Mkurugenzi wa TFF aula Azam FC
Aliyekuwa Mkurugenzi wa mashindano wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Saad Kawemba ameteuliwa kuwa mtendaji mkuu wa klabu ya Azam.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog05 Feb
Kizuguto aula TFF
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limemteua Baraka Kizuguto (pichani) kuwa Ofisa Habari kuanzia Februari 1 mwaka huu.
Kabla ya uteuzi huo, Kizuguto alikuwa Ofisa Habari wa klabu ya Young Africans, nafasi aliyoitumikia kwa miaka miwili.
Kizuguto ana Stashahada ya Juu ya Habari na Mawasiliano kutoka Chuo cha LEARN IT cha Dar es Salaam. Pia ana ujuzi wa kusanifu tovuti, ufundi wa kompyuta na uchambuzi wa mifumo ya kompyuta.
Mei mwaka jana, Kizuguto aliteuliwa na Shirikisho la...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-UlSdnsk4Eqo/VVIR0TQIdbI/AAAAAAAAtrI/z08_Axjoye8/s72-c/vodacom.jpg)
Mkurugenzi Mkuu Vodacom aliyejiuzulu Aula Qatar ......Mitandao Yahusisha Kujiuzulu Kwake na Kashfa ya Upotevu wa Bilioni 700 za Kitanzania
![](http://1.bp.blogspot.com/-UlSdnsk4Eqo/VVIR0TQIdbI/AAAAAAAAtrI/z08_Axjoye8/s640/vodacom.jpg)
Aliyekuwa Mkurugenzi mkuu wa Vodacom aliyejiuzulu hivi karibuni Rene Meza amepata shavu katika kampuni nyingine ya mawasiliano nchini Qatar ijulikayo kama Ooredoo Mynmar kuwa Mwenyekiti mtendaji wa tawi la Mynmar.Aidha, taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari jana na kampuni hiyo imesema kwamba Rene Meza atachukua nafasi ya Ross Cormack ambaye anatarajiwa kuachia nafasi hiyo mwaka huu.
Kwa mujibu wa mtandao wa Afrika Kusini umebanisha kwamba Mkurugenzi Mkuu wa Vodacom amejiuzulu...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-XX0rwEpB3Cc/VfGD-FNauYI/AAAAAAABHV0/dtB6NUYVV-0/s72-c/AZ.png)
AZAM, TFF ZARUDISHA KOMBE LA SHIRIKISHO
![](http://1.bp.blogspot.com/-XX0rwEpB3Cc/VfGD-FNauYI/AAAAAAABHV0/dtB6NUYVV-0/s640/AZ.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-pAhwMF56rJw/VfGEQc9wk2I/AAAAAAABHV4/evDbtpP1FKc/s640/AZ%2B1.png)
Kurudishwa kwa michuano hii imekua ni faraja kwa wapenzi na wadau wa mpira miguu nchini baada ya kukosekana kwa takribani miaka...
9 years ago
TheCitizen11 Sep
TFF, Azam in landmark ‘FA Cup’ deal
10 years ago
GPLTFF YATANGAZA VIINGILIO VYA AZAM VS YANGA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t08dki1KeXzOyOj2djRSEE2oZzIj4n*JOWTicpHK33T21sdh6whEGy0I2F-efFIhpeei*qtEEi6NiYlt2O74parj8X50TlzW/domayo.jpg?width=650)
TFF YATEUA WAKILI KUCHUNGUZA USAJILI WA DOMAYO AZAM FC
9 years ago
Mwananchi02 Sep
TFF sasa yavuna mamilioni Azam, Yanga, Simba kiulani
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-pA1pUXby0WM/VDJ6vLK-N0I/AAAAAAAAzqk/VUlr-GeUmBU/s72-c/JUMA%2BNKAMIA.jpg)
EXCLUSIVE: WAZIRI APIGA STOP TFF KUTAKA KUCHUKUA 5% ZA VODACOM, AZAM TV
![](http://4.bp.blogspot.com/-pA1pUXby0WM/VDJ6vLK-N0I/AAAAAAAAzqk/VUlr-GeUmBU/s640/JUMA%2BNKAMIA.jpg)