Al-Shabaab waendeleza biashara ya mkaa
Ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa imekishutumu kikundi cha Somalia cha Al Shabaab kwa kuendelea na biahara ya mkaa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo18 Dec
RC apiga ‘stop’ biashara ya mkaa
MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Dk Rajab Rutengwe, amewapa mwezi mmoja wakuu wa wilaya sita za mkoa, wahakikishe wanakomesha kuzagaa kwa biashara ya mkaa katika maeneo yao.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ljcVkkk9vSE/VEzv6rOSMeI/AAAAAAAGtao/zKHVnQCe8Ps/s72-c/unnamed.jpg)
BIASHARA HARAMU YA MKAA INAPOFADHILI UGAIDI
![](http://1.bp.blogspot.com/-ljcVkkk9vSE/VEzv6rOSMeI/AAAAAAAGtao/zKHVnQCe8Ps/s1600/unnamed.jpg)
Na Mwandishi Maalum, New York
Inaweza ikawa ni taarifa za kushangaza kuwa hata mkaa ambao ni nishati inayotumiwa na jamii kubwa sehemu mbalimbali hususani Barani Afrika kwamba mapato yatokanayo na biashara hiyo yanaweza kuwa chanzo ya mapato kwa makundi ya kigaidi.
Taarifa kwamba mapato yatokanayo na mkaa yanatumika ndivyo sivyo, zimejidhirisha mwishoni mwa wiki ( Ijumaa ) pale Baraza Kuu la Usalama la Umoja wa Mataifa lilipopitisha kwa kura Azimio namba 2182 la mwaka 2014...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ctVGzmtSoN9dXUrxxOyM0krY9H4mb1mJ2liUO5u1R9DAEQEkHo-fS1MBrhP2kV7e2y-pGg*zhcrMOy-5rA-n7CODPlmA8Mdq/AlShabaabfighters014.jpg?width=650)
AL-SHABAAB NI NANI: MAREKANI YATANGAZA KUUA KIONGOZI WA AL-SHABAAB
ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Wiki iliyopita nilieleza juu ya kundi haramu la kigaidi la Al-Shabaab lilivyotuma vitisho vya kutaka kuvamia Majiji ya Dar na Mwanza nchini Tanzania kupitia mkanda wa video ulioonesha mwakilishi wa Kundi la Kigaidi la Dola ya Kiislam la Iraq na Lavent (ISIL), akimtaka Kiongozi wa Al-Shabaab kujiimarisha na kufanya mashambulizi kwenye majiji hayo. SASA ENDELEA… Katika kipindi hicho, polisi wa Tanzania...
11 years ago
BBCSwahili28 Jul
Wapiganaji wa Hamas waendeleza mapigano
Makundi ya wapiganaji wa Hamas yameendeleza mashambulizi huku jitihada za kusitisha mapigano zikiwa hazijaza amatunda.
10 years ago
BBCSwahili06 Oct
Wakurd waendeleza mapigano,Kabone
Mapigano makali ya kurushiana risasi yanaendelea kati ya majeshi ya serikali na wapiganaji wa Kikrud nchini Syria.
11 years ago
Mwananchi12 Feb
Wafanyabiashara waendeleza vita ya EFD
Mgomo wa wafanyabiashara wenye maduka umeendelea sehemu mbalimbali nchini huku wakimtaka Rais Jakaya Kikwete kufanyia kazi malalamiko ya kiwango kikubwa cha bei za Mashine za Kielektroniki za Kutoza Kodi (EFD).
10 years ago
BBCSwahili21 Jan
Murray,Sharapova waendeleza ushindi
Nyota wa Tenesi Andy Murray ameendeleza wimbi ushindi katika michuano ya wazi ya Melbourne
9 years ago
Mwananchi26 Oct
Magufuli, Lowassa waendeleza tambo
Wagombea urais jana walikuwa miongoni mwa mamilioni ya Watanzania waliojitokeza kupiga kura, huku Dk John Magufuli wa CCM na Edward Lowassa wakiendeleza tambo za ushindi.
10 years ago
BBCSwahili14 Nov
Wazazi waendeleza maandamano Mexico
Wazazi wa wanafunzi 43 wa Mexico waliotoweka wiki 7 zilizopita wameendelea kuandamana dhidi ya serikali.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania