Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kagame aula tena

Tume ya Uchaguzi nchini Rwanda (NEC) imetangaza matokeo ya awali ya kura ya maoni ya mabadiliko ya katiba ambayo yanaonyesha kuwa asilimia 98.1 ya walipiga kura wametaka katiba ibadilishwe.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Uhuru Newspaper

Mtanzania aula AU


Na  Mwandishi Maalumu, New  York
BRIGEDIA Jenerali Sara Rwambali wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), ameteuliwa kuwa Mwakilishi Maalumu na Mkuu wa Ofisi ya Umoja wa Afrika (AU), Sudan Kusini.
Mwenyekiti wa Kamisheni ya AU,  Dk. Nkosanzana Zuma,  katika taarifa aliyoitoa jana kwa vyombo vya habari alisema makazi ya Brigedia Jenerali Sara yatakuwa Juba.
Dk. Nkosanzana amemteua Josephine  Charlotte Kala kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), kuwa Mwakilishi Maalumu na Mkuu wa Ofisi ya...

 

10 years ago

Mtanzania

Zoka aula rasmi

Zoka akiapishwa IkuluNA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM

WAKATI Rais Jakaya Kikwete akiwaapisha wakuu wa mikoa, makatibu wakuu wa wizara na makatibu tawala wa mikoa,  aliyekuwa Naibu Mkurugenzi Usalama wa Taifa, Jack Zoka amekula kiapo cha kuwa Balozi wa Tanzania nchini Canada.

Sherehe za kuapishwa kwa viongozi hao wapya zilifanyika jana katika viwanja vya Ikulu Dar es Salaam.

Zoka aliteuliwa kushika wadhifa wake mpya Septemba 30, mwaka huu wakati wakuu wa mikoa, makatibu wakuu na makatibu tawala wapya walitangazwa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kizuguto aula TFF

photo

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limemteua Baraka Kizuguto (pichani) kuwa Ofisa Habari kuanzia Februari 1 mwaka huu.

Kabla ya uteuzi huo, Kizuguto alikuwa Ofisa Habari wa klabu ya Young Africans, nafasi aliyoitumikia kwa miaka miwili.

Kizuguto ana Stashahada ya Juu ya Habari na Mawasiliano kutoka Chuo cha LEARN IT cha Dar es Salaam. Pia ana ujuzi wa kusanifu tovuti, ufundi wa kompyuta na uchambuzi wa mifumo ya kompyuta.

Mei mwaka jana, Kizuguto aliteuliwa na Shirikisho la...

 

9 years ago

Habarileo

Cheka azaliwa upya, aula

BONDIA nyota wa ngumi za kulipwa nchini, Francis Cheka atapigana na bondia wa Uingereza, Martin Murray katika pambano maalumu lisilo la ubingwa la uzito wa super middle.

 

10 years ago

Mwananchi

Mkurugenzi wa TFF aula Azam FC

Aliyekuwa Mkurugenzi wa mashindano wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Saad Kawemba ameteuliwa kuwa mtendaji mkuu wa klabu ya Azam.

 

9 years ago

BBCSwahili

Sebastian Coe aula IAAF

Bodi ya Shirikisho la riadha duniani IAAF, imemchagua Sebastian Coe kuwa rais wake mpya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Leodgar Chila Tenga aula CAF.

Leodgar Tenga kwa amechaguliwa kuendelea kuwa mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu barani Afrika (CAF).

 

10 years ago

Habarileo

Dereva wa bodaboda aula kampeni ya SBL

DEREVA wa pikipiki maarufu kama bodaboda, Peter Emmanuel (37) ameibuka mshindi wa pili wa bajaji katika droo ya pili ya kampeni ya Tutoke na Serengeti inayoendeshwa na Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL).

 

9 years ago

Mtanzania

Irene Uwoya aula viti maalum

f7d8b2e2ec0fec94d7385f158c725b9dNA BAKARI KIMWANGA, DODOMA

MSANII pekee wa Bongo Movie, Irene Uwoya, ameibuka kidedea kwenye uteuzi wa wagombea ubunge wa viti maalumu uliokamilishwa na Chama cha Mapinduzi (CCM) jana.

Uwoya alipata nafasi hiyo baada ya jina la mtoto wa Meya wa Jiji la Dar es Salaam, ambaye pia ni mgombea wa CCM katika jimbo la Ubungo, Dk Didas Masaburi, Juliana Masaburi kukatwa.

Mtoto huyo wa Masaburi, alishinda kura za maoni kupitia kundi la Vijana akiwakilisha Mkoa wa Mara lakini baada ya kukatwa nafasi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani