Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KUTOKA LONDON : Halahala kupunguza plastiki kuokoa mazingira ulimwenguni

Jumatatu sera ya serikali ya Uingereza kupunguza uharibifu wa mazingira ilianza kwa kishindo. Sera imeanza kupunguza matumizi ya mifuko ya plastiki madukani . Zogo lilianza miaka saba iliyopita vyombo vya habari vilipomwonyesha kasa wa baharini akifadhaika baada ya kumeza mfuko mzima wa plastiki. Azma ya taswira ilikuwa kusisitiza namna viumbe mbalimbali vinavyouliwa na uchafu wa mazingira. Kama meli za mafuta zinapopinduka baharini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Majiko kuokoa mazingira

Kampuni ya Artienergy ya jijini Dar es Salaam imegundua majiko ambayo ni mkombozi kwa familia zisizo na kipato kikubwa na pia yanasaidia kuokoa mazingira kwa kuwa hayatoi moshi mwingi kama yalivyo ya mkaa.

 

9 years ago

Mwananchi

Mkaa endelevu kuokoa mazingira

Dar es Salaam. Serikali ya Finland kwa kushirikiana na Wizara ya Maliasili na Utalii, wameanzisha mradi wa mkaa endelevu utakaozalishwa kwa njia za kisasa wenye lengo la kupunguza uharibifu wa mazingira na kuongeza ajira.

 

9 years ago

Mwananchi

KUTOKA LONDON: Fab Moses- Mtabiri wa London aliyetunga wimbo wa kushinda Magufuli

Wakati kampeni za uchaguzi zikiendelea miezi kadhaa iliyopita, Mtanzania mmoja mkazi London alikuwa na mtazamo tofauti. Mwanamuziki na mcheza sarakasi huyu  anaitwa Fab Moses.

 

9 years ago

Mwananchi

KUTOKA LONDON : Wakenya wakutana London kuitangaza nchi yao inayozidi kupendwa majuu

“Kenya and Friends in the Park” – yaani Kenya na marafiki zao kukutana kiwanjani ilihamasishwa na dada mcheza ngoma, mwanatamthiliya na mwanahabari Lydia Olet. Bango lenye taswira ya Simba na Mmasai aliyevaa lubega la miraba; kifua wazi na mkuki mkononi. Maneno yalisema burudani itakuwa Jumamosi tarehe 29 Agosti kuanzia tano asubuhi hadi mbili usiku. Kiingilio bure.

 

11 years ago

Michuzi

semina ya mkakati wa Rasimu ya mawasiliano ya Mazingira endelevu kwa ukuaji wa uchumi na kupunguza umaskini Tanzania

 Wadau wa Taasisi mbalimbali wakisikiliza na kutoa maoni ya Rasimu ya kwanza ya mkakati wa Mawasiliano ya  Mazingira Endelevu wa Ukuaji wa Uchumi na Kupunguza Umaskini Tanzania. . katika Ukumbi wa NIMRI  Mkurugenzi Msaidi wa Ofis ya Makamu wa Raisi Idara ya Mazingira Bi Magdalena J.Mtenga (wa kwanza kushoto) akifunguwa rasmi Semina ya Rasimu ya kwanza ya  Mkakati wa Mawasiliano ya  Mazingira  Endelevu wa ukuaji wa  u chumi na kupunguza Umaskini  Tanzania. na kulia ni Alhaji.Selemani...

 

11 years ago

Michuzi

semina ya mkakati wa Rasimu ya mawasiliano ya Mazingira endelevu kwa ukuaji wa uchumi na kupunguza umaskini Tanzania yafanyika leo

Mkurugenzi Msaidi wa Ofis ya Makamu wa Raisi Idara ya Mazingira Bi Magdalena J.Mtenga (wa kwanza kushoto) akifunguwa rasmi Semina ya Rasimu ya kwanza ya Mkakati wa Mawasiliano ya Mazingira Endelevu wa ukuaji wa u chumi na kupunguza Umaskini Tanzania. na kulia ni Alhaji.Selemani Kisimbo ni Kaimu Mkurungezi wa Idara ya Mazingira na wadau wa Taasisi mbalimbali. wadau wa Taasisi mbalimbali wakisikiliza na kutoa maoni ya Rasimu ya kwanza ya mkakati wa Mawasiliano ya Mazingira Endelevu wa...

 

9 years ago

Michuzi

5 years ago

Michuzi

MAMLAKA ZA MAJI ZITUMIE WATAALAMU KUTOKA NDANI ILI KUPUNGUZA GHARAMA

Waziri wa Maji Prof Makame Mbarawa akizungunza na watendaji wa maji kutoka Mamlaka za  DAWASA na RUWASA wakati wa ziara yake ya kutembelea miradi ya maji ndani ya Mji wa Kisarawe.

Na Zainab Nyamka, Globu ya JamiiMamlaka za maji nchini zimetakiwa kuanza kutumia wataalamu wa ndani katika ujenzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo nchini.
Waziri wa Maji Prof Makame Mbarawa amesema sasa hivi mamlaka zote zinatakiwa zianze kutumia wataalamu kutoka ndani ili zipunguze gharama za ujenzi.
Amesema hayo...

 

10 years ago

Mwananchi

Kutoka ‘hausigeli’ hadi kumiliki maduka London (1)

Jina la Flora Lyimo au Mbuta Nanga limekuwa maarufu katika mitaa ya Oxford inayosifika kwa kuwa na wabunifu wakubwa duniani, jijini London nchini Uingereza.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani