AZAM, TFF ZARUDISHA KOMBE LA SHIRIKISHO
![](http://1.bp.blogspot.com/-XX0rwEpB3Cc/VfGD-FNauYI/AAAAAAABHV0/dtB6NUYVV-0/s72-c/AZ.png)
Rais wa TFF Jamal Malinzi ( kushoto ) akiwa na Mkurugenzi wa Azam media Rhys Thorrington
Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) kwa udhamini wa kampuni ya Azam Media kupitia Azamtv Sports leo wamezindua kombe la Shirikisho litakalofahamika kama Azam Sports Federation Cup (ASFC) ambalo litaanza kutimua vumbi mwezi Novemba mwaka huu kwa kushirikisha timu 64 nchini.
Kurudishwa kwa michuano hii imekua ni faraja kwa wapenzi na wadau wa mpira miguu nchini baada ya kukosekana kwa takribani miaka...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLAZAM YAONDOLEWA KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-BHitkAYUbCU/XlTz7XbV0xI/AAAAAAACzYU/La8lguTKUNc-EIWg-7VRf2HyRY3RCeQ1ACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
9 years ago
Michuzi09 Nov
UZINDUZI KOMBE LA SHIRIKISHO LEO
![](http://tff.or.tz/images/asfclounge.png)
10 years ago
Mwananchi19 Apr
KOMBE LA SHIRIKISHO: Tumekosa wote
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ynrQnNAOmFw/Voz5m90Um2I/AAAAAAAIQzM/nkPUuY3tobQ/s72-c/facup.png)
KOMBE LA SHIRIKISHO RAUNDI YA TATU.
![](http://2.bp.blogspot.com/-ynrQnNAOmFw/Voz5m90Um2I/AAAAAAAIQzM/nkPUuY3tobQ/s640/facup.png)
Timu 16 zinazoshiriki Ligi Kuu ya Vodacom zimeingia moja kwa moja mzunguko wa tatu ambapo sasa zinajumuika na timu 16 zilizofuzu kutoka raundi ya pili yenye timu kutoka ligi daraja la kwanza na ligi daraja la pili.
Jumamosi, Januari 12, Majimaji itacheza dhidi ya JKT Mlale uwanja wa...
11 years ago
BBCSwahili02 Apr
Al Ahly kucheza Kombe la Shirikisho
10 years ago
BBCSwahili03 Mar
TFF yapongeza Shirikisho la soka la Mali
10 years ago
BBCSwahili23 Dec
Yanga ina matumaini kombe la shirikisho.
10 years ago
BBCSwahili27 Feb
Kombe la Shirikisho:Yanga dimbani leo