Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanaharakati wa Urusi watoa masharti

Wanaharakati wanaiounga mkono Urusi wametangaza masharti mapya ambayo wanahitaj yatekelezwa kabla ya wao kuondoka kutoka kwa majengo ya serikali

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Wanaharakati wakosoa masharti ya NEC, ZEC

Makundi ya wanaharakati wa masuala ya Sheria na Katiba wamekosoa masharti yaliyoainishwa kwenye tangazo la Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) na ile ya Zanzibar (Zec), wakidai kuwa yanalenga kudhoofisha nguvu ya makundi yanayopinga Katiba Inayopendekezwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanaharakati, walimu watoa somo Bunge la Katiba

WANAHARAKATI mbalimbali nchini wamewataka wajumbe wa Bunge la Katiba kuwa makini na kutunga kanuni ambazo hazitawanyima uhuru wa kupaza sauti makundi yaliyoko pembezoni. Wito huo ulitolewa jijini Dar es Salaam...

 

11 years ago

GPL

Yanga watoa masharti mawili kwa Waghana

Hans van Der Pluijm. Na Sweetbert Lukonge
SIKU chache baada ya aliyekuwa kocha mkuu wa Yanga, Hans van Der Pluijm, kurejea nchini akitokea Ghana alikokuwa ameenda kwa ajili ya kutafuta wachezaji, Yanga wametoa masharti magumu. Kocha huyo ambaye baada ya mkataba wake na Wanajangwani hao kumalizika, aliamua kutimka zake, alisema anakwenda huko kwa ajili ya kuitafutia timu hiyo wachezaji watakaoziba nafasi ya Didier Kavumbagu na...

 

10 years ago

Mwananchi

Waarabu watoa masharti uwekezaji bandari ya Bagamoyo

Maofisa wa eneo huria la uwekezaji la Jafza katika Bandari Jebel Ali ya jijini hapa wamelalamikia urasimu katika maeneo mbalimbali ya uwekezaji Tanzania na kudai kuwa ndiyo yanayokwamisha shughuli nyingi za maendeleo.

 

11 years ago

Mwananchi

Upinzani watoa masharti magumu kushiriki Uchaguzi Mkuu 2015

Serikali imetakiwa kuandaa taratibu za mpito za kushughulikia Uchaguzi Mkuu ujao ili kunusuru nchi kuingia katika mtanziko unaoweza kuwa chanzo cha machafuko ya kisiasa, endapo utafanyika bila kupatikana kwa Katiba Mpya la sivyo Kambi Rasmi ya haitashiriki.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Serikali zimeanza kulegeza masharti ya kukabiliana maambukizi, Je kulegeza masharti ni hatari kiasi gani?

Nchini Uingereza watu wameanza kurejelelea shughuli zao za kawaida, watu kukutana, baadhi ya watoto wanarejea shuleni, maeneo ya maonyesho ya magari yanafunguliwa, na masoko kufunguliwa tena.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanaharakati wa Ukimwi wampinga Kenyatta

Wanaharakati wa Ukimwi nchini Kenya wamewasilisha kesi mahakamani kupinga agizo la rais Uhuru Kenyatta la kuundwa orodha ya wagonjwa

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanaharakati walishutumu jeshi la Iraq

Wanaharakati wa haki za binadamu wanalishutumu Jeshi la Iraq kwa kushindwa kuokoa maelfu ya watu kufikia sehemu salama ya nchi hiyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanaharakati walaani wanawake kuuawa

MTANDAO wa Kupambana na Ukatili wa Kijinsia (Mkuki), umelaani matukio ya wanawake kuuawa kikatili na watu wasiojulikana ambao wakati mwingine huwakata na kuchukua viungo kwenye miili yao, ili kuvitumia kwenye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani