPLUZINDUZI VIDEO YA ‘HIP HOP DARASA’ YA FID Q WAVUTIA MASHABIKI