Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Madega, Hans Pope wakomaa

U.ongozi wa Yanga umetakiwa kuacha kuweweseka kuhusiana na uamuzi utakaotolewa na Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ya TFF dhidi ya mshambuliaji Emmanuel Okwi kwani kitakachoangaliwa ni kanuni na siyo ushabiki

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Aveva, Kaburu wamsimamisha Hans Pope Simba

Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zakaria Hans Pope. Na Khadija Mngwai
MWENYEKITI wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zakaria Hans Pope, ameamua kujiweka pembeni katika suala zima la usajili kwenye kikosi hicho. Hans Pope ambaye amekuwa nguvu muhimu kwenye kikosi cha Simba, amesema anasubiri kwanza uongozi mpya chini ya Evans Aveva na Geofrey Nyange ‘Kaburu’ utangaze kamati zake.
Juni 29, Simba ilifanikiwa...

 

11 years ago

GPL

Hans Pope azuia mkataba wa Loga Simba

Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zakaria Hans Pope.
Na Martha Mboma
IMEELEZWA kuwa, kutokuwepo kwa Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Klabu ya Simba, Zacharia Hans Pope, ndiyo chanzo cha kocha mkuu wa timu hiyo, Mcrotia Zdravko Logarusic kushindwa kusaini mkataba wa kuendelea kuitumikia klabu hiyo. Loga ambaye aliifundisha Simba awali kwa mkataba wa miezi sita msimu uliopita, amekuwa katika mvutano na uongozi juu ya...

 

11 years ago

GPL

Wambura amzuia Hans Pope kusajili Simba

Aliyekuwa mgombea wa nafasi ya urais klabuni hapo, Michael Wambura. Na Wilbert Molandi
MWENYEKITI wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zakaria Hans Pope, amesema kwa sasa hataki kujihusisha na masuala ya usajili, badala yake ataelekeza nguvu zake katika biashara zake binafsi.
Mwenyekiti huyo ameitoa kauli hiyo hivi karibuni wakati klabu mbalimbali zikiendelea na usajili kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Bara na sababu kubwa ni...

 

10 years ago

Michuzi

Hans Pope: Simba Ukawa futeni kesi mahakamani!





MWENYEKITI wa kamati ya usajili ya Simba, Zakaria Hans Pope amewataka Simba ukawa kufuta kesi iliyopo mahakamani ili wawarejeshee uwanachama wao. Pope alisema leo  kuwa hawana ugomvi na Ukawa, na kwamba uongozi uliopo madarakani upo tayari kuwarudisha Ukawa na kuwa kitu kimoja kwa maslahi ya kuijenga Simba. "Ukawa ni matawi mawili ya Mpira Pesa na Mpira maendeleo, nimeshakutana na mpira pesa nikazungumza nao, nimewashauri wawasiliane na wenzao wakafute kesi ili tuungane na tuwe kitu kimoja...

 

9 years ago

Vijimambo

POPE FRANCIS KUWA POPE WA KWANZA KUTEMBELEA MAGEREZA YA MAREKANI

Philadelphia's Curran-Fromhold Correctional Facility Nijina la magereza atayotembelea Pope Francis, akiwa hapa Pope atakutana na wafungwa na kufanya nao missa ya pamoja. Ni historia kwa Pope kutembelea magereza yaliyo ndani ya Marekani. Magereza hii inaongoza kwa kuwatesa wafungwa na mambo mengi ya ukiukaji haki za kibinadamu.Wafungwa wakitengeza kitu maalum kwa Pope kama zawadi kutoka kwao na kama shukrani kwao kwa kitendo cha kufika kuwaona na kufanya nao missa.Ukitaka kujua kwanini...

 

10 years ago

KwanzaJamii

Chadema wakomaa na maandamano

Wakati wafuasi 15 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) katika wilaya za Bunda na Dodoma wakifikishwa mahakamani kwa tuhuma za kukusanyika kwa lengo la kutaka kufanya maandamano yasiyokuwa halali, chama hicho kimeendelea kupinga amri ya Jeshi la Polisi baada ya vijana wake kutangaza kufanya maandamano makubwa jijini Dar es Salaam leo. Wakati wafuasi 15 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) katika wilaya za Bunda na Dodoma wakifikishwa mahakamani kwa tuhuma za...

 

9 years ago

Mwananchi

Wakongwe 10 wakomaa kiubishi Ligi Kuu

Waswahili husema ukubwa dawa. Hilo ndilo linaloweza kutumika kueleza mchango wa baadhi ya wachezaji nyota wa klabu za Ligi Kuu ambao licha ya umri kusonga mbele, wamekuwa wenye mchango mkubwa kwa klabu hizo.

 

10 years ago

GPL

MADEGA: NILIMPITISHA OKWI ACHEZE SIMBA

Mwenyekiti wa zamani wa Yanga ambaye yupo kwenye Kamati ya Sheria, Maadili na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Imani Madega Wilbert Molandi na Julieth Patrick MWENYEKITI wa zamani wa Yanga ambaye yupo kwenye Kamati ya Sheria, Maadili na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Imani Madega, amefunguka juu ya kilichotokea kuhusu kesi ya Yanga na mchezaji Emmanuel Okwi. Madega ambaye...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Madega aomba ‘fear play’ CCM

MAKADA watatu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamejitokeza kuchuana na mtoto wa Rais Jakaya Kikwete, Ridhiwani katika kuwania nafasi ya ubunge wa Chalinze. Makada hao ni Imani Madega, Ramadhan Maneno...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani