Yanga watoa masharti mawili kwa Waghana
![](http://api.ning.com:80/files/1zruj0PgXfjHN30vS2FwxnBVsIOAUFGCVQ92UC4kQXry1AfeUj2UkZjf8rvqw*UzpGKjBnW4CJkniQPmMnZrG-PrcAEBJHzA/22.gif?width=650)
Hans van Der Pluijm. Na Sweetbert Lukonge SIKU chache baada ya aliyekuwa kocha mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm, kurejea nchini akitokea Ghana alikokuwa ameenda kwa ajili ya kutafuta wachezaji, Yanga wametoa masharti magumu. Kocha huyo ambaye baada ya mkataba wake na Wanajangwani hao kumalizika, aliamua kutimka zake, alisema anakwenda huko kwa ajili ya kuitafutia timu hiyo wachezaji watakaoziba nafasi ya Didier Kavumbagu na...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*pInvkPyr8KEzJU99dujvUkWkdkuMPm8-jUSYgNrAOOEyR1EUJoUomYrUn1NokaD-b8yKh-eKS12s0zCcdG9ZJd/manji.jpg?width=650)
Manji awastopisha Waghana Yanga SC
10 years ago
Mwananchi12 Feb
Simba kuishangilia Yanga kwa masharti
10 years ago
CloudsFM11 Feb
Yanga kulipa deni la Ngasa kwa masharti
HATIMAYE Klabu ya Yanga imekubali kulipa deni analodaiwa mchezaji wao, Mrisho Ngassa na klabu ya Simba, kwa masharti iwapo tu atakubaliana nao katika baadhi ya mambo likiwamo la mkataba au jambo lingine lolote.
Aidha, Ngassa ameahidi kucheza kwa kiwango katika michuano ya ligi na ya kimataifa na kuwa mchezaji bora iwapo tu uongozi wa klabu hiyo utamsaidia kulipa deni hilo kama ulivyoahidi.
Katika msimu wa 2013/2014, Ngassa alijiunga na Yanga akitokea Simba alikokuwa akicheza kwa mkopo akiwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*pSOuo72vrhZh2gNAIcVBDOL5UeMdPQuKLsiyVEJFKEIk0EOm26IEgHt9-Y6rKxT6vn-X9ij1e7ZwTriWkqKQSY/yanga.jpg?width=650)
Yanga wauziwa beki kwa masharti matatu
9 years ago
TZToday26 Oct
11 years ago
BBCSwahili18 Apr
Wanaharakati wa Urusi watoa masharti
10 years ago
Mwananchi18 Dec
Waarabu watoa masharti uwekezaji bandari ya Bagamoyo
11 years ago
Mwananchi08 May
Upinzani watoa masharti magumu kushiriki Uchaguzi Mkuu 2015
11 years ago
GPLCoutinho atupia mabao mawili Yanga