Wanaharakati wa Ukimwi wampinga Kenyatta
Wanaharakati wa Ukimwi nchini Kenya wamewasilisha kesi mahakamani kupinga agizo la rais Uhuru Kenyatta la kuundwa orodha ya wagonjwa
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi23 Mar
Wasomi wampinga JK
Wasomi na wachambuzi wa masuala ya kisiasa wameikosoa hotuba ya Rais Jakaya Kikwete aliyoitoa bungeni juzi, huku wengine wakisema inaweza kulivunja Bunge Maalumu la Mabadiliko ya Katiba.
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/ke1.jpg)
JK AKUTANA NA UHURU KENYATTA, AZURU KABURI LA MZEE JOMO KENYATTA
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na mwenyeji wake Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Nairobi leo Jumatatu October 5, 2015 alipokwenda kwa mapokezi rasmi ya ziara yake pamoja na mazungumzo na hatimaye kuaga Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitambulishwa na mwenyeji wake Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya kwa Mkuu wa Majeshi ya Kenya Jenerali Samson Mwathete katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Nairobi leo...
10 years ago
Tanzania Daima03 Oct
Urambo wampinga Sitta
WAKAZI wa Urambo Mashariki, wanakusudia kuandamana kupinga katiba inayopendekezwa iliyopitishwa jana na Bunge Maalum la Katiba. Wakazi hao wamemlaumu Mwenyekiti wa Bunge hilo Samuel Sitta, kwa kuruhusu katiba inayopendekezwa kubeba...
10 years ago
BBCSwahili08 Mar
Raia wa Israel wampinga Netanyahu
Watu zaidi ya elfu 25 wameshiriki kwenye mhadhara mjini Tel Aviv, kumpinga waziri mkuu, Benjamin Netanyahu
10 years ago
Mwananchi18 Oct
AREMA wampinga Profesa Muhongo
Chama cha Wachimbaji Madini Mkoa wa Arusha (Arema), kimepinga mpango wa Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo wa kukifuta Chama cha Wachimbaji Madini Wanawake (Tawoma) baada ya kupinga ongezeko la tozo kwa wachimbaji wadogo.
11 years ago
Mwananchi12 May
Tabora wampinga Mufti Sheikh Simba
Kutokana na kuondolewa kwa Sheikh wa Mkoa wa Tabora, Shaaban Salum na Mufti wa Tanzania, Sheikh Shaaban Issa bin Simba, baadhi ya Waislamu wamedai kitendo hicho hakivumiliki.
10 years ago
BBCSwahili19 Jan
Wampinga Kabila kuwania urais nchini DRC
Polisi nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo wamewafyatulia risasi waandamanaji kwenye mji mkuu Kinshasa walio na hasira
9 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-jB9FWRS1DJQ/VhJSPk0tQmI/AAAAAAAH9AE/wyJqhp2ZyQ8/s640/ke1.jpg)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS UHURU KENYATTA, AZURU KABURI LA BABA WA TAIFA LA KENYA MZEE JOMO KENYATTA
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na mwenyeji wake Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Nairobi leo Jumatatu October 5, 2015 alipokwenda kwa mapokezi rasmi ya ziara yake pamoja na mazungumzo na hatimaye kuaga. Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitambulishwa na mwenyeji wake Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya kwa Mkuu wa Majeshi ya Kenya Jenerali Samson Mwathete katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Nairobi leo...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-jB9FWRS1DJQ/VhJSPk0tQmI/AAAAAAAH9AE/wyJqhp2ZyQ8/s72-c/ke1.jpg)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS UHURU KENYATTA, AZURU KABURI LA BABA WA TAIFA LA KENYA HAYATI MZEE JOMO KENYATTA
Serikali ya Kenya na watu wake wameelezea shukrani zake kwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwa urafiki na ushirikiano thabiti aliouonyesha kwa watu wa Kenya katika kipindi cha miaka 10 ya uongozi wake. Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amesema hayo tarehe 5 Oktoba, 2015 katika Ikulu ya Nairobi wakati wa mazungumzo ya kiserikali. "I thank you, and on behalf of People of Kenya for your friendship and Cooperation that was reflected during your 10 years as President" Rais Kenyatta amemueleza Rais Kikwete...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania