BIASHARA HARAMU YA MKAA INAPOFADHILI UGAIDI
![](http://1.bp.blogspot.com/-ljcVkkk9vSE/VEzv6rOSMeI/AAAAAAAGtao/zKHVnQCe8Ps/s72-c/unnamed.jpg)
Na Mwandishi Maalum, New York
Inaweza ikawa ni taarifa za kushangaza kuwa hata mkaa ambao ni nishati inayotumiwa na jamii kubwa sehemu mbalimbali hususani Barani Afrika kwamba mapato yatokanayo na biashara hiyo yanaweza kuwa chanzo ya mapato kwa makundi ya kigaidi.
Taarifa kwamba mapato yatokanayo na mkaa yanatumika ndivyo sivyo, zimejidhirisha mwishoni mwa wiki ( Ijumaa ) pale Baraza Kuu la Usalama la Umoja wa Mataifa lilipopitisha kwa kura Azimio namba 2182 la mwaka 2014...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo18 Dec
RC apiga ‘stop’ biashara ya mkaa
MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Dk Rajab Rutengwe, amewapa mwezi mmoja wakuu wa wilaya sita za mkoa, wahakikishe wanakomesha kuzagaa kwa biashara ya mkaa katika maeneo yao.
10 years ago
BBCSwahili17 Oct
Al-Shabaab waendeleza biashara ya mkaa
9 years ago
Mwananchi07 Oct
Biashara haramu, simu,
10 years ago
Mwananchi08 Jan
MAHAKAMANI KWA BIASHARA HARAMU.
10 years ago
Habarileo13 Mar
Biashara ya fedha haramu yakithiri
KUSHAMIRI kwa fedha haramu nchini kunakofanywa na baadhi ya Watanzania wasio waaminifu ndani na nje ya nchi, kumeisababishia taifa hasara ya bilioni 590/- (dola milioni 328) kila mwaka, imeelezwa.
11 years ago
Tanzania Daima22 Dec
Mawasiliano biashara haramu yakamatwa
POLISI na Idara ya Uhamiaji Kilimanjaro wamekamata mawasiliano baina ya wahusika wa biashara ya wahamiaji haramu na mawakala wao baada ya kukamatwa watu watatu wanaotajwa kuwa vinara wa biashara ya...
10 years ago
Mwananchi06 Dec
Biashara haramu ya madini kudhibitiwa
10 years ago
Mwananchi20 Dec
Victoria yakwamisha udhibiti biashara haramu
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_ksGrOUkJpw/VlqSbIsdXeI/AAAAAAAII3w/m0YzAuM8GKg/s72-c/a3a430d7-a9c9-4658-8258-1a641e343d09.jpg)
Tutakomesha biashara haramu ya magogo, maliasili—Serikali