MAPACHA WATATU WAZALIWA SALAMA HOSPITALI YA AICC ARUSHA
Mkurugenzi Mwendeshaji wa Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC), Elishilia Kaaya akiwa amebeba watoto watatu mapacha Catherine, Caroline na Cathrine ambao walizaliwa mwanzoni mwa wiki hii katika Hospitali ya AICC Jjiini Arusha. Wengine pichani ni Mkurugenzi wa Hospitali ya AICC Prof. Sendui Ole Nguyaine (kushoto), mama mzazi wa watoto hao, Janeth Kimario (katikati) pamoja na wauguzi wa Hospitali hiyo. (Picha kwa hisani ya AICC). Mama huyo alijifungua kwa njia ya oparesheni...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Gk-Khs5Ug5Oj5JvHbyLzpI1lvPhPFrznMF1DedIccLxZmPZ6cK3kixt8Yanoqp2EqzMc55V1YbnwWA5azfCkEOuvnLShtk4a/150416102304_bi_busby__alihitaji_upasuaji_uliojumuisha_madaktari_na_wauguzi_12_kujifungua_watoto_hao_5_624x351_bbc_nocredit.jpg?w)
HAIJAWAHI KUTOKEA, MAPACHA 5 WAZALIWA MAREKANI
10 years ago
Mtanzania12 Aug
Mapacha watatu kuwashukuru Bagamoyo
NA MWALI IBRAHIM
BENDI ya muziki wa dansi ya Mapacha Watatu inatarajia kufanya onyesho maalumu kwa ajili ya shukrani kwa mashabiki wao wa Bagamoyo kutokana na kura walizowapigia hadi wakashinda tuzo za kili.
Mmoja wa viongozi wa bendi hiyo, Khalid Chuma ‘Chokoraa’ alisema, onyesho hilo litafanyika Ijumaa ijayo kwa kutoa nyimbo mbili mpya ambazo ni ‘Mapacha wasasa’ na ‘Wabaya watu’.
“Mashabiki wetu walituwezesha kupata tuzo mbili kwenye mchakato wa tuzo za Kilimanjaro zikiwa ni ‘Mtunzi bora’...
9 years ago
Bongo530 Dec
Music:Mapacha Watatu – Kimatumatu
![mapacha](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/mapacha-300x194.jpg)
Bendi ya Mapacha Watatu “Wakali wa Town” katika kipindi hiki cha kufunga mwaka. Wameachia wimbo mpya. Wimbo unakwenda kwa jina la “Kimatumatu” utunzi wake Khalid Chokoraa kazi ikiwa imetengenezwa na Erasto Mashine.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-u1kfEQfiY5Q/U57ggeze-2I/AAAAAAAFrAM/oRHMu_E54Gs/s72-c/2.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima11 Jun
Mapacha Watatu wafunika Nyama Choma
BENDI ya muziki wa dansi ya Mapacha Watatu imewapagawisha na kukonga nyoyo za mashabiki wa burudani katika tamasha la Heineken Nyama Choma lililofanyika mwishoni mwa wiki baada ya kupiga shoo...
11 years ago
Tanzania Daima29 May
Mapacha Watatu kupamba Miss Bagamoyo
BENDI ya muziki wa dansi ya Mapacha Watatu, inatarajiwa kunogesha shindano la kumsaka mrembo wa Wilaya ya Bagamoyo ‘Miss Bagamoyo’ mkoani Pwani. Shindano hilo limepangwa kufanyika katika Ukumbi wa Palm...
11 years ago
Michuzi19 Apr
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HjAnC3puPQ3EO2vcIjj7np1aweAgFhbzy5-8qtVGmOnU3PmnJL6Fr9lbOxAtNg16qK669hSxKeKXd0htKp5JC82Nmjhslygq/maria.jpg?width=650)
MARIA SOLOMA AMJERUHI MENEJA, APIGWA STOP MAPACHA WATATU!