Yanga wauziwa beki kwa masharti matatu
![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*pSOuo72vrhZh2gNAIcVBDOL5UeMdPQuKLsiyVEJFKEIk0EOm26IEgHt9-Y6rKxT6vn-X9ij1e7ZwTriWkqKQSY/yanga.jpg?width=650)
Na Sweetbert Lukonge WAKATI uongozi wa Yanga ukiwa katika harakati za kutaka kumsajili beki wa kulia wa Mtibwa Sugar, Hamis Kessy, umepewa masharti matatu ya kufanya ili uweze kukamilisha usajili huo. Yanga inamhitaji beki huyo ambaye msimu uliopita alifanya vizuri zaidi akiwa na kikosi cha Mtibwa Sugar ili iweze kuimarisha safu yake ya ulinzi kwa ajili ya michuano ya ligi kuu na ile ya kimataifa ambayo itashiriki mwakani....
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima17 Jan
Kocha mpya Yanga atoa masharti matatu
KOCHA mpya wa Yanga, Mholanzi Hans Van Der Pluyjm, amewataka wachezaji wa timu hiyo kuzingatia mambo matatu muhimu katika kupigania mafanikio ya timu hiyo dimbani ambayo ni nidhamu, upendo na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HwqJujqzkWgANHqeLkVdfgDExQBUsIFyHPj02kWafWcCuM9NkBYALN7msY-*kDHf*7oUlwR99zKDLMq7yYtosoOntiky-jjV/Untitled1.jpg?width=650)
Okwi awashukuru... Yanga kwa mabao matatu
10 years ago
Mwananchi12 Feb
Simba kuishangilia Yanga kwa masharti
10 years ago
CloudsFM11 Feb
Yanga kulipa deni la Ngasa kwa masharti
HATIMAYE Klabu ya Yanga imekubali kulipa deni analodaiwa mchezaji wao, Mrisho Ngassa na klabu ya Simba, kwa masharti iwapo tu atakubaliana nao katika baadhi ya mambo likiwamo la mkataba au jambo lingine lolote.
Aidha, Ngassa ameahidi kucheza kwa kiwango katika michuano ya ligi na ya kimataifa na kuwa mchezaji bora iwapo tu uongozi wa klabu hiyo utamsaidia kulipa deni hilo kama ulivyoahidi.
Katika msimu wa 2013/2014, Ngassa alijiunga na Yanga akitokea Simba alikokuwa akicheza kwa mkopo akiwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1zruj0PgXfjHN30vS2FwxnBVsIOAUFGCVQ92UC4kQXry1AfeUj2UkZjf8rvqw*UzpGKjBnW4CJkniQPmMnZrG-PrcAEBJHzA/22.gif?width=650)
Yanga watoa masharti mawili kwa Waghana
10 years ago
Habarileo07 Aug
Yanga yasajili beki wa Togo
YANGA imemsajili beki wa kati Vincent Baossou kutoka Togo kuziba nafasi ya Joseph Zuttah wa Ghana aliyetupiwa virago.
10 years ago
Mwananchi30 Dec
Beki tatizo Yanga, Azam
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yv5LJqWpO0pspPZXGabzzVafC8LhqVDWVx8ZzyX5*b69fxWdkIMgPSgT*BczvU*QskzEF5p3BwJMEHKi4BWXRd3*q6zSITe6/yanga.jpg?width=650)
Beki Yanga atimkia Afrika Kusini
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*tHd*uipNJB-kCgU5ue-P05VxQK1JRGfCshUT5qXtWwnoO4KyT-UBbxRkKom*wbjHAOE6kl2AcTLMOO5W8ArJeNkafEoBKhO/11.gif?width=650)
Beki avunja mkataba, atua Yanga