EXCLUSIVE: WAZIRI APIGA STOP TFF KUTAKA KUCHUKUA 5% ZA VODACOM, AZAM TV
![](http://4.bp.blogspot.com/-pA1pUXby0WM/VDJ6vLK-N0I/AAAAAAAAzqk/VUlr-GeUmBU/s72-c/JUMA%2BNKAMIA.jpg)
Naibu Waziri wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Juma Nkamia amelitaka Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kusitisha uamuzi wake wa kutaka kuchukua asilimia 5 za udhamini wa klabu zinazotolewa na makampuni ya Vodacom na Azam TV.Nkamia ameiambia SALEHJEMBE leo kwamba ameitaka TFF kusitisha jambo hilo."Kweli tumekutana TFF, Bodi ya Ligi na nimeagiza suala hilo kusitishwa mara moja," alisema Nkamia.Hata hivyo, Nkamia hakuweza kufafanua zaidi kwa kuwa alikuwa akiingia kwenye...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-oYIvqiRh9o0/XlTRdnpjD3I/AAAAAAAAvc4/2x519DJE5wIzKxne3tt-NdwYQAxmXq2LgCLcBGAsYHQ/s72-c/Untitled-1.jpg)
WAZIRI ZUNGU APIGA STOP NGUO ZA NDANI ZA MITUMBA
![](https://1.bp.blogspot.com/-oYIvqiRh9o0/XlTRdnpjD3I/AAAAAAAAvc4/2x519DJE5wIzKxne3tt-NdwYQAxmXq2LgCLcBGAsYHQ/s640/Untitled-1.jpg)
"Nguo za mitumba ambazo haziruhusiwi ni nguo za ndani kwa sababu ya maradhi, mfano Mwanamke anavaa vazi la juu (sidiria) huwezi kujua aliyevaa kabla yako alikuwa ana magonjwa gani, huo ndio mwanzo wa kusambaa kwa magonjwa ya saratani"
“Nimefanya ziara Mto Msimbazi shughuli za Binadamu zinaharibu kingo za Mto, Kuna mazungumzo yanaendelea...
11 years ago
Michuzi09 Jul
WAZIRI MKUU APIGA STOP MATUMIZI YA KUNI KIWANDA CHA 21st CENTURY
![PG4A8989](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/yRBkK4YqQVWZn8uvnkzePBEifUYbzzIHwDRm0pG4Vm7KHYL_DzDeuWswVDTe1d7svxT78Kj1Sm8XO7EYaG9BAN1nchFzmSNwAdQDUR0DlUqF_r71k4L1x20GW4k=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2013/12/PG4A8989.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-SNkmIr-3rPc/VYOV35LPrJI/AAAAAAABAVw/ixurVoNEg6I/s72-c/DR.jpg)
BAADA YA KUCHUKUA FOMU, DK SHEIN AELEZEA SABABU ZA KUTAKA KUREJEA MADARAKANI
![](http://4.bp.blogspot.com/-SNkmIr-3rPc/VYOV35LPrJI/AAAAAAABAVw/ixurVoNEg6I/s640/DR.jpg)
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar, ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya...
10 years ago
Habarileo18 Dec
RC apiga ‘stop’ biashara ya mkaa
MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Dk Rajab Rutengwe, amewapa mwezi mmoja wakuu wa wilaya sita za mkoa, wahakikishe wanakomesha kuzagaa kwa biashara ya mkaa katika maeneo yao.
10 years ago
Mwananchi11 Aug
Kocha wa Simba apiga ‘stop’ usajili
10 years ago
Habarileo22 Jan
Kinana apiga ‘stop’ ziara za mikoani za Mwigulu
NAIBU Katibu Mkuu wa CCM (Tanzania Bara), Mwigulu Nchemba amekubali kuitikia wito wa kusitisha ziara zake za kichama katika mikoa na wilaya mbalimbali nchini, kama alivyoagizwa na Katibu Mkuu wa chama hicho, Abdulrahman Kinana.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-9zc_y3_2IbY/UwdCM0CUNxI/AAAAAAAFOmU/rA8hr-RjRPg/s72-c/001.jpg)
WASHINDI WAENDELEA KUCHUKUA BODABODA ZAO KUTOKA VODACOM
![](http://2.bp.blogspot.com/-9zc_y3_2IbY/UwdCM0CUNxI/AAAAAAAFOmU/rA8hr-RjRPg/s1600/001.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-QFcQn0DQ0iU/UwdCN5m-QMI/AAAAAAAFOmc/ZAxfRyfW9IM/s1600/002.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-MutXCvJoyvI/VNIzKNk7lZI/AAAAAAAHBrk/wVlaEEYxUc0/s72-c/DSC_1394.jpg)
KAMANDA KOVA APIGA ‘STOP’ MAANDAMANO YA UVCCM ILALA,MAANDAMANO YA BAVICHA YAACHWA KIPORO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-MutXCvJoyvI/VNIzKNk7lZI/AAAAAAAHBrk/wVlaEEYxUc0/s1600/DSC_1394.jpg)
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam imezuia maandamano ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Wilaya Ilala (UVCCM) ya kuadhimisha miaka 38 ya kuzaliwa kwa chama hicho pamoja na kuacha kiporo maandamano ya Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha).
Akizungumza leo na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam ,Kamishina wa Jeshi la Polisi ,Suleiman Kova ,amesema kuzuia kwa maandamano...
10 years ago
Mwananchi26 Nov
Mkurugenzi wa TFF aula Azam FC