Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NSSF waitandika Fastjet 5-4 kwenye mashindano ya Clouds Sports Extra Bonanza

ONE - COSTANTINE CHACHA AGAINST NSSF

Captain wa timu ya Fastjet, Constantine Chacha akifunga goli kwa njia ya penati dhidi ya kipa wa timu ya NSSF kwenye mashindano ya Clouds Sports Extra Bonanza yalifanyika siku ya mei mosi kwenye viwanja vya Leaders. NSSF walishinda kwa penati 5-4 na kuwafanya Fastjet kushika nafasi ya tatu kwenye bonanza hilo. SITA - KOCHA Mwalimu wa timu ya Fastjet, Kocha Diego akiwapa maelekezo wachezaji wake. TANO - WARM UP2 Wachezaji wa timu ya Fastjet wakifanya mazoezi ya kujiandaa (warm up) kabla ya kuanza Bonanza la...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Mary Lucos anaomba kura yako kwenye mashindano ya nani mkali Clouds TV

DSC_0248

Habari Marafiki, Wapenzi na Mashabiki  nimeingizwa kwenye mashindano ya nani mkali Clouds Tv ni mwanamke pekee kwenye kinyang’anyiro kumtafuta Mwanamuziki bora wa bendi wa mwaka.

Tafadhali sana nahitaji sana kura zenu ili niweze kushinda.

Kupiga kura tuma sms andika MKALI 1 kisha tum kwenda 15678 hapo utakua umenisapoti sana mtu wangu wanguvu, love you all.

Mary Lucos wa Skylight Band.

 

10 years ago

CloudsFM

MKURUGENZI WA CLOUDS MEDIA,JOSEPH KUSAGA AKIWA LIVE KWENYE POWER BREAKFAST KUZUNGUMZIA MIAKA 15 YA CLOUDS FM

Mkurugenzi wa Clouds Media Group,Joseph Kusaga akizungumzia miaka 15 ya Clouds FM kwenye kipindi cha Power Breakfast leo na Gerald Hando,ambapo kauli mbiu ya sherehe ya mwaka huu ni #TunakufunguliaDunia #KuwaUnachotaka

 

10 years ago

GPL

SPORTS EXTRA NDONDO CUP YAPIGWA KALENDA

Baadhi ya wawakilishi wa timu zitakazoshiriki mashindano hayo wakimsikiliza mmoja wa wawakilishi wa waandaaji, Alex Lwambano. Wawakilishi wa waandaaji wa mashindano hayo kutoka kushoto: Said Pambalelo, Yahya Mohammed na Alex Lwambano wakijadiliana jambo.…

 

11 years ago

GPL

EXTRA BONGO KUPAMBA BONANZA LA JOGGING KESHO DAR LIVE

KWA wale wapenda michezo wote, kesho watakutana katika bonanza kubwa la Jogging litakalorindima ndani ya Dar Live, Mbagala-Zakhem, jijini Dar kwa kushirikisha michezo mbalimbali pamoja na shoo  baab’kubwa kutoka kwa Ally Choki na Kundi la Wakali Dancers. Bonanza hilo limeandaliwa na kampuni ya Red Bull kwa kushirikiana na Benson and Dunhill Cigaratte na Sayona Pure Drinking Water ambapo lengo lake ni kuukaribisha mwaka...

 

11 years ago

GPL

BONANZA LA JOGGING J’PILI EXTRA BONGO KUFUNIKA MBAGALA

GOOD Newz kwa mashabiki wa michezo na wanaolipenda Bonanza la Jogging ni kwamba Jumapili hii litafanyika sambamba na Bendi inayoongoza Bongo, Extra Bongo ‘Wazee wa Kizigo’. Mkurugenzi wa Extra Bongo Ally Chocky. Mapema wiki hii, wadhamini, Kampuni ya PSPF na Akiba Commercial Bank walijitokeza na kuahidi kuwa kila kitu kitakwenda safi hivyo ni furusa nzuri kwa wanamichezo kujitokeza kwa wingi. Kwenye bonanza hilo...

 

10 years ago

TheCitizen

20 companies participate in corporate sports bonanza

Corporate sports bonanza took Mbeya Region sports and music lovers by storm.

 

10 years ago

Vijimambo

MICHUANO YA Dr Mwaka Sports Extra Ndondo Cup KUANZA KUTIMUA VUMBI IJUMAA

Viongozi na wawakilishi wa timu shiriki za Dr Mwaka Sports Extra Ndondo Cup wakizionesha jezi watakazozitumia katika michano hiy, inayotarajiwa kuanza kutimua vumbi keshokutwa Ijumaa kwenye Uwanja wa Makurumla, Magomeni jijini Dar es Salaam. Dr Mwaka (kulia), Dauda wakimkabidhi mwakilishi wa timu shiriki za Dr Mwaka Sports Extra Ndondo Cup jezi.Mdhamini Mkuu wa michuano ya  Dr Mwaka Sports Extra Ndondo Cup ,Dr Mwaka akifafanua jambo mbele ya wanahabari kuhusiana na michuano hiyo...

 

10 years ago

Michuzi

MICHUANO YA Dr Mwaka Sports Extra Ndondo Cup KUANZA KUTIMUA VUMBI IJUMAA

Viongozi na wawakilishi wa timu shiriki za Dr Mwaka Sports Extra Ndondo Cup wakizionesha jezi watakazozitumia katika michano hiy, inayotarajiwa kuanza kutimua vumbi keshokutwa Ijumaa kwenye Uwanja wa Makurumla, Magomeni jijini Dar es Salaam. Dr Mwaka (kulia), Dauda wakimkabidhi mwakilishi wa timu shiriki za Dr Mwaka Sports Extra Ndondo Cup jezi.Mdhamini Mkuu wa michuano ya  Dr Mwaka Sports Extra Ndondo Cup ,Dr Mwaka akifafanua jambo mbele ya wanahabari kuhusiana na michuano hiyo...

 

9 years ago

Michuzi

NSSF YADHAMINI BONANZA LA MICHEZO LA CHUO CHA IFM

Mchezaji wa timu ya mpira wa Kikapu ya Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM), Ephraim Mlawa (kushoto) akichuana na Juvenary Shichose wakati Bonanza la michezo la wanafunzi wa Chuo hicho lililofanyika, mwishoni mwa wiki katika Kituo cha Michezo cha JMK Youth Park na kudhaminiwa na Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) kwa kutoa vifaa vya michezo kwa timu zilizoshiriki mchezo wa soka. (Picha na Francis Dande)Timu za mpira wa kikapu kutoka Chuo cha IFM zikichuana katika Bonanza la michezo la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani