Kufeli ni ajali, maisha lazima yaendelee
Elimu ni silaha muhimu katika kupambana na changamoto za maisha. Hawakukosea waliosema kuwa “elimu ni ufunguo wa maisha†kwani mtu anapokuwa na elimu ya kutosha, siyo tu atakuwa katika nafasi nzuri ya kupata ajira, bali atapambana na mazingira yake ili kupata maisha bora.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog18 Oct
Wanafunzi waaswa kutokufaulu kidato cha nne, sio kufeli maisha
Rais wa shirikisho la wachimba madini Tanzania na mgeni rasmi wa mahafali ya sita ya shule ya sekondari kata Mandewa,John Bina,akizungumza kwenye mahafali hayo. Kulia ni mwenyekiti wa bodi ya shule ya sekondari ya Mandewa.Bahati Shagama na kushoto ni mkuu wa wa shule hiyo, Margreth Missanga.
Na Nathaniel Limu, Singida
RAIS wa shirikisho la wachimba madini Tanzania, John Bina amewataka wanafunzi ambao hawatafaulu mtihani wa kidato cha nne mwaka huu,wasikate tamaa kwa madai kwamba yapo...
9 years ago
Global Publishers28 Dec
Umeumizwa, acha yapite, maisha lazima yasonge-2
Hongera sana mpenzi msomaji kwa kuifikia, kuifurahia na kuimaliza Sikukuu ya Krismasi vizuri ni jambo jema sana na la kumshukuru Mungu.
Niwape faraja na tumaini jipya wale wote wanaofunguka kutokana na makala za uhusiano kupitia safu yetu hii pendwa ya XXLove.
Yafuatayo ni sehemu ya maoni yenu wapenzi wasomaji yaliyotokana na mada yetu ya wiki iliyopita ya ‘Umeumizwa, Acha Yapite, Maisha Yasonge’.
MSOMAJI WA MBEZI BEACH, DAR
Mada nzuri sana, inafundisha, mimi ni mfano; nilikuwa na mchumba...
9 years ago
Global Publishers21 Dec
Umeumizwa, acha yapite, maisha lazima yasonge
Kujuliana hali ni jadi yetu. Uhali gani mpenzi msomaji wangu? Ni Jumatatu nyingine murua iliyojaa mishemishe za maandalizi ya Sikukuu ya Krismasi, nami nakutakia maandalizi na mnuso mwema.
Wadau wangu, katika mapenzi haijalishi umeumizwa kwa namna gani, iwe kwa kutukanwa, kufumaniwa, kupigwa, kunyanyaswa, kejeli na kila aina ya kuumizwa na mpenzi wako uliyempenda, amini nakuambia, ulipaswa uumie hivyo ili ujifunze au ung’amue kitu f’lani katika ulimwengu wa mapenzi.
Yakupasa pia kuamini kuwa...
10 years ago
Bongo525 Aug
Dully Sykes: Promota anayetaka kunipandisha ndege lazima tuandikishane kwenye bima ya maisha
9 years ago
Dewji Blog06 Oct
Tutumie lifti za majengo makubwa na marefu kistaarabu kuepuka ajali zisizo za lazima!
Moja ya batani za lifti
Na Andrew Chale, Modewjiblog
[TANZANIA] Jiji la Dar es Salaam ni miongoni mwa majiji makubwa katika bara la Afrika huku likiwa ni miongoni mwa majiji yanayoendelea kukuwa kwa kasi hasa katika nyanja za kiuchumi, biashara na ukuaji wa watu kila kukicha huku majengo makubwa na marefu ya makazi na kibiashara nayo yakishamili kila kukicha.
Tunaamini kuwa ukuaji wa majengo marefu na makubwa tukizoea kuyaita magorofa kama yanavyofahaamikaa katika majengo haya yamekuwa...
11 years ago
Habarileo12 Mar
Ajali zakatisha maisha ya watu 3
WATU watatu wamekufa katika matukio matatu jijini Dar es Salaam, likiwemo la mtembea kwa miguu Mwalimu Yusuph (50) aliyekufa baada ya kugongwa na pikipiki.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-sqVwVUM2UZI/VSw6fQ3FTUI/AAAAAAAC_vU/Yv5gBgf07Pc/s72-c/11150318_461846750638323_9138966873478764606_n-1.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-Np9vIOQqNHY/VQwSwGCxA7I/AAAAAAADc_o/vlerwsCZtW0/s72-c/1013e9158825afb55db2653569f9242e.jpg)
AJALI YA MIKUMI WATU 7 WALIPOTEZA MAISHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Np9vIOQqNHY/VQwSwGCxA7I/AAAAAAADc_o/vlerwsCZtW0/s1600/1013e9158825afb55db2653569f9242e.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-KY6P0dRpy60/VQwSwYT8_eI/AAAAAAADc_s/DN3LU_9Shig/s1600/a0511b398de67148da44db1aabbb7ebc.jpg)
Ajali hiyo ilitokea jana saa 6:45 mchana, baada ya basi la Msanga Line linalosafiri Dar es Salaam kwenda Mahenge, wilayani Ulanga, Morogoro kugongana na basi la Luwinzo lililokuwa linatoka Njombe kwenda Dar...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8pnqwPqNt2MYWvITk*2W38eghaQzwgelnNB3JBvep*JB6M62IOH6pAbenFNG1Bl*sGV5YUXFgSY1vG*wErrKOG9hGMHY8guR/ajali.jpg?width=650)
42 WAPOTEZA MAISHA KATIKA AJALI PAKISTAN