Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wazazi waendeleza maandamano Mexico

Wazazi wa wanafunzi 43 wa Mexico waliotoweka wiki 7 zilizopita wameendelea kuandamana dhidi ya serikali.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Maandamano makubwa kufanyika Mexico

Wananchi wa Mexico wamejiandaa kufanya maandamano makubwa kupinga kupotea kwa wanafunzi zaidi ya arobaini

 

10 years ago

Vijimambo

BALOZI IDDI APOKEA MAANDAMANO YA WAZAZI NA WANAFUNZI KUUNGA MKONO UCHANGIAJI WA ELIMU

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akipokea Maandamano ya Wanafunzi na wazazi wa Wilaya ya Magharibi kuunga mkono kauli ya Rais wa Zanzibar Dkt. Ali Mohammed Shein, kuhusu uchangiaji wa elimu ya msingi na ada za mitihani kwa Kidato cha Nne na Cha Sita aliyoitoa katika kilele cha sherehe za kutimia miaka 51 ya Mapinduzi ya Zanzibar.Baadhi ya wazee na wazazi wa Wilaya ya Magharibi wakiwa katika mkutano wa Kumpongeza Rais Shein kufuta uchangiaji kwa elimu ya msingi na ada...

 

10 years ago

Michuzi

KAMANDA KOVA APIGA ‘STOP’ MAANDAMANO YA UVCCM ILALA,MAANDAMANO YA BAVICHA YAACHWA KIPORO.

 Na Chalila Kibuda ,Globu ya Jamii
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam imezuia maandamano ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi Wilaya Ilala (UVCCM) ya kuadhimisha miaka 38 ya kuzaliwa kwa chama hicho pamoja na kuacha kiporo  maandamano ya Baraza la Vijana wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bawacha).


Akizungumza leo na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam ,Kamishina wa Jeshi la Polisi ,Suleiman Kova ,amesema kuzuia kwa maandamano...

 

9 years ago

Mwananchi

Magufuli, Lowassa waendeleza tambo

Wagombea urais jana walikuwa miongoni mwa mamilioni ya Watanzania waliojitokeza kupiga kura, huku Dk John Magufuli wa CCM na Edward Lowassa wakiendeleza tambo za ushindi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Murray,Sharapova waendeleza ushindi

Nyota wa Tenesi Andy Murray ameendeleza wimbi ushindi katika michuano ya wazi ya Melbourne

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakurd waendeleza mapigano,Kabone

Mapigano makali ya kurushiana risasi yanaendelea kati ya majeshi ya serikali na wapiganaji wa Kikrud nchini Syria.

 

11 years ago

Mwananchi

Wafanyabiashara waendeleza vita ya EFD

Mgomo wa wafanyabiashara wenye maduka umeendelea sehemu mbalimbali nchini huku wakimtaka Rais Jakaya Kikwete kufanyia kazi malalamiko ya kiwango kikubwa cha bei za Mashine za Kielektroniki za Kutoza Kodi (EFD).

 

10 years ago

BBCSwahili

Al-Shabaab waendeleza biashara ya mkaa

Ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa imekishutumu kikundi cha Somalia cha Al Shabaab kwa kuendelea na biahara ya mkaa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji wa Hamas waendeleza mapigano

Makundi ya wapiganaji wa Hamas yameendeleza mashambulizi huku jitihada za kusitisha mapigano zikiwa hazijaza amatunda.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani