Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkurugenzi wa TFF aula Azam FC

Aliyekuwa Mkurugenzi wa mashindano wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Saad Kawemba ameteuliwa kuwa mtendaji mkuu wa klabu ya Azam.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Kizuguto aula TFF

photo

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limemteua Baraka Kizuguto (pichani) kuwa Ofisa Habari kuanzia Februari 1 mwaka huu.

Kabla ya uteuzi huo, Kizuguto alikuwa Ofisa Habari wa klabu ya Young Africans, nafasi aliyoitumikia kwa miaka miwili.

Kizuguto ana Stashahada ya Juu ya Habari na Mawasiliano kutoka Chuo cha LEARN IT cha Dar es Salaam. Pia ana ujuzi wa kusanifu tovuti, ufundi wa kompyuta na uchambuzi wa mifumo ya kompyuta.

Mei mwaka jana, Kizuguto aliteuliwa na Shirikisho la...

 

10 years ago

Vijimambo

Mkurugenzi Mkuu Vodacom aliyejiuzulu Aula Qatar ......Mitandao Yahusisha Kujiuzulu Kwake na Kashfa ya Upotevu wa Bilioni 700 za Kitanzania


Aliyekuwa Mkurugenzi mkuu wa Vodacom aliyejiuzulu hivi karibuni Rene Meza amepata shavu katika kampuni nyingine ya mawasiliano nchini Qatar ijulikayo kama Ooredoo Mynmar kuwa Mwenyekiti mtendaji wa tawi la Mynmar.Aidha, taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari jana na kampuni hiyo imesema kwamba Rene Meza atachukua nafasi ya Ross Cormack ambaye anatarajiwa kuachia nafasi hiyo mwaka huu.
Kwa mujibu wa mtandao wa Afrika Kusini umebanisha kwamba Mkurugenzi Mkuu wa Vodacom amejiuzulu...

 

9 years ago

Vijimambo

AZAM, TFF ZARUDISHA KOMBE LA SHIRIKISHO

Rais wa TFF Jamal Malinzi ( kushoto ) akiwa na Mkurugenzi wa Azam media Rhys ThorringtonShirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) kwa udhamini wa kampuni ya Azam Media kupitia Azamtv Sports leo wamezindua kombe la Shirikisho litakalofahamika kama Azam Sports Federation Cup (ASFC) ambalo litaanza kutimua vumbi mwezi Novemba mwaka huu kwa kushirikisha timu 64 nchini. 


Kurudishwa kwa michuano hii imekua ni faraja kwa wapenzi na wadau wa mpira miguu nchini baada ya kukosekana kwa takribani miaka...

 

9 years ago

TheCitizen

TFF, Azam in landmark ‘FA Cup’ deal

Azam Media Limited has agreed to sponsor the Federation Cup (formerly FA Cup) to the tune of Sh3.3 billion, the Tanzania Football Federation (TFF) said yesterday.

 

10 years ago

GPL

TFF YATANGAZA VIINGILIO VYA AZAM VS YANGA

Kaimu Katibu Mkuu wa TFF, Boniface Wambura akiwa mbele ya wanahabari (hawapo pichani). Wanahabari mbalimbali wakimsikiliza Wambura.…

 

11 years ago

GPL

TFF YATEUA WAKILI KUCHUNGUZA USAJILI WA DOMAYO AZAM FC

Frank Domayo. KUTOKANA na tukio lililotokea jana Aprili 30 mwaka huu kwenye kambi ya timu ya Taifa (Taifa Stars) iliyopo Tukuyu mkoani Mbeya likihusisha usajili wa baadhi ya timu, Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amemteua Wakili Wilson Ogunde kuchunguza mlolongo mzima wa tukio hilo. Taarifa ya TFF imesema kwamba, baada ya kukamilisha uchunguzi wake, Wakili Ogunde ataishauri TFF kuhusu hatua za kisheria na...

 

9 years ago

Mwananchi

TFF sasa yavuna mamilioni Azam, Yanga, Simba kiulani

Ni dhahiri Shirikisho la Soka Tanzania(TFF) litavuna Sh118.1milioni msimu huu kutoka katika klabu sita zenye wachezaji wa kigeni, lakini fedha hizo zinaonekana kuwa mtego na vita baina ya klabu na shirikisho hilo.

 

10 years ago

Vijimambo

EXCLUSIVE: WAZIRI APIGA STOP TFF KUTAKA KUCHUKUA 5% ZA VODACOM, AZAM TV

Naibu Waziri wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Juma Nkamia amelitaka Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kusitisha uamuzi wake wa kutaka kuchukua asilimia 5 za udhamini wa klabu zinazotolewa na makampuni ya Vodacom na Azam TV.Nkamia ameiambia SALEHJEMBE leo kwamba ameitaka TFF kusitisha jambo hilo."Kweli tumekutana TFF, Bodi ya Ligi na nimeagiza suala hilo kusitishwa mara moja," alisema Nkamia.Hata hivyo, Nkamia hakuweza kufafanua zaidi kwa kuwa alikuwa akiingia kwenye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani