Wawili wajeruhiwa na polisi katika tukio la fumanizi
VIJANA wawili wakazi wa mji wa Kahama mkoani Shinyanga wamelazwa katika Hospitali ya Wilaya ya Kahama baada ya kupigwa na polisi wa Kituo Kikuu cha Wilaya, waliokuwa wakimwokoa askari mwenzao aliyefumaniwa akiwa na mke wa mmoja wa vijana hao kwenye hoteli moja mjini hapa.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili12 Mar
Polisi wawili wajeruhiwa mjini Ferguson
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-u2i2RN9rNfw/VMJnFqCEm2I/AAAAAAAG_LY/IaQD5wuNF60/s72-c/unnamed%2B(24).jpg)
Wawili watiwa mbaroni katika tukio la Ujambazi,Darajani Zanzibar mchana wa leo
Inadaiwa kuwa watuhumiwa hao walikua watatu na walitaka kuiba katika maduka na mawakala wa huduma za pesa yaliyopo eneo la Mnazi,baada ya kushtukiwa walikimbia na kufukuzana na Polisi hadi katika maeneo ya Darajani ndipo wananchi kwa kushirikiana na polisi wakawadhibiti na...
9 years ago
BBCSwahili13 Dec
Polisi 70 wajeruhiwa katika maandamano Ujerumani
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-IU7PpvYZ-W4/VDPVUnwxnoI/AAAAAAAGoe8/-7UNVchPrFA/s72-c/unnamed%2B(79).jpg)
JESHI LA POLISI MKOA WA DODOMA LAIMARISHA ULINZI KATIKA TUKIO KUKABIDHI RASIMU YA KATIBA KWA MH. RAIS
![](http://2.bp.blogspot.com/-IU7PpvYZ-W4/VDPVUnwxnoI/AAAAAAAGoe8/-7UNVchPrFA/s1600/unnamed%2B(79).jpg)
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi DAVID MISIME - SACP ameeleza kuwa kutokana na tukio la kihistoria ambalo litafanyika tarehe 08/10/2014 ambapo Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. JAKAYA MRISHO KIKWETE na Mh. Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dr. ALLY MOHAMED SHEIN watakabidhiwa Rasimu ya Katiba inayopendekezwa, ulinzi umeimarishwa katika maeneo yote ya Mkoa wa Dodoma hususani Dodoma Mjini.
Kamanda...
10 years ago
MichuziASKARI WANNE WA JESHI LA POLISI NA RAIA WATATU WAPOTEZA MAISHA KATIKA TUKIO LA UJAMBAZI JIJINI DAR
11 years ago
Tanzania Daima10 Jan
Wawili wafa, wengine wajeruhiwa
WATU wawili wamefariki dunia akiwamo mtoto na wengine kujeruhiwa kwa mapanga katika matukio tofauti yaliyotokea katika Wilaya za Tarime na Rorya mkoani Mara. Akielezea matukio hayo jana, Kaimu Kamanda wa...
11 years ago
Habarileo06 Feb
Wawili wafa, 40 wajeruhiwa ajali ya basi
WATU wawili akiwemo mtoto wa miezi sita wamekufa na wengine 40 kujeruhiwa katika ajali ya barabarani, iliyolihusisha basi la Zuberi katika eneo la Tumaini Nkuhi kwenye barabara kuu ya Singida - Dodoma.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-lNhxptZ_Ipo/VBmKMrGFRhI/AAAAAAAGkF0/OfHYhPBUaOE/s72-c/unnamed%2B(59).jpg)
WAWILI WAFARIKI, WATANO WAJERUHIWA AJALINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-lNhxptZ_Ipo/VBmKMrGFRhI/AAAAAAAGkF0/OfHYhPBUaOE/s1600/unnamed%2B(59).jpg)
WATU wawili wamefariki dunia na wengine watano wamejeruhiwa baada ya magari mawili likiwemo basi dogo la abiria waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso.
Kwa mujibu wa kaimu kamanda wa polisi mkoani Pwani Athuman mwambalaswa alisema kuwa tukio hilo lilihusisha gari aina ya Coaster likitokea kwenye msiba Musoma kwenda Jijini Dar es Salaam na kugongana na lori la mafuta.
Kamanda Mwambalaswa alisema kuwa ajali hiyo ilitokea Septemba 17 mwaka huu majira ya saa 12:15...