SIMBA WAFANYA MKUTANO, YAWAFUKUZA WANACHAMA 72 WALIOFUNGUA KESI MAHAKAMANI
Rais wa Klabu ya Simba, Evans Aveva akifafanua jambo wakati wa mkutano maalum wa wananchama wa klabu hiyo uliofanyika kwenye Bwalo la Maofisa wa Polisi Oysterbay jijini Dar es Salaam. (Picha na Francis Dande)
Baadhi ya wanachama wa Simba wakiwa katika mkutano maalum wa klabu hiyo jijini Dar es Salaam
Baadhi ya wanachama wa Simba wakihakiki kadi zao kabla ya kuingia katika ukumbi wa mkutano.
Mwenyekiti wa zamani wa Simba, Hassan Dalali akipitia nyaraka za klabu hiyo wakati akiingia katika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-vL9_0PU-o28/VJcQaXa2jwI/AAAAAAAG44Q/pv7iYZhH3Q8/s72-c/1.jpg)
Hans Pope: Simba Ukawa futeni kesi mahakamani!
![](http://1.bp.blogspot.com/-vL9_0PU-o28/VJcQaXa2jwI/AAAAAAAG44Q/pv7iYZhH3Q8/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-8LzmJQr2Wbw/VJcQaIwsI8I/AAAAAAAG44M/bJYB-T6vILk/s1600/download%2B(1).jpg)
MWENYEKITI wa kamati ya usajili ya Simba, Zakaria Hans Pope amewataka Simba ukawa kufuta kesi iliyopo mahakamani ili wawarejeshee uwanachama wao. Pope alisema leo kuwa hawana ugomvi na Ukawa, na kwamba uongozi uliopo madarakani upo tayari kuwarudisha Ukawa na kuwa kitu kimoja kwa maslahi ya kuijenga Simba. "Ukawa ni matawi mawili ya Mpira Pesa na Mpira maendeleo, nimeshakutana na mpira pesa nikazungumza nao, nimewashauri wawasiliane na wenzao wakafute kesi ili tuungane na tuwe kitu kimoja...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-W1iY7IhLohg/VRq-vLRsLlI/AAAAAAABqR4/iydTlJDTAPA/s72-c/W3.jpg)
Wanachama wa Vikoba Wakiwa katika Ukumbi wa Mkutano wa Kongamano la Wanachama wa Vikoba Arusha.
![](http://1.bp.blogspot.com/-W1iY7IhLohg/VRq-vLRsLlI/AAAAAAABqR4/iydTlJDTAPA/s640/W3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-W87GdMd-xbA/VRq-x07IeDI/AAAAAAABqSA/rG7r7p5GINY/s640/W%2B2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-FvvUTJvIL4E/VRq-1KjGDUI/AAAAAAABqSI/rFbtDFPl3mA/s640/W%2B1.jpg)
11 years ago
Mwananchi13 Dec
Liyumba ana kesi ya kujibu mahakamani
11 years ago
CloudsFM17 Jul
KESI YA MBASHA YASOMWA TENA LEO MAHAKAMANI
Kauli hiyo ya Mbasha ilimfanya Hakimu Luago kuhoji kama kweli alikuwa na nia ya...
10 years ago
Mwananchi30 May
CCM yapigwa mweleka mahakamani kesi ya uchaguzi
11 years ago
Habarileo27 Jul
Kesi za ardhi mahakamani zamkera Prof. Tibaijuka
MLUNDIKANO wa kesi katika mahakama, mivutano ya ardhi baina ya viongozi na watendaji katika Halmashauri ya Manispaa ya Lindi mkoani hapa, vimesababisha kusimama na kuchelewesha kupimwa mji wa Lindi.
10 years ago
Michuzi24 Sep
KESI WAFUASI WA CHADEMA KUVAMIA POLISI YASOMWA LEO MAHAKAMANI
Kadhalika, washtakiwa hao Ngaiza Kamugisha (28) dereva, mkazi wa Vingunguti, Benito Mwapinga (30) Fundi nguo mkazi wa Mtoni kwa Azizi Ally na Eliasante Bugeji (51) Mhasibu wa CCBRT mkazi wa Komakoma Kinondoni, Dar es Salaam, wanadaiwa...