Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kocha Stars atoa dozi

Kocha wa Taifa Stars, Mart Nooij amesema ameandaa dozi ya mazoezi ya mara mbili kwa siku kukipa makali kikosi chake kinachojiandaa kuikabili Benin, Jumapili.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Mkwasa aipunguzia dozi Stars

KIKOSI cha Taifa Stars sasa kitaendelea na mazoezi mara moja tu kwa siku kwa siku zote zilizobaki za kambi yake hapa nchini Uturuki. Stars imeweka kambi ya siku nane mjini Kartepe, Uturuki kujiandaa na mechi yake dhidi ya Nigeria itakayofanyika Septemba 5 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

 

11 years ago

Michuzi

KOCHA MPYA WA TAIFA STARS AONGEZA WACHEZAJI TISA STARS

Kocha mpya wa Taifa Stars, Mart Nooij ameongeza wachezaji tisa katika kikosi hicho kinachojiandaa kwa mechi ya kirafiki dhidi ya Malawi (The Flames) itakayochezwa Mei 4 mwaka huu katika Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya.
Wachezaji walioongezwa ni Edward Charles Manyama (JKT Ruvu), Elias Maguli (Ruvu Shooting), Hassan Dilunga (Yanga), Hussein Javu (Yanga), John Bocco (Azam), Kelvin Friday (Azam), Oscar Joshua (Yanga), Nadir Haroub (Yanga) na Shomari Kapombe (AC Cannes, Ufaransa).
Naye beki...

 

9 years ago

Raia Tanzania

Kocha Yanga atoa masharti

KOCHA wa Mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga Hans Pluijm ameikataa kambi ya Zanzibar ameutaka uongozi kutafuta kambi hapa Dar es Salaam kwa ajili ya kujiandaa na mchezo wao wa kwanza wa ligi Kuu dhidi ya Coastal Union Jumapili katika Uwanja wa Taifa.

Awali uongozi wa Yanga ulitangaza kwenda kuweka kambi visiwani Zanzibar na kucheza mchezo mmoja wa kirafiki ili kujiweka sawa na Ligi Kuu Tanzania Bara.

Katibu Mkuu wa Yanga Jonas Tiboroha alisema jana kuwa kocha wao hameghairi...

 

11 years ago

Mwananchi

Kocha wa City atoa hofu mashabiki

Licha ya kupoteza mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Yanga, Kocha Mkuu wa Mbeya City, Juma Mwambusi amesema kuwa hajakatishwa tamaa na matokeo hayo na badala yake wataendelea na kasi yao ili wachukue ubingwa kwa mara ya kwanza.

 

11 years ago

Mwananchi

Kocha atoa siri za Mbeya City

Kocha wa Mbeya City, Juma Mwambusi ametaja siri tatu za kikosi chake kuwa tishio kwenye msimu huu wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Timu hiyo iliyopanda kwenye msimu huu wamefungwa mechi moja pekee na Yanga wakichapwa 1-0.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kocha mpya Yanga atoa masharti matatu

KOCHA mpya wa Yanga, Mholanzi Hans Van Der Pluyjm, amewataka wachezaji wa timu hiyo kuzingatia mambo matatu muhimu katika kupigania mafanikio ya timu hiyo  dimbani ambayo ni nidhamu, upendo na...

 

11 years ago

GPL

KOCHA MPYA STARS

Martinus Ignatius "Mart" Nooij. Kocha mpya wa Taifa Stars ni Mholanzi, Martinus Ignatius "Mart" Nooij anayetarajiwa kutambulishwa rasmi Machi 24 mwaka huu na Rais wa TFF, Jamal Malinzi! CHANZO NI BIN ZUBEIRY…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ngasa amkera kocha Stars

WAKATI msafara wa timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars ukitarajiwa kurejea nchini kesho ukitokea kambini nchini Botswana, kuna habari kuwa Kocha Mart Nooij, amemtema mshambuliaji Mrisho Ngasa kwa utovu...

 

10 years ago

Mwananchi

Kocha Stars awachunia wanahabari

Kocha wa timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Martin Nooij jana alitoa mpya alipogoma kuzungumza na waandishi wa habari baada ya kuwasili mkoani hapa kwa ajili mechi ya kirafiki ya kimataifa dhidi ya Malawi inayotarajiwa kufanyika Uwanja wa CCM Kirumba, Jumapili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani