Rage azuia 100m za usajili Simba
![](http://api.ning.com:80/files/KhKaa56BSVW9*pt4-WrVIXLrmFLRH0P7DTdQdvfGhNeCHQ35LibnjXNi8XmbBgaCr-MgqOX2RODNDHGrULyPZEbKPVSKpNTA/rage.jpg?width=650)
Mwenyekiti wa Simba, Ismail Aden Rage. Na Wilbert Moland JAMBO limezua jambo! Imefahamika wazi kuwa Mwenyekiti wa Simba, Ismail Aden Rage, amegoma kutoa shilingi milioni 100 za klabu hiyo kwa ajili ya usajili wa msimu ujao wa Ligi Kuu Bara mapema Agosti, mwaka huu. Simba ipo kwenye kampeni za uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Juni 29 na habari zilizopo ni kuwa, kiasi hicho cha fedha kimepatikana kutokana na malipo ya kodi...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/WRH9ovbTZmAqrtpoUJjvyaAZV5IBiDyiyVFWLMA8I6I8fUcTGjEHE-RhEyE7BVu9VcCM7yZdA54-qRVBTX4LIXcfesv1BPzP/KOCHA11.jpg?width=650)
Kocha Stars azuia usajili wa Kipanga Simba
10 years ago
Mwananchi21 Jan
Kopunovic azuia kambi Simba SC
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/V0siS8-FppAo20Dtyf9qv1MgN5iVstc9nb2ug7PhPlBrrwh7RltWTITIpGl4dWC*gE2kwKWirshAH2H21dkl8kndDX9*yzqR/HANSPOPE.gif?width=650)
Hans Pope azuia mkataba wa Loga Simba
11 years ago
Mwananchi27 Dec
Rage alalama Simba
11 years ago
Tanzania Daima13 Dec
Simba wamwendea Rage bungeni
HARAKATI za kumwondoa madarakani Mwenyekiti wa Klabu ya Simba, Ismail Aden Rage ‘Tutuvengere’, zimezidi kushika kasi baada ya wanachama kuamua kufunga safari kutoka jijini Dar es Salaam hadi mjini Dodoma...
11 years ago
Mwananchi30 Dec
TFF yamtambua Rage Simba
11 years ago
Tanzania Daima12 Jul
Rage akabidhi ofisi Simba
HATIMAYE aliyekuwa Mwenyekiti wa Simba, Ismail Aden Rage, jana alikabidhi rasmi ofisi Makao Makuu ya klabu hiyo kwa Rais Evans Aveva na kamati yake ya utendaji, ikiwamo mikataba mbalimbali iliyosaini...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iAT0B9wCR3BIx1BHMs-kyHMWYoZlWVb71GVYH0vXLxUb9y0AURvP2OkVWyIj2Sflpvsq-e2K*6eScPX-Q*0nGJlZS-g3Oy*W/rage.jpg?width=650)
Rage anusurika kipigo Simba