Polisi wawili wajeruhiwa mjini Ferguson
Polisi wawili wamejeruhiwa mjini Ferguson kulikotokea mauaji dhidi ya Kijana mweusi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo06 Dec
Wawili wajeruhiwa na polisi katika tukio la fumanizi
VIJANA wawili wakazi wa mji wa Kahama mkoani Shinyanga wamelazwa katika Hospitali ya Wilaya ya Kahama baada ya kupigwa na polisi wa Kituo Kikuu cha Wilaya, waliokuwa wakimwokoa askari mwenzao aliyefumaniwa akiwa na mke wa mmoja wa vijana hao kwenye hoteli moja mjini hapa.
11 years ago
Tanzania Daima10 Jan
Wawili wafa, wengine wajeruhiwa
WATU wawili wamefariki dunia akiwamo mtoto na wengine kujeruhiwa kwa mapanga katika matukio tofauti yaliyotokea katika Wilaya za Tarime na Rorya mkoani Mara. Akielezea matukio hayo jana, Kaimu Kamanda wa...
11 years ago
Habarileo06 Feb
Wawili wafa, 40 wajeruhiwa ajali ya basi
WATU wawili akiwemo mtoto wa miezi sita wamekufa na wengine 40 kujeruhiwa katika ajali ya barabarani, iliyolihusisha basi la Zuberi katika eneo la Tumaini Nkuhi kwenye barabara kuu ya Singida - Dodoma.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-lNhxptZ_Ipo/VBmKMrGFRhI/AAAAAAAGkF0/OfHYhPBUaOE/s72-c/unnamed%2B(59).jpg)
WAWILI WAFARIKI, WATANO WAJERUHIWA AJALINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-lNhxptZ_Ipo/VBmKMrGFRhI/AAAAAAAGkF0/OfHYhPBUaOE/s1600/unnamed%2B(59).jpg)
WATU wawili wamefariki dunia na wengine watano wamejeruhiwa baada ya magari mawili likiwemo basi dogo la abiria waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso.
Kwa mujibu wa kaimu kamanda wa polisi mkoani Pwani Athuman mwambalaswa alisema kuwa tukio hilo lilihusisha gari aina ya Coaster likitokea kwenye msiba Musoma kwenda Jijini Dar es Salaam na kugongana na lori la mafuta.
Kamanda Mwambalaswa alisema kuwa ajali hiyo ilitokea Septemba 17 mwaka huu majira ya saa 12:15...
10 years ago
Mwananchi17 Apr
19 wafariki ajalini mbeya, wawili wajeruhiwa vibaya
10 years ago
Mwananchi31 Jan
Kimbunga chaua wawili, 30 wajeruhiwa kisiwani Goziba
11 years ago
Mwananchi03 Apr
Lori la mafuta lalipuka Dar, wawili wajeruhiwa
10 years ago
Dewji Blog22 Aug
Wawili wapoteza maisha na 52 wajeruhiwa ajali ya basi Singida
Askari wa usalama barabarani wilaya ya Ikungi, akikagua basi la kampuni ya KISBO, T.534 CHX baada ya kupinduka katika eneo la kijiji cha Kambi ya mkaa kata ya Issuna wilaya ya Ikungi na kusababisha vifo vya watu wawili na kujeruhi wengine 52.
Na Nathaniel Limu, Singida
ABIRIA wawili wamefariki dunia na wengine 52 kujeruhiwa vibaya baada ya basi walilokuwa wakisafiria kupasuka tairi la mbele kulia na kuacha barabara na kisha kupinduka.
Basi lililohusika na ajali hiyo ni T.534 CHX aina ya...
10 years ago
BBCSwahili05 Mar
Ferguson:Meya awaadhibu Polisi