TFF sasa yavuna mamilioni Azam, Yanga, Simba kiulani
Ni dhahiri Shirikisho la Soka Tanzania(TFF) litavuna Sh118.1milioni msimu huu kutoka katika klabu sita zenye wachezaji wa kigeni, lakini fedha hizo zinaonekana kuwa mtego na vita baina ya klabu na shirikisho hilo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLSimba wavuna milioni 60, Yanga wakosa mamilioni
Kikosi cha Simba. Na Khatimu Naheka
KIKOSI cha Simba kitakomba Sh milioni 60 ambazo kiliahidiwa na uongozi wa timu hiyo iwapo kingeifunga Yanga katika mchezo wa Nani Mtani Jembe uliochezwa juzi kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Wakati Simba wakijiandaa kukomba kitita hicho baada ya kuwafunga watani wao mabao 3-1, Yanga wamekosa Sh milioni 60 ambazo uongozi wa Jangwani uliahidi kuwapa wachezaji kama wataifunga Simba...
10 years ago
GPLTFF YATANGAZA VIINGILIO VYA AZAM VS YANGA
Kaimu Katibu Mkuu wa TFF, Boniface Wambura akiwa mbele ya wanahabari (hawapo pichani). Wanahabari mbalimbali wakimsikiliza Wambura.…
10 years ago
Mwananchi07 Jun
TFF sasa ‘yawaondoa’ Yanga nyota wa Ghana
Ndoto za Yanga kusajili wachezaji wawili wa kigeni kutoka Ghana zinaelekea kugonga mwamba baada ya kocha Hans van der Pluijm kurejea nchini bila nyota hao.
10 years ago
Mwananchi15 Jun
TFF yazitega Yanga, Simba
Ukimya wa Shirikisho la Soka Tanzania, (TFF) kuhusu idadi ya wachezaji wa kigeni umenazidi kuziwaweka mtegoni klabu za Yanga na , Simba.
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-AKYztlnEv-U/VKI0eEHcyfI/AAAAAAADTYM/rI3EafiYGZk/s72-c/Police-Coach-Goran-warns-LLB-to-expect-fightback-in-Kigali.png)
BAADA YA MAXIMO, SASA PHILI SIMBA OUT NA HUYU NDIYO MRITHI WA WAKE NAE SIJUI ATADUMU SIMBA NA YANGA NI SHIDA
![](http://1.bp.blogspot.com/-AKYztlnEv-U/VKI0eEHcyfI/AAAAAAADTYM/rI3EafiYGZk/s1600/Police-Coach-Goran-warns-LLB-to-expect-fightback-in-Kigali.png)
Phiri raia wa Zambia amesema ni suala la kawaida kumtokea kocha, hivyo hana kinyongo na uongozi wa klabu hiyo.
"Wamenitaarifu kuhusiana na kuachishwa kazi, hili si jambo jipya, ingawa niliona tungeweza kubadilisha mambo.
"Najua Simba wanataka kufanya vizuri, hivyo siwezi kumlaumu mtu na utaona mwendo wa timu yetu ulivyokuwa," alisema Phiri.
Phiri amesema anasubiri kiasi cha fedha alichokuwa anadai ambacho hakueleza...
11 years ago
Tanzania Daima19 Jun
Yanga sasa yairukia Azam FC
KLABU ya Yanga imeibua mpya baada ya kudai kwa sasa adui yao mkubwa ni mabingwa wa soka Tanzania Bara, Azam FC. Kauli hiyo imekuja baada ya hivi karibuni Azam FC...
10 years ago
Mwananchi26 Sep
TFF yazikingia kifua Simba, Yanga
>Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limezikingia ‘kifua’ Simba na Yanga na kueleza kuwa haliwezi kwa sasa kuzinyang’anya pointi kwa kuchezesha wachezaji wasio na vibali vya kufanya kazi nchini.
10 years ago
TheCitizen26 Sep
TFF alters date for Simba, Yanga match
Local soccer fans will have to wait a bit longer before witnessing this season’s Premier League match between the country’s football heavyweights Simba and Young Africans, it has been revealed.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania