Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


mapacha watatu wanaomba kura yako kwenye KTMA


Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Mary Lucos anaomba kura yako kwenye mashindano ya nani mkali Clouds TV

DSC_0248

Habari Marafiki, Wapenzi na Mashabiki  nimeingizwa kwenye mashindano ya nani mkali Clouds Tv ni mwanamke pekee kwenye kinyang’anyiro kumtafuta Mwanamuziki bora wa bendi wa mwaka.

Tafadhali sana nahitaji sana kura zenu ili niweze kushinda.

Kupiga kura tuma sms andika MKALI 1 kisha tum kwenda 15678 hapo utakua umenisapoti sana mtu wangu wanguvu, love you all.

Mary Lucos wa Skylight Band.

 

10 years ago

Mtanzania

Mapacha watatu kuwashukuru Bagamoyo

MAPACHA WATATU 1NA MWALI IBRAHIM

BENDI ya muziki wa dansi ya Mapacha Watatu inatarajia kufanya onyesho maalumu kwa ajili ya shukrani kwa mashabiki wao wa Bagamoyo kutokana na kura walizowapigia hadi wakashinda tuzo za kili.

Mmoja wa viongozi wa bendi hiyo, Khalid Chuma ‘Chokoraa’ alisema, onyesho hilo litafanyika Ijumaa ijayo kwa kutoa nyimbo mbili mpya ambazo ni ‘Mapacha wasasa’ na ‘Wabaya watu’.

“Mashabiki wetu walituwezesha kupata tuzo mbili kwenye mchakato wa tuzo za Kilimanjaro zikiwa ni ‘Mtunzi bora’...

 

9 years ago

Bongo5

Music:Mapacha Watatu – Kimatumatu

mapacha

Bendi ya Mapacha Watatu “Wakali wa Town” katika kipindi hiki cha kufunga mwaka. Wameachia wimbo mpya. Wimbo unakwenda kwa jina la “Kimatumatu” utunzi wake Khalid Chokoraa kazi ikiwa imetengenezwa na Erasto Mashine.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mapacha Watatu kupamba Miss Bagamoyo

BENDI ya muziki wa dansi ya Mapacha Watatu, inatarajiwa kunogesha shindano la kumsaka mrembo wa Wilaya ya Bagamoyo ‘Miss Bagamoyo’ mkoani Pwani. Shindano hilo limepangwa kufanyika katika Ukumbi wa Palm...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mapacha Watatu wafunika Nyama Choma

BENDI ya muziki wa dansi ya Mapacha Watatu imewapagawisha na kukonga nyoyo za mashabiki wa burudani katika tamasha la Heineken Nyama Choma lililofanyika mwishoni mwa wiki baada ya kupiga shoo...

 

11 years ago

Michuzi

MAPACHA WATATU WAZALIWA SALAMA HOSPITALI YA AICC ARUSHA

Mkurugenzi Mwendeshaji wa Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC), Elishilia Kaaya akiwa amebeba watoto watatu mapacha Catherine, Caroline na Cathrine ambao walizaliwa mwanzoni mwa wiki hii katika Hospitali ya AICC Jjiini Arusha. Wengine pichani ni Mkurugenzi wa Hospitali ya AICC Prof. Sendui Ole Nguyaine (kushoto), mama mzazi wa watoto hao, Janeth Kimario (katikati) pamoja na wauguzi wa Hospitali hiyo. (Picha kwa hisani ya AICC). Mama huyo alijifungua kwa njia ya oparesheni...

 

10 years ago

GPL

MARIA SOLOMA AMJERUHI MENEJA, APIGWA STOP MAPACHA WATATU!

Mnenguaji wa Bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta International’, Maria Soloma. Stori: Musa Mateja
MNENGUAJI wa Bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta International’, Maria Soloma amepigwa stop kuingia kwenye maonesho ya Bendi ya Mapacha Watatu kutokana na kitendo alichokifanya cha kumpiga chupa meneja wa Mapacha, Hamisi Dakota. Chanzo kilichoomba hifadhi ya jina lake kilidai kuwa, mwanadada...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI SIMBACHAWENE AJITOLEA KUMSAIDIA MAMA ALIYEJIFUNGUA MAPACHA WATATU MPWAPWA

 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene akiwaangalia watoto mapacha watatu waliozaliwa Hospitali ya Wilaya ya Mpwapwa, Mkoani Dodoma. Kushoto ni Mama Mzazi wa watoto hao, Mariam Jonas. Simbachawene ameahidi kuwahudumia mapacha hao mpaka watakapo kuwa watu wazima. Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi. Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene (kushoto), akiagana na Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Mpwawa, Dkt Hamza Mkingule, baada ya kufika hospitali hapo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani