Zoka aula rasmi
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
WAKATI Rais Jakaya Kikwete akiwaapisha wakuu wa mikoa, makatibu wakuu wa wizara na makatibu tawala wa mikoa, aliyekuwa Naibu Mkurugenzi Usalama wa Taifa, Jack Zoka amekula kiapo cha kuwa Balozi wa Tanzania nchini Canada.
Sherehe za kuapishwa kwa viongozi hao wapya zilifanyika jana katika viwanja vya Ikulu Dar es Salaam.
Zoka aliteuliwa kushika wadhifa wake mpya Septemba 30, mwaka huu wakati wakuu wa mikoa, makatibu wakuu na makatibu tawala wapya walitangazwa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-edkhD3slvXI/VZx8_HG11RI/AAAAAAADw5g/4LtrYJyh1SQ/s72-c/886cf5d932b2bc55e92df7a3152a9e12.jpg)
Mugendi Zoka ameremeta na Winnie usiku Mlimani City Dar-es-Salaam.
![](http://2.bp.blogspot.com/-edkhD3slvXI/VZx8_HG11RI/AAAAAAADw5g/4LtrYJyh1SQ/s640/886cf5d932b2bc55e92df7a3152a9e12.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-wnbnBlOHUtw/VjMzn_W8l7I/AAAAAAAIDeE/dfmX5455fvI/s72-c/Untitled.png)
BALOZI ZOKA AWASILISHA HATI ZA UWAKILISHI KWA MAKAMU WA RAIS WA CUBA
Mhe. Balozi aliambatana na Mama Balozi Bibi Esther Zoka na Afisa wa Ubalozi Bw. Paul Makelele. Sherehe hiyo pia ilihudhuriwa na Mkuu wa Itifaki wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Cuba, Mhe. Balozi Miguel Lamazares Puello na Maafisa wengine kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na ofisi ya...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-w9KWA_Keelk/VmqM3lpywsI/AAAAAAAILmE/eF6kNW7wzac/s72-c/Untitled1.png)
BALOZI ZOKA AWAONGOZA MAAFISA WA UBALOZI KATIKA ZOEZI LA USAFI WA MAZINGIRA
![](http://4.bp.blogspot.com/-w9KWA_Keelk/VmqM3lpywsI/AAAAAAAILmE/eF6kNW7wzac/s640/Untitled1.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-qoq7W8gjles/VmqM47YuJ4I/AAAAAAAILmQ/SR8Ppt_3YOc/s640/Untitled2.png)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-05M0yuOBxjM/Vm5kcr03bOI/AAAAAAAIMOs/eBfXW0JPUI0/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-12-14%2Bat%2B9.39.35%2BAM.png)
10 years ago
MichuziJack Mugendi Zoka ateuliwa kuwa Balozi mpya wa Tanzania nchini Canada.
Bw. Zoka anajaza nafasi iliyoachwa wazi na Balozi Alex Masinda, ambaye amestaafu kwa mujibu wa sheria. Kabla ya uteuzi huu, Bw. Zoka alikuwa Ofisa Mwandamizi Ofisi ya Rais Ikulu.
IMETOLEWA NAKATIBU MKUUWIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFADar es Salaam,Septemba 30, 2014
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QfM0tpK5Bbw/VHjcA111ebI/AAAAAAAG0C0/mawUlLWpLwc/s72-c/unnamed%2B(30).jpg)
DKT SHEIN AKUTANA NA BALOZI WA TANZANIA NCHINI CANADA Jack Mugendi Zoka
![](http://4.bp.blogspot.com/-QfM0tpK5Bbw/VHjcA111ebI/AAAAAAAG0C0/mawUlLWpLwc/s1600/unnamed%2B(30).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-mqaYekdgR0k/VHjcA2dTVGI/AAAAAAAG0Cw/W6quYhyTZyw/s1600/unnamed%2B(31).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-M_R104a2HYk/VHjcBCmwpTI/AAAAAAAG0Cs/v2BpYfP1pO8/s1600/unnamed%2B(32).jpg)
10 years ago
Uhuru Newspaper16 Apr
Mtanzania aula AU
Na Mwandishi Maalumu, New York
BRIGEDIA Jenerali Sara Rwambali wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), ameteuliwa kuwa Mwakilishi Maalumu na Mkuu wa Ofisi ya Umoja wa Afrika (AU), Sudan Kusini.
Mwenyekiti wa Kamisheni ya AU, Dk. Nkosanzana Zuma, katika taarifa aliyoitoa jana kwa vyombo vya habari alisema makazi ya Brigedia Jenerali Sara yatakuwa Juba.
Dk. Nkosanzana amemteua Josephine Charlotte Kala kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), kuwa Mwakilishi Maalumu na Mkuu wa Ofisi ya...
10 years ago
Dewji Blog05 Feb
Kizuguto aula TFF
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limemteua Baraka Kizuguto (pichani) kuwa Ofisa Habari kuanzia Februari 1 mwaka huu.
Kabla ya uteuzi huo, Kizuguto alikuwa Ofisa Habari wa klabu ya Young Africans, nafasi aliyoitumikia kwa miaka miwili.
Kizuguto ana Stashahada ya Juu ya Habari na Mawasiliano kutoka Chuo cha LEARN IT cha Dar es Salaam. Pia ana ujuzi wa kusanifu tovuti, ufundi wa kompyuta na uchambuzi wa mifumo ya kompyuta.
Mei mwaka jana, Kizuguto aliteuliwa na Shirikisho la...
9 years ago
Mwananchi19 Dec
Kagame aula tena