AICC YAZINDUA NYUMBA ZA KISASA ZA KUPANGISHA JIJINI ARUSHA
![](http://3.bp.blogspot.com/-ajp3-hfoQ7U/VBmDJOJ9ewI/AAAAAAAGkFU/a-Pa7tdWWTY/s72-c/unnamed.jpg)
Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Jowika Kasunga (katikati) akikata utepe kuashilia uzinduzi wa nyumba za kisasa za kupangisha za Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha AICC jijini Arusha hivi karibuni.
Waandishi wa Habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari wakihakikisha wanapata taarifa na matukio muhimu katika uzinduzi katika uzinduzi wa nyumba mpya (Apartments) za Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC).
Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Arusha ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Monduli, ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Bf1TE41kZDA/VW7Z688ZhpI/AAAAAAAHbkY/DUt63yZVaxs/s72-c/MMGL0077.jpg)
MKUTANO WA TANO WA WADAU WA NSSF WAENDELEA LEO AICC, JIJINI ARUSHA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Bf1TE41kZDA/VW7Z688ZhpI/AAAAAAAHbkY/DUt63yZVaxs/s640/MMGL0077.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-AbGKTOpxyyg/VW7jCV0Wb3I/AAAAAAAHbow/61JjwVYdIo4/s640/MMGL0315.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-codrRs2ions/XrmUjImYudI/AAAAAAALp1k/EvRXTiG6Qf49guRqCb5_Y7xqqI8q1NdRACLcBGAsYHQ/s72-c/8ff4a1ff-e8e1-4259-989f-3bce726da3eb.jpg)
NSSF YATANGAZA BEI YA KUPANGISHA NYUMBA ZAKE
Na Said Mwishehe, Michuzi TV
SHIRIKA la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), limetangaza bei ya nyumba zake ambazo zimepitishwa na Mthamini Mkuu wa Serikali kuwa kodi ni kati ya Sh. 250,000 mpaka Sh. 500,000.
Kwa mujibu wa NSSF ni kwamba kutokana na kodi hiyo mteja anaweza kulipa kuanzia mwezi mmoja, miezi mitatu hadi mwaka kutegemeana na aina ya nyumba anayotaka kupangisha.
Akizungumza alipotembelea mradi wa nyumba Dungu uliopo Kigamboni jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, William...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-bm_xZvGMFNk/Vnd9mWghqDI/AAAAAAAAFOw/eMl7_1caneA/s72-c/1.jpg)
WAZIRI DKT. MAHIGA ATEMBELEA KITUO CHA MIKUTANO CHA KIMATAIFA CHA AICC JIJINI ARUSHA
Balozi Mahiga alisema hayo Desemba 19 baada ya kufanya ziara kwenye eneo hilo na Kituo cha mikutano cha kimataifa cha AICC .
Eneo hilo litajengwa Mahakama ya Kimataifa ya Kimbari(MICT)Mahakama ya Afrika na Haki za Binadamu(AfCHPR) na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TGgojEojrMw/Xk_pqK1TfOI/AAAAAAALetM/xs1pitK35CcWa7uhHnIRF7eGiYnVCnbvwCLcBGAsYHQ/s72-c/0003.jpg)
Vodacom yaendelea kusogeza huduma karibu na wateja wake, yazindua duka jipya la kisasa Mbezi Beach jijini Dar es Salaam
![](https://1.bp.blogspot.com/-TGgojEojrMw/Xk_pqK1TfOI/AAAAAAALetM/xs1pitK35CcWa7uhHnIRF7eGiYnVCnbvwCLcBGAsYHQ/s640/0003.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-oX_6U4rMoAs/Xk_pqNnbVOI/AAAAAAALetI/zSdfqhJ26g4TQhs5xhFmrgiCfP3mxwB7ACLcBGAsYHQ/s640/000066.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-sXwV_iht6ao/Xk_pqMCHetI/AAAAAAALetE/Lsatc2bh6n0kA_j6VAMhA1dXmxdbsheYACLcBGAsYHQ/s640/000077.jpg)
11 years ago
MichuziAirtel yazindua duka lake jijini Arusha
9 years ago
Dewji Blog27 Nov
NHC yazindua mauzo ya nyumba katika mradi wake wa Kawe Jijini Dar es Salaam!
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) Bw. Nehemia Kyando Mchechu (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari Novemba 26, 2015 Jijini Dar es Salaam (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa mauzo ya nyumba katika mradi mpya wa Seven Eleven (711) ulioko Kawe Jijini Dar es Salaam (kulia) Mkurugenzi wa Usimamizi wa Miliki wa Shirika la Nyumba la Taifa, Hamad Abdallah.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) Bw. Nehemia Kyando Mchechu akiwaonesha waandishi wa habari...
10 years ago
Dewji Blog07 May
Bodi ya NHC yatembelea na kukagua miradi ya ujenzi wa nyumba jijini Arusha
![](http://4.bp.blogspot.com/-6lro-IwdEGc/VUsmtQhKHsI/AAAAAAAAAZQ/omqzeXLpG5Q/s640/New%2BPicture%2B(1).png)
Ujumbe wa wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya NHC ukiwa eneo linalomilikiwa na NHC ambalo ujenzi wa Mji wa kisasa umeanza wakionyeshwa na Meneja wa NHC Mkoa wa Arusha Bw. James Kisarika chemchemu za maji yanayotiririka walipotembelea eneo hilo lenye hali ya hewa ya aina yake Jijini Arusha jana.
![](http://4.bp.blogspot.com/-zu4PmAkejKc/VUsmm0Ad9jI/AAAAAAAAAZI/knjxNUWielc/s640/New%2BPicture%2B(2).png)
Usa River ni Arusha Tanzania ambapo NHC Shirika lenye dhamana ya kujenga nyumba bora hapa nchini limeanza kupanga mji huo wenye mandhari na hali ya hewa ya kuvutia. Hapa wajumbe wa Bodi ya NHC na...
11 years ago
MichuziMAPACHA WATATU WAZALIWA SALAMA HOSPITALI YA AICC ARUSHA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-jRgBU0rxu40/VN2gInQfzPI/AAAAAAAHDaE/cW5TKG8nD8E/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-02-13%2Bat%2B9.55.30%2BAM.png)
1ST EAST AFRICA CONGRESS OF ACCOUNTANTS AICC- ARUSHA TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-jRgBU0rxu40/VN2gInQfzPI/AAAAAAAHDaE/cW5TKG8nD8E/s1600/Screen%2BShot%2B2015-02-13%2Bat%2B9.55.30%2BAM.png)
CONFERENCE THEME
“The changing Accounting and Economic Landscape: Opportunities and Challenges for the East African Community”.
The 1st East Africa Congress of Accountants (EACOA) will be held at AICC- Arusha- Tanzania from 5th to 7th March 2015.
The objective of the conference is to create a forum for professional accountants in the region to interact, seek opportunities and to discuss issues impacting the accounting profession in the region.The conference is jointly organised by the...