Kizuguto aula TFF
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limemteua Baraka Kizuguto (pichani) kuwa Ofisa Habari kuanzia Februari 1 mwaka huu.
Kabla ya uteuzi huo, Kizuguto alikuwa Ofisa Habari wa klabu ya Young Africans, nafasi aliyoitumikia kwa miaka miwili.
Kizuguto ana Stashahada ya Juu ya Habari na Mawasiliano kutoka Chuo cha LEARN IT cha Dar es Salaam. Pia ana ujuzi wa kusanifu tovuti, ufundi wa kompyuta na uchambuzi wa mifumo ya kompyuta.
Mei mwaka jana, Kizuguto aliteuliwa na Shirikisho la...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi26 Nov
Mkurugenzi wa TFF aula Azam FC
10 years ago
Uhuru Newspaper16 Apr
Mtanzania aula AU
Na Mwandishi Maalumu, New York
BRIGEDIA Jenerali Sara Rwambali wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), ameteuliwa kuwa Mwakilishi Maalumu na Mkuu wa Ofisi ya Umoja wa Afrika (AU), Sudan Kusini.
Mwenyekiti wa Kamisheni ya AU, Dk. Nkosanzana Zuma, katika taarifa aliyoitoa jana kwa vyombo vya habari alisema makazi ya Brigedia Jenerali Sara yatakuwa Juba.
Dk. Nkosanzana amemteua Josephine Charlotte Kala kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), kuwa Mwakilishi Maalumu na Mkuu wa Ofisi ya...
9 years ago
Mwananchi19 Dec
Kagame aula tena
10 years ago
Mtanzania07 Nov
Zoka aula rasmi
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
WAKATI Rais Jakaya Kikwete akiwaapisha wakuu wa mikoa, makatibu wakuu wa wizara na makatibu tawala wa mikoa, aliyekuwa Naibu Mkurugenzi Usalama wa Taifa, Jack Zoka amekula kiapo cha kuwa Balozi wa Tanzania nchini Canada.
Sherehe za kuapishwa kwa viongozi hao wapya zilifanyika jana katika viwanja vya Ikulu Dar es Salaam.
Zoka aliteuliwa kushika wadhifa wake mpya Septemba 30, mwaka huu wakati wakuu wa mikoa, makatibu wakuu na makatibu tawala wapya walitangazwa...
9 years ago
Habarileo25 Aug
Cheka azaliwa upya, aula
BONDIA nyota wa ngumi za kulipwa nchini, Francis Cheka atapigana na bondia wa Uingereza, Martin Murray katika pambano maalumu lisilo la ubingwa la uzito wa super middle.
9 years ago
BBCSwahili19 Aug
Sebastian Coe aula IAAF
9 years ago
Mwananchi06 Oct
Mama Shujaa wa Chakula 2013 aula
10 years ago
Habarileo12 Dec
Dereva wa bodaboda aula kampeni ya SBL
DEREVA wa pikipiki maarufu kama bodaboda, Peter Emmanuel (37) ameibuka mshindi wa pili wa bajaji katika droo ya pili ya kampeni ya Tutoke na Serengeti inayoendeshwa na Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL).