Kocha Yanga atoa masharti
KOCHA wa Mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga Hans Pluijm ameikataa kambi ya Zanzibar ameutaka uongozi kutafuta kambi hapa Dar es Salaam kwa ajili ya kujiandaa na mchezo wao wa kwanza wa ligi Kuu dhidi ya Coastal Union Jumapili katika Uwanja wa Taifa.
Awali uongozi wa Yanga ulitangaza kwenda kuweka kambi visiwani Zanzibar na kucheza mchezo mmoja wa kirafiki ili kujiweka sawa na Ligi Kuu Tanzania Bara.
Katibu Mkuu wa Yanga Jonas Tiboroha alisema jana kuwa kocha wao hameghairi...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima17 Jan
Kocha mpya Yanga atoa masharti matatu
KOCHA mpya wa Yanga, Mholanzi Hans Van Der Pluyjm, amewataka wachezaji wa timu hiyo kuzingatia mambo matatu muhimu katika kupigania mafanikio ya timu hiyo dimbani ambayo ni nidhamu, upendo na...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MlukZF2i55JhON3aefZjj07OFKhBPNWUEM1VIAMvKZ2Z20d4f5PsPOWPYcOSgusEJOEjCJjfzDGUtccXoBj2nXcjlTUHn5zL/HansVanderPluijm.jpg?width=650)
KOCHA MPYA YANGA APEWA MASHARTI
10 years ago
Mwananchi21 Apr
Zitto atoa masharti kwa Lowassa
10 years ago
Vijimambo09 Mar
KOCHA WA YANGA AGOMA KUMPA MKONO KOCHA MWENZIE
![](http://taarifa.co.tz/wp-content/uploads/2015/03/kocha-640x360.jpg)
![](http://taarifa.co.tz/wp-content/uploads/2015/03/kochaa-640x360.jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/L5vwVsPJDZ8/default.jpg)
5 years ago
BBCSwahili29 Apr
Virusi vya corona: Museveni atoa masharti ya kuwadhibiti madereva wa malori Uganda
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7F975s5rOKhU*iY06q-rSZ*wo2eDJ2IxcCdbJEks3gXkEPXxzTZOSvlebrwMNvJwZLLlH1wJEKEcLHC7glEB3YgsinMmkchP/11111yqnga.jpg?width=650)
Yanga yaipa masharti 5 TFF
10 years ago
Mwananchi12 Feb
Simba kuishangilia Yanga kwa masharti