KUTOKA LONDON : Halahala kupunguza plastiki kuokoa mazingira ulimwenguni
Jumatatu sera ya serikali ya Uingereza kupunguza uharibifu wa mazingira ilianza kwa kishindo. Sera imeanza kupunguza matumizi ya mifuko ya plastiki madukani . Zogo lilianza miaka saba iliyopita vyombo vya habari vilipomwonyesha kasa wa baharini akifadhaika baada ya kumeza mfuko mzima wa plastiki. Azma ya taswira ilikuwa kusisitiza namna viumbe mbalimbali vinavyouliwa na uchafu wa mazingira. Kama meli za mafuta zinapopinduka baharini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi01 May
Majiko kuokoa mazingira
Kampuni ya Artienergy ya jijini Dar es Salaam imegundua majiko ambayo ni mkombozi kwa familia zisizo na kipato kikubwa na pia yanasaidia kuokoa mazingira kwa kuwa hayatoi moshi mwingi kama yalivyo ya mkaa.
9 years ago
Mwananchi14 Sep
Mkaa endelevu kuokoa mazingira
Dar es Salaam. Serikali ya Finland kwa kushirikiana na Wizara ya Maliasili na Utalii, wameanzisha mradi wa mkaa endelevu utakaozalishwa kwa njia za kisasa wenye lengo la kupunguza uharibifu wa mazingira na kuongeza ajira.
9 years ago
Mwananchi22 Nov
KUTOKA LONDON: Fab Moses- Mtabiri wa London aliyetunga wimbo wa kushinda Magufuli
Wakati kampeni za uchaguzi zikiendelea miezi kadhaa iliyopita, Mtanzania mmoja mkazi London alikuwa na mtazamo tofauti. Mwanamuziki na mcheza sarakasi huyu anaitwa Fab Moses.
9 years ago
Mwananchi06 Sep
KUTOKA LONDON : Wakenya wakutana London kuitangaza nchi yao inayozidi kupendwa majuu
“Kenya and Friends in the Park†– yaani Kenya na marafiki zao kukutana kiwanjani ilihamasishwa na dada mcheza ngoma, mwanatamthiliya na mwanahabari Lydia Olet. Bango lenye taswira ya Simba na Mmasai aliyevaa lubega la miraba; kifua wazi na mkuki mkononi. Maneno yalisema burudani itakuwa Jumamosi tarehe 29 Agosti kuanzia tano asubuhi hadi mbili usiku. Kiingilio bure.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-IWForiY14cw/Uw4j0g7cfhI/AAAAAAAFP3M/hFi9pCPcHyo/s72-c/unnamed+(33).jpg)
semina ya mkakati wa Rasimu ya mawasiliano ya Mazingira endelevu kwa ukuaji wa uchumi na kupunguza umaskini Tanzania
![](http://4.bp.blogspot.com/-IWForiY14cw/Uw4j0g7cfhI/AAAAAAAFP3M/hFi9pCPcHyo/s1600/unnamed+(33).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5nfFqy1kz60/Uw4j1HvmL-I/AAAAAAAFP3Q/lnXB4znmBEk/s1600/unnamed+(34).jpg)
11 years ago
Michuzisemina ya mkakati wa Rasimu ya mawasiliano ya Mazingira endelevu kwa ukuaji wa uchumi na kupunguza umaskini Tanzania yafanyika leo
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/Y9oQWy5Oo_8/default.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lNNyJPyUz20/XkbJvg2PoLI/AAAAAAABKnc/e2eIMthpigocZ9Ts_Iol40tduA92vvbiQCNcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200214-WA0083.jpg)
MAMLAKA ZA MAJI ZITUMIE WATAALAMU KUTOKA NDANI ILI KUPUNGUZA GHARAMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-lNNyJPyUz20/XkbJvg2PoLI/AAAAAAABKnc/e2eIMthpigocZ9Ts_Iol40tduA92vvbiQCNcBGAsYHQ/s640/IMG-20200214-WA0083.jpg)
Na Zainab Nyamka, Globu ya JamiiMamlaka za maji nchini zimetakiwa kuanza kutumia wataalamu wa ndani katika ujenzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo nchini.
Waziri wa Maji Prof Makame Mbarawa amesema sasa hivi mamlaka zote zinatakiwa zianze kutumia wataalamu kutoka ndani ili zipunguze gharama za ujenzi.
Amesema hayo...
10 years ago
Mwananchi29 Nov
Kutoka ‘hausigeli’ hadi kumiliki maduka London (1)
Jina la Flora Lyimo au Mbuta Nanga limekuwa maarufu katika mitaa ya Oxford inayosifika kwa kuwa na wabunifu wakubwa duniani, jijini London nchini Uingereza.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania