SPORTS EXTRA NDONDO CUP YAPIGWA KALENDA
![](http://api.ning.com:80/files/Kqu4JOS-VwNf3VppKrJu1K*4JaEF9g4cEupaRmt1i-FJwn**O7KncbsDGL7z-akBbEw1o2*k87v9RzGc7UbYfb39lsZlU8B1/baadhiyawawakilishiwatimuzitakazoshirikimashindanohayo.jpg?width=650)
Baadhi ya wawakilishi wa timu zitakazoshiriki mashindano hayo wakimsikiliza mmoja wa wawakilishi wa waandaaji, Alex Lwambano. Wawakilishi wa waandaaji wa mashindano hayo kutoka kushoto: Said Pambalelo, Yahya Mohammed na Alex Lwambano wakijadiliana jambo.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--VUwaRQYQ_I/VCKAKFiMBbI/AAAAAAAGldE/5dWxiu2KRsY/s72-c/IMG_0320.jpg)
MICHUANO YA Dr Mwaka Sports Extra Ndondo Cup KUANZA KUTIMUA VUMBI IJUMAA
![](http://4.bp.blogspot.com/--VUwaRQYQ_I/VCKAKFiMBbI/AAAAAAAGldE/5dWxiu2KRsY/s1600/IMG_0320.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/--5DdZU0Fya8/VCKAJw9VsOI/AAAAAAAGldA/5C6oLfd0FHo/s1600/IMG_0306.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-4KxzwXSBbcA/VCJ61avSSlI/AAAAAAAGlcw/J0XvRdhAtnA/s1600/IMG_0282.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/--VUwaRQYQ_I/VCKAKFiMBbI/AAAAAAAGldE/5dWxiu2KRsY/s72-c/IMG_0320.jpg)
MICHUANO YA Dr Mwaka Sports Extra Ndondo Cup KUANZA KUTIMUA VUMBI IJUMAA
![](http://4.bp.blogspot.com/--VUwaRQYQ_I/VCKAKFiMBbI/AAAAAAAGldE/5dWxiu2KRsY/s1600/IMG_0320.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/--5DdZU0Fya8/VCKAJw9VsOI/AAAAAAAGldA/5C6oLfd0FHo/s1600/IMG_0306.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-4KxzwXSBbcA/VCJ61avSSlI/AAAAAAAGlcw/J0XvRdhAtnA/s1600/IMG_0282.jpg)
10 years ago
Michuzi24 Nov
ABAJALO YAINGIA FAINALI DR MWAKA SPORTS XTRA NDONDO CUP KWA KISHINDO
Timu ya Abajalo ya Sinza jijini Dar es Salaam imefanikiwa kukata tiketi ya fainali ya Dr Mwaka Sports Xtra NDONDO CUP 2014 baada ya kuifunga Burudani FC ya Temeke mikoroshini mabao 3-1. Mabao ya Abajalo kwenye mchezo huo yalifungwa na Idd Kulachi ‘Kleberson’ aliyefunga mabao mawili kati ya matatu. Mchezo huo wa nusu fainali ya pili ulipigwa kwenye uwanja Bandari uliopo maeneo ya Tandika Mwembe Yanga. Kwa ushindi huo sasa Abajalo itacheza na Tabata FC kwenye fainali itakayopigwa siku ya...
10 years ago
Michuzi13 Nov
DR MWAKA SPORTS XTRA NDONDO CUP TEMEKE MARKET NA BLACK SIX MECHI YALALA
Michuano ya DR MWAKA SPORTS XTRA NDONDO CUP imeendelea leo kwenye uwanja wa Bandari maeneo ya Tandika Mwembe Yanga kwa kuzikutanisha timu za TEMEKE MARKET na BLACK SIX ya Buguruni,mchezo huo umemalizika kwa timu hizo kushindwa kumpata mshindi baada ya kufungana bao 1-1 baada ya dakika tisini,na pia ilipofika changamoto ya mikwaju ya penati timu zote zilitumbukiza mikwaju yote mitano kimiani na kupelekea mwamuzi wa mchezo huo kuuvunja baada ya giza kuingia. Mchezo huo sasa utarudiwa siku...
10 years ago
MichuziWASHINDI WA MASHINDANO YA DR MWAKA SPORTS XTRA NDONDO CUP 2014 WAKABIDHIWA ZAWADI ZAO.
10 years ago
Michuzi12 Jul
SPORTS XTRA NDONDO CUP YAZINDULIWA RASMI, ABAJALO, FC KAUZU MUZIKI WAO..OGOPA SANA!
![3](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/37.jpg)
Msimu wa pili wa mashindano ya Sports Xtra Ndondo Cup chini ya udhamini wa Dr. Mwaka, Daktari bingwa wa masuala ya Afya ya uzazi na Tiba asilia kutoka kituo cha Foreplan Clinic, kilichopo Bungoni, Ilala, Dar es salaam umezinduliwa rasmi katika uwanja wa Bandari, Tandika, jijini Dar es salaam.
Mechi ya ufunguzi yenye mvuto wa aina yake imepigwa jana ikiwakutanisha mabingwa watetezi, Abajalo FC ya Sinza Dar es...
10 years ago
Michuzi23 Nov
Nusu ya fainali ya kwanza ya mashindano ya DR MWAKA SPORTS XTRA NDONDO CUP katika uwanja wa Mwembe Yanga,Temeke
Nusu ya fainali ya kwanza ya mashindano ya DR MWAKA SPORTS XTRA NDONDO CUP imepigwa hapo jana kwenye uwanja wa Bandari maeneo ya Tandika Mwembe Yanga kati ya Tabata FC na Black Six,mchezo ulimalizika kwa tabata kushinda bao 1-0 na kukata tiketi ya kucheza fainali hapo tarehe 29/11/2014 kwenye uwanja huo huo wa Bandari.mchezo huo uliweka rekodi ya mashindano ya NDONDO kwa kuhudhuliwa na mashabiki wengi.
Mashabiki wa BLACK SIX ya Buguruni..........
Mshambuliaji wa YANGA Jerry Tegete alikuwa...
![10553574_836086276455319_1176921432347220072_n](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2014/11/10553574_836086276455319_1176921432347220072_n.jpg)
![1960140_836086329788647_6126915949753505475_n](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2014/11/1960140_836086329788647_6126915949753505475_n.jpg)
10 years ago
Michuzi14 Nov
BURUDANI FC YAINGIA NUSU FAINALI, YAIONDOSHA KILUVYA UTD KWA PENATI KWENYE DR MWAKA SPORTS XTRA NDONDO CUP
![4](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2014/11/45.png)
11 years ago
Mwananchi20 May
Kesi ya Pinda yapigwa kalenda
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam jana ilishindwa kutoa uamuzi wa pingamizi la Jamhuri katika kesi ya kikatiba inayomkabili Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kwa mara ya pili mfululizo na sasa imepanga kuutoa Juni 6, mwaka huu.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania