NSSF YATANGAZA BEI YA KUPANGISHA NYUMBA ZAKE
![](https://1.bp.blogspot.com/-codrRs2ions/XrmUjImYudI/AAAAAAALp1k/EvRXTiG6Qf49guRqCb5_Y7xqqI8q1NdRACLcBGAsYHQ/s72-c/8ff4a1ff-e8e1-4259-989f-3bce726da3eb.jpg)
Na Said Mwishehe, Michuzi TV
SHIRIKA la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), limetangaza bei ya nyumba zake ambazo zimepitishwa na Mthamini Mkuu wa Serikali kuwa kodi ni kati ya Sh. 250,000 mpaka Sh. 500,000.
Kwa mujibu wa NSSF ni kwamba kutokana na kodi hiyo mteja anaweza kulipa kuanzia mwezi mmoja, miezi mitatu hadi mwaka kutegemeana na aina ya nyumba anayotaka kupangisha.
Akizungumza alipotembelea mradi wa nyumba Dungu uliopo Kigamboni jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, William...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ajp3-hfoQ7U/VBmDJOJ9ewI/AAAAAAAGkFU/a-Pa7tdWWTY/s72-c/unnamed.jpg)
AICC YAZINDUA NYUMBA ZA KISASA ZA KUPANGISHA JIJINI ARUSHA
![](http://3.bp.blogspot.com/-ajp3-hfoQ7U/VBmDJOJ9ewI/AAAAAAAGkFU/a-Pa7tdWWTY/s1600/unnamed.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-epYwIjpLnIw/VBmDJGofsfI/AAAAAAAGkFM/CoH46pBFDsM/s1600/unnamedC.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qpgqxNSSr2k/VBmDJezwf2I/AAAAAAAGkFQ/3FXJORv1iR8/s1600/unnamedF.jpg)
9 years ago
Mtanzania27 Oct
Facts Production kuuza filamu zake nyumba kwa nyumba
NA HERIETH FAUSTINE
KAMPUNI ya Facts Production inatarajia kuanza kusambaza filamu yake mpya ya ‘Niliyemchagua’ kwa mfumo wa nyumba kwa nyumba.
Mkurugenzi wa Kampuni hiyo, Mohammed Kazi ‘Mudy Kazi’ alisema ameamua kufanya hivyo ili kutoa nafasi ya wasiopata muda wa kwenda kununua CD za filamu hiyo katika maduka makubwa waweze kununua wakiwa nyumbani kwao.
“Lakini pia tumeona ni vizuri kwa kuwa itasaidia kuwatambulisha wasanii wetu chipukizi ambao wana uwezo mkubwa kuliko wasanii wenye majina...
10 years ago
Vijimambo07 Mar
SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA (NHC) LAZINDUA MAUZO YA NYUMBA ZAKE ZA VICTORIA PLACE, DARâ€
10 years ago
GPLSHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA (NHC) LAZINDUA MAUZO YA NYUMBA ZAKE ZA VICTORIA PLACE, DAR
11 years ago
Mwananchi13 May
NSSF yatangaza hasara ujenzi daraja la Kigamboni
9 years ago
Press10 Oct
OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU YATANGAZA MFUMUKO WA BEI
Mfumuko wa Bei wa Taifa kwa mwezi Septemba, 2015 umepungua hadi asilimia 6.1 kutoka asilimia 6.4 ilivyokuwa mwezi Agosti, 2015.
Mkurugenzi wa Takwimu za Jamii na Sensa ya Watu Ephraim Kwesigabo akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam wakati akitangaza Mfumuko wa Bei wa mwezi Septemba, 2015 ambao umepungua hadi asilimia 6.1 kutoka asilimia 6.4 ilivyokuwa mwezi Agosti, 2015.
Baadhi ya waandishi wa Habari wakimsikiliza Mkurugenzi wa Takwimu za Jamii na Sensa ya Watu...
10 years ago
StarTV07 Jan
EWURA yatangaza kushuka kwa bei ya Mafuta.
Na Josephine Mwaiswaga,
Dar es Salaam.
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji EWURA imetangaza kushuka kwa bei ya mafuta ya Petrol, Dizel na ya taa katika masoko yote ya jumla na rejareja.
comprar kamagra baratoKushuka kwa bei hizo kunatokana na kuporomoka kwa thamani ya dola katika soko la dunia hali iliyosababisha bei ya mafuta kuwa dola 60 kwa pipa moja badala ya dola 100 ya awali.
Akitangaza kushuka kwa bei hizo Mkurugenzi Mtendaji wa EWURA Felix Ngamlagosi amesema...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-0wanJlZ6PiE/VdLvMH8fEJI/AAAAAAAAxw8/PAQKMvFbgm8/s72-c/CCM%2BCOLOUR.jpg)
5 years ago
MichuziSERIKALI YATANGAZA BEI ELEKEZI YA CHANJO 13 ZA MAGONJWA YA MIFUGO
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina akimkabidhi vitendea kazi Mwenyekiti mpya wa Bodi ya Wakala wa Maabara ya Veterinari Tanzania (TVLA), Profesa Amandus Muhairwa baada ya kuiziduia bodi hiyo na kupokea taarifa ya kutangazwa kwa bei elekezi ya Chanjo Makao Makuu ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi Mtumba jijini Dodoma
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10