TUTUMIE PICHA YA TUKIO KATIKA GLOBAL WHATSAPP +255 753 715 779
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/826oIv68XghM2u82XM2lwLH4ZwCz3mjN760PspAojkcyUhCK5R3zV8F-2op5Hxie5j*GETUmB5UcrVodmv33yt5VzYdJ1NEm/NICOOOOOO.jpg?width=750)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zCV6O6VKkHx5B9NhJKfqyM6kbVfnQ-SHim14m6pIgUHyvmJJe5HqKSF4co57fn6C-vb2yGWsnrouXlBYrxHDfk-ZylbkmnWi/wats.jpg?width=650)
9 years ago
Dewji Blog23 Dec
Katibu Mkuu wa WHUS, Prf. Elisante Ole Gabriel katika picha tukio la kumuaga Mkurugenzi wa Idara ya Utamaduni Profesa Hermas Mwansoko
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel akifungua Mhadhara wa ukuzaji Kiswahili kupitia tafsiri ulioandaliwa na Mkurugenzi wa Idara ya Utamaduni Profesa Hermas Mwansoko katika hafla ya kumuaga Mkurugenzi huyo anayemaliza muda wake wa utumishi wa umma.(Picha zote na Benjamin Sawe-WHUSM).
Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo Profesa Elisante Ole Gabriel akipokea rasimu ya awali ya ukuzaji wa Kiswahili kupitia Tafsiri ikiwa ni...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-8pE-7qbNc2M/Uu_q0MbdNJI/AAAAAAAFKtg/gsyZn_s79Ig/s72-c/IMG_1080.jpg)
tukio la kihistoria, JK apiga picha na ma-bloggers, mpiga picha ni kinana
![](http://2.bp.blogspot.com/-8pE-7qbNc2M/Uu_q0MbdNJI/AAAAAAAFKtg/gsyZn_s79Ig/s1600/IMG_1080.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-_ZSTNFVic7w/Uu_q1ViZuZI/AAAAAAAFKtk/_Mrav64BmG4/s1600/IMG_1084.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/h2SvCI1KJvPy8hjJCNdjd8IskEyD5EdyPe8Nm-hIAPBUaQajYvBfhSWUy9wrtfGjZCd1OOxYXr287KReZK4FqclrW8GxM4Ah/GlobalWatsApp.jpg?width=650)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--BgOUAPyML4/UykU8QrcZzI/AAAAAAACc5E/pZAzpsrKNZw/s72-c/New+Picture+(10).png)
PICHA ZA TUKIO LA TUZO YA MWANAMAKUKA AWARDS 2014
![](http://4.bp.blogspot.com/--BgOUAPyML4/UykU8QrcZzI/AAAAAAACc5E/pZAzpsrKNZw/s1600/New+Picture+(10).png)
Bi Jane Matinde, Ofisa wa maosiano wa Airtel, akikabidhi hundi ya udhamini ya million tano, kwa mwenyekiti wa UWF, Unity Of Women Friends Bi.Mariam Shamo,mwishoni Kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa benki ya Wanawake,Bi Magreth Chacha.Hafla hiyo iliofana kwa kiasi kikubwa ilifanyika kwenye kiota cha maraha cha Escape One,Mikocheni jijini Dar mwishoni mwa wiki.
![](http://2.bp.blogspot.com/-XKcO7FuvqPQ/UykS2U5br_I/AAAAAAACc4c/Ld8VW6Yt1d0/s1600/New+Picture+(5).png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-toLwYceeN9w/UykTG3pxDJI/AAAAAAACc4k/e1KI9j7Yvhk/s1600/New+Picture+(6).png)
10 years ago
Dewji Blog27 Oct
Picha za tukio la kuuwawa kwa Fisi mjini Singida ziko hapa!
![DSC01597](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC01597.jpg)
![DSC01600](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC01600.jpg)
![DSC01604](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC01604.jpg)
10 years ago
Habarileo06 Dec
Wawili wajeruhiwa na polisi katika tukio la fumanizi
VIJANA wawili wakazi wa mji wa Kahama mkoani Shinyanga wamelazwa katika Hospitali ya Wilaya ya Kahama baada ya kupigwa na polisi wa Kituo Kikuu cha Wilaya, waliokuwa wakimwokoa askari mwenzao aliyefumaniwa akiwa na mke wa mmoja wa vijana hao kwenye hoteli moja mjini hapa.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-u2i2RN9rNfw/VMJnFqCEm2I/AAAAAAAG_LY/IaQD5wuNF60/s72-c/unnamed%2B(24).jpg)
Wawili watiwa mbaroni katika tukio la Ujambazi,Darajani Zanzibar mchana wa leo
Inadaiwa kuwa watuhumiwa hao walikua watatu na walitaka kuiba katika maduka na mawakala wa huduma za pesa yaliyopo eneo la Mnazi,baada ya kushtukiwa walikimbia na kufukuzana na Polisi hadi katika maeneo ya Darajani ndipo wananchi kwa kushirikiana na polisi wakawadhibiti na...