Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Al-Shabaab waendeleza biashara ya mkaa

Ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa imekishutumu kikundi cha Somalia cha Al Shabaab kwa kuendelea na biahara ya mkaa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

RC apiga ‘stop’ biashara ya mkaa

Dk Rajab RutengweMKUU wa Mkoa wa Morogoro, Dk Rajab Rutengwe, amewapa mwezi mmoja wakuu wa wilaya sita za mkoa, wahakikishe wanakomesha kuzagaa kwa biashara ya mkaa katika maeneo yao.

 

10 years ago

Michuzi

BIASHARA HARAMU YA MKAA INAPOFADHILI UGAIDI


Na Mwandishi Maalum, New York


Inaweza  ikawa ni  taarifa za  kushangaza kuwa hata mkaa ambao ni  nishati inayotumiwa na jamii kubwa sehemu mbalimbali hususani  Barani Afrika kwamba mapato yatokanayo na   biashara hiyo  yanaweza kuwa chanzo ya mapato kwa  makundi ya kigaidi.


Taarifa kwamba  mapato yatokanayo na mkaa yanatumika ndivyo sivyo, zimejidhirisha mwishoni  mwa wiki ( Ijumaa ) pale Baraza Kuu la  Usalama la Umoja wa Mataifa lilipopitisha kwa kura  Azimio  namba  2182 la mwaka 2014...

 

9 years ago

GPL

AL-SHABAAB NI NANI: MAREKANI YATANGAZA KUUA KIONGOZI WA AL-SHABAAB

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Wiki iliyopita nilieleza juu ya kundi haramu la kigaidi la Al-Shabaab lilivyotuma vitisho vya kutaka kuvamia Majiji ya Dar na Mwanza nchini Tanzania kupitia mkanda wa video ulioonesha mwakilishi wa Kundi la Kigaidi la Dola ya Kiislam la Iraq na Lavent (ISIL), akimtaka Kiongozi wa Al-Shabaab kujiimarisha na kufanya mashambulizi kwenye majiji hayo. SASA ENDELEA… Katika kipindi hicho, polisi wa Tanzania...

 

11 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji wa Hamas waendeleza mapigano

Makundi ya wapiganaji wa Hamas yameendeleza mashambulizi huku jitihada za kusitisha mapigano zikiwa hazijaza amatunda.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakurd waendeleza mapigano,Kabone

Mapigano makali ya kurushiana risasi yanaendelea kati ya majeshi ya serikali na wapiganaji wa Kikrud nchini Syria.

 

11 years ago

Mwananchi

Wafanyabiashara waendeleza vita ya EFD

Mgomo wa wafanyabiashara wenye maduka umeendelea sehemu mbalimbali nchini huku wakimtaka Rais Jakaya Kikwete kufanyia kazi malalamiko ya kiwango kikubwa cha bei za Mashine za Kielektroniki za Kutoza Kodi (EFD).

 

10 years ago

BBCSwahili

Murray,Sharapova waendeleza ushindi

Nyota wa Tenesi Andy Murray ameendeleza wimbi ushindi katika michuano ya wazi ya Melbourne

 

9 years ago

Mwananchi

Magufuli, Lowassa waendeleza tambo

Wagombea urais jana walikuwa miongoni mwa mamilioni ya Watanzania waliojitokeza kupiga kura, huku Dk John Magufuli wa CCM na Edward Lowassa wakiendeleza tambo za ushindi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wazazi waendeleza maandamano Mexico

Wazazi wa wanafunzi 43 wa Mexico waliotoweka wiki 7 zilizopita wameendelea kuandamana dhidi ya serikali.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani