Facts Production kuuza filamu zake nyumba kwa nyumba
NA HERIETH FAUSTINE
KAMPUNI ya Facts Production inatarajia kuanza kusambaza filamu yake mpya ya ‘Niliyemchagua’ kwa mfumo wa nyumba kwa nyumba.
Mkurugenzi wa Kampuni hiyo, Mohammed Kazi ‘Mudy Kazi’ alisema ameamua kufanya hivyo ili kutoa nafasi ya wasiopata muda wa kwenda kununua CD za filamu hiyo katika maduka makubwa waweze kununua wakiwa nyumbani kwao.
“Lakini pia tumeona ni vizuri kwa kuwa itasaidia kuwatambulisha wasanii wetu chipukizi ambao wana uwezo mkubwa kuliko wasanii wenye majina...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziKAMPUNI YA AVIC TOWN YAANZA KUUZA NYUMBA ZAKE ILIYOZIJENGA MRADI WA KIBADA JIJINI DAR
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
Vijimambo07 Mar
SHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA (NHC) LAZINDUA MAUZO YA NYUMBA ZAKE ZA VICTORIA PLACE, DARâ€
10 years ago
GPLSHIRIKA LA NYUMBA LA TAIFA (NHC) LAZINDUA MAUZO YA NYUMBA ZAKE ZA VICTORIA PLACE, DAR
10 years ago
GPLPROIN PROMOTION YAZINDUA MPANGO WA KUUZA FILAMU ZAKE KWA NJIA YA MTANDAO
10 years ago
Dewji Blog17 Apr
Benki ya CBA kuuza nyumba za kampuni Avic kwa mikopo ya masharti nafuu
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CBA Tanzania Bw.Julius Mcharo (katikati) akiwa pamoja na maofisa wa CBA na Avic International Real Estate wakiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) muda mfupi kabla ya kusaini mkataba ambapo CBA itawakopesha wateja wanaotaka kununua nyumba zilizojengwa na kampuni hiyo katika eneo la Kigamboni jijini Dar es Salaam.
Mkuu wa Kitengo cha wateja binafsi wa Benki ya CBA,Bi.Hyasintha Mwimanzi akiwaleza waandishi wa habari utaratibu wa mkopo wa nyumba...
10 years ago
Vijimambo30 Jun
UTT-PID NA SUMA JKT KUJENGA NYUMBA ZA KISASA KWA AJILI YA KUUZA
![](http://i2.wp.com/dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/2015-06-26-15.13.03.jpg?resize=768%2C432)
Na Mwandishi Wetu
Taasisi ya Miradi na Maendeleo ya Miundombinu iliyochini ya Wizara ya Fedha (UTT-PID) kwa kushirikiana na Taasisi ya SUMA JKT imesainiana mkataba wa makubaliano wa ujenzi wa nyumba za kisasa za kuuza kwa askari...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Gg2Oajm5Dy0/VSYEmpt_NLI/AAAAAAAHPo4/D5kuWupbBvo/s72-c/images.jpeg)
MAKALA YA SHERIA: BENKI HAIWEZI KUUZA NYUMBA KWA MKOPO AMBAO MMOJA WA WANANDOA HAKUSHIRIKI
![](http://3.bp.blogspot.com/-Gg2Oajm5Dy0/VSYEmpt_NLI/AAAAAAAHPo4/D5kuWupbBvo/s1600/images.jpeg)
Ukisoma kichwa cha habari utaona nimeongelea nyumba lakini kimsingi mchakato huu unahusisha mali zote za wanandoa vikiwemo viwanja, magari, na kila kitu ambacho ni mali ya wanandoa. Kichwa kinajieleza kuwa ni makosa benki au taasisi yoyote ya fedha kuuza nyumba au mali yoyote ya wanandoa ikiwa wakati wa kuchukua mkopo mwanandoa mmojawapo hakushirikishwa katika mchakato wa mkopo huo.
1. MAANA YA MALI YA...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-mFwqQPz0y_M/VTQY7UfB14I/AAAAAAAHSCY/6dpjpCWy-pE/s72-c/1.1774256.jpg)
MAKALA YA SHERIA: NI MAKOSA KISHERIA TAASISI YA FEDHA KUUZA NYUMBA YA DHAMANA KWA BEI YA KUTUPA
![](http://4.bp.blogspot.com/-mFwqQPz0y_M/VTQY7UfB14I/AAAAAAAHSCY/6dpjpCWy-pE/s1600/1.1774256.jpg)
Ni kawaida kukuta nyumba ya...
10 years ago
Dewji Blog30 Jun
UTT-PID na SUMA JKT kujenga nyumba za kisasa za kuuza kwa maofisa wa jeshi na umma nchini
Mtendaji Mkuu wa UTT-PID, Dr. Gration Kamugisha (kushoto) akipeana mikono na Mkurugenzi Mkuu Lt-Colonel, Felix Samillan baada ya kutiliana saini ya mkataba wa kujenga nyumba za kisasa za kuuza kwa askari na maofisa wa jeshi na umma mradi unaotarajiwa kujengwa Chalinze
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10