Wazazi waendeleza maandamano Mexico
Wazazi wa wanafunzi 43 wa Mexico waliotoweka wiki 7 zilizopita wameendelea kuandamana dhidi ya serikali.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili21 Nov
Maandamano makubwa kufanyika Mexico
Wananchi wa Mexico wamejiandaa kufanya maandamano makubwa kupinga kupotea kwa wanafunzi zaidi ya arobaini
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-gqUnkKm-2AQ/VL9ks1swKhI/AAAAAAACWAg/hIQjh-W-vNg/s72-c/900.jpg)
BALOZI IDDI APOKEA MAANDAMANO YA WAZAZI NA WANAFUNZI KUUNGA MKONO UCHANGIAJI WA ELIMU
![](http://4.bp.blogspot.com/-gqUnkKm-2AQ/VL9ks1swKhI/AAAAAAACWAg/hIQjh-W-vNg/s640/900.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-jkSV1Mj0UAc/VL9kuEVf3bI/AAAAAAACWAo/0Sz89S_-Lj0/s640/923.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-MutXCvJoyvI/VNIzKNk7lZI/AAAAAAAHBrk/wVlaEEYxUc0/s72-c/DSC_1394.jpg)
KAMANDA KOVA APIGA ‘STOP’ MAANDAMANO YA UVCCM ILALA,MAANDAMANO YA BAVICHA YAACHWA KIPORO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-MutXCvJoyvI/VNIzKNk7lZI/AAAAAAAHBrk/wVlaEEYxUc0/s1600/DSC_1394.jpg)
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam imezuia maandamano ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Wilaya Ilala (UVCCM) ya kuadhimisha miaka 38 ya kuzaliwa kwa chama hicho pamoja na kuacha kiporo maandamano ya Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha).
Akizungumza leo na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam ,Kamishina wa Jeshi la Polisi ,Suleiman Kova ,amesema kuzuia kwa maandamano...
9 years ago
Mwananchi26 Oct
Magufuli, Lowassa waendeleza tambo
Wagombea urais jana walikuwa miongoni mwa mamilioni ya Watanzania waliojitokeza kupiga kura, huku Dk John Magufuli wa CCM na Edward Lowassa wakiendeleza tambo za ushindi.
10 years ago
BBCSwahili21 Jan
Murray,Sharapova waendeleza ushindi
Nyota wa Tenesi Andy Murray ameendeleza wimbi ushindi katika michuano ya wazi ya Melbourne
10 years ago
BBCSwahili06 Oct
Wakurd waendeleza mapigano,Kabone
Mapigano makali ya kurushiana risasi yanaendelea kati ya majeshi ya serikali na wapiganaji wa Kikrud nchini Syria.
11 years ago
Mwananchi12 Feb
Wafanyabiashara waendeleza vita ya EFD
Mgomo wa wafanyabiashara wenye maduka umeendelea sehemu mbalimbali nchini huku wakimtaka Rais Jakaya Kikwete kufanyia kazi malalamiko ya kiwango kikubwa cha bei za Mashine za Kielektroniki za Kutoza Kodi (EFD).
10 years ago
BBCSwahili17 Oct
Al-Shabaab waendeleza biashara ya mkaa
Ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa imekishutumu kikundi cha Somalia cha Al Shabaab kwa kuendelea na biahara ya mkaa.
11 years ago
BBCSwahili28 Jul
Wapiganaji wa Hamas waendeleza mapigano
Makundi ya wapiganaji wa Hamas yameendeleza mashambulizi huku jitihada za kusitisha mapigano zikiwa hazijaza amatunda.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania