Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mary Lucos anaomba kura yako kwenye mashindano ya nani mkali Clouds TV

DSC_0248

Habari Marafiki, Wapenzi na Mashabiki  nimeingizwa kwenye mashindano ya nani mkali Clouds Tv ni mwanamke pekee kwenye kinyang’anyiro kumtafuta Mwanamuziki bora wa bendi wa mwaka.

Tafadhali sana nahitaji sana kura zenu ili niweze kushinda.

Kupiga kura tuma sms andika MKALI 1 kisha tum kwenda 15678 hapo utakua umenisapoti sana mtu wangu wanguvu, love you all.

Mary Lucos wa Skylight Band.

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

MDAU WA MBEYA ANAOMBA KURA YAKO ASHINDE SHINDANO LA TMT

MTAWA KAPALATA MWAIJUMBA, MSHIRIKI WA MASHINDANO YA VIPAJI VYA KUIGIZA Tanzania Movie Talents (TMT) KUTOKA NYANDA ZA JUU KUSINI, MBEYA, ANAOMBA KURA YAKONAMBA YAKE YA USHIRIKI NI 04.

 

11 years ago

Michuzi

HARRIET SHANGARAI: MGOMBEA WA NAFASI YA MAKAMU WA RAIS WA JUMUIYA YA WATANZANIA DMV ANAOMBA KURA YAKO

Ndugu WanaDMV, kwa heshima na taadhima nachukua nafasi hii kujitambulisha kwenu rasmi kama Mgombea wa Nafasi ya Makamu wa Raisi wa Jumuiya ya Watanzania DMV.HARRIET SHANGARAI
Nikiwa na mapenzi ya dhati kwa jamii,nimekuwa mtetezi wa haki za watoto yatima toka utotoni mwangu. Binafsi, nilijitoa kwa kidogo nilichokuwanacho na pia, nimekuwa muhamasishaji wa misaada ya elimu,chakula mavazi na malazi kwa watoto yatima. Kwa ufupi  nimeona mafanikio ya kina, japo bado wahitaji ni wengi.Vile vile,...

 

10 years ago

Dewji Blog

NSSF waitandika Fastjet 5-4 kwenye mashindano ya Clouds Sports Extra Bonanza

ONE - COSTANTINE CHACHA AGAINST NSSF

Captain wa timu ya Fastjet, Constantine Chacha akifunga goli kwa njia ya penati dhidi ya kipa wa timu ya NSSF kwenye mashindano ya Clouds Sports Extra Bonanza yalifanyika siku ya mei mosi kwenye viwanja vya Leaders. NSSF walishinda kwa penati 5-4 na kuwafanya Fastjet kushika nafasi ya tatu kwenye bonanza hilo. SITA - KOCHA Mwalimu wa timu ya Fastjet, Kocha Diego akiwapa maelekezo wachezaji wake. TANO - WARM UP2 Wachezaji wa timu ya Fastjet wakifanya mazoezi ya kujiandaa (warm up) kabla ya kuanza Bonanza la...

 

11 years ago

Michuzi

10 years ago

CloudsFM

MKURUGENZI WA CLOUDS MEDIA,JOSEPH KUSAGA AKIWA LIVE KWENYE POWER BREAKFAST KUZUNGUMZIA MIAKA 15 YA CLOUDS FM

Mkurugenzi wa Clouds Media Group,Joseph Kusaga akizungumzia miaka 15 ya Clouds FM kwenye kipindi cha Power Breakfast leo na Gerald Hando,ambapo kauli mbiu ya sherehe ya mwaka huu ni #TunakufunguliaDunia #KuwaUnachotaka

 

10 years ago

Michuzi

Mtanzania MUIGIZAJI anaeishi San Francisco Ernest Napoleon, anaomba Kura zenu

Ernest Napoleon ni Mtanzania MUIGIZAJI anaeishi San Francisco, amefanya movie inayoitwa Going Bongo bit.ly/goingbongoitunes.Hivi sasa yupo kwenye mchakacho wa kushirikishwa katika filamu ya kampuni ya Forest Whitaker inayoitwa “The Driver”. Ernest Napoleon akiwa na  Forest Steven Whitaker actor, producer, na directorwa filamu za kiMarekaniIli kufanikiwa kwenye filamu hiyo, alikuwa anahitaji kura za waTanzania na waKenya kwa ujumla ili kumfikisha Shindano hilo.Tunaomba msaada wenu wa ku...

 

9 years ago

GPL

SHOGA; MAMA YAKO ASIKUINGILIE KWENYE NDOA YAKO

Shoga, awali ya yote napenda kuwapongeza wote waliojitokeza katika zoezi la kupiga kura juzi kwani wameitumia vyema haki yao ya kidemokrasia kikubwa sasa kusubiri Tume ya Taifa ya Uchaguzi kumtangaza mshindi wa kiti cha urais ili tuendelee na maisha yetu ya kawaida. Leo shoga yangu nimeona nizungumze nawe mwenzangu uliyeolewa kuhusiana na mama zetu ambao wametuzaa, kutulea, kutusomesha na hatimaye kutuozesha kwa waume zetu....

 

10 years ago

Bongo Movies

PICHA: Hakuna Mtu Anaweza Kuchukua Nafasi Yako Kama Upo Kwenye Nafasi Yako-Lulu

Hayo ni maneno ambayo mwigizaji Elizabeth Michael “Lulu” aliyaandika kwa lungha ya kingereza kabla ya kuzitupia picha hizo hapo juu.

“Cant Nobody Take Your Place If You're In Your Place...!”

Kiukweli, kama utaweka chuki zako pembeni, utakubaliana na mimi kuwa Lulu ni mwigizaji anaependa na kwenda na fasheni kuwashinda waigizaji wote wa hapa bongo.

Jionee picha hizo.

By Mzee wa Ubuyu

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani