AJALI YA MIKUMI WATU 7 WALIPOTEZA MAISHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Np9vIOQqNHY/VQwSwGCxA7I/AAAAAAADc_o/vlerwsCZtW0/s72-c/1013e9158825afb55db2653569f9242e.jpg)
Ajali ya mabasi iliyotokea jana Mikumi
Watu saba wamefariki dunia na wengine zaidi ya 48 kujeruhiwa vibaya baada ya basi la Msanga Line walilokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na basi la Luwinzo katika eneo la hifadhi ya taifa ya Mikumi, wilaya Kilosa, Morogoro.
Ajali hiyo ilitokea jana saa 6:45 mchana, baada ya basi la Msanga Line linalosafiri Dar es Salaam kwenda Mahenge, wilayani Ulanga, Morogoro kugongana na basi la Luwinzo lililokuwa linatoka Njombe kwenda Dar...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi06 Sep
11 years ago
Habarileo12 Mar
Ajali zakatisha maisha ya watu 3
WATU watatu wamekufa katika matukio matatu jijini Dar es Salaam, likiwemo la mtembea kwa miguu Mwalimu Yusuph (50) aliyekufa baada ya kugongwa na pikipiki.
11 years ago
Mwananchi06 Jan
Watu saba wapoteza maisha katika ajali
11 years ago
MichuziAJALI YA MAGARI MAWILI NA PIKIPIKI YAPOTEZA MAISHA YA WATU WAWILI.
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
10 years ago
CloudsFM23 Dec
HII NDIYO AJALI ILIYOPOTEZA MAISHA YA WATU TISA MBEYA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bgWZynVz*oVl3P0yRcPXcGYMQwdFZSLV-nApwwalP2qKpo9FhVo*1JMyAkbUpMZqDkVKuyWBK5WKlsd53H6zSlo0RTYlkIwW/IMG20150417WA0004copy.jpg?width=650)
AJALI IMETOKEA JIJINI MBEYA, ZAIDI YA WATU 20 WAMEDAIWA KUPOTEZA MAISHA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-liRPgfGBLTU/VBCIK2wNx9I/AAAAAAAAoZs/cudZXKAUMFA/s72-c/IMG-20140909-WA0001.jpg)
watu wili wadaiwa kupoteza maisha kufuatia ajali ya basi la Ruksa
![](http://3.bp.blogspot.com/-liRPgfGBLTU/VBCIK2wNx9I/AAAAAAAAoZs/cudZXKAUMFA/s1600/IMG-20140909-WA0001.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-5kfPPFC6uL0/VBCIJ48jarI/AAAAAAAAoZk/2xf9KhhTnaA/s1600/IMG-20140909-WA0038.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-SmtI5hXSqJk/VBCIQ9aN0dI/AAAAAAAAoaE/q_8oAoLJyas/s1600/IMG-20140908-WA0047.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-wxvgi3NTzMk/U5gsh3OGlXI/AAAAAAAFpwA/AGX3nseXeZI/s72-c/azjh+(435).jpg)
Watu watatu wapoteza maisha na wengine kujeruhiwa katika ajali ya magari mawili
![](http://1.bp.blogspot.com/-wxvgi3NTzMk/U5gsh3OGlXI/AAAAAAAFpwA/AGX3nseXeZI/s1600/azjh+(435).jpg)
Watu watatu wamefariki Dunia baada ya Magari mawili yenye tela kila moja kuacha njia na kupinduka na kufasabisha vifo vya watu hao na kujeruhi wengine wawili katika ajali iliyotokea Jana Huko Tarafa ya Rondo wilaya ya Lindi Mkoani Lindi.
Ajali hiyo Iliyohusisha gari aina ya HOWO lenye Usajili T270BZU na Tela na T260AZU Pamoja na Lori aina HOWO T871 BTH Tela T 626 BTT yote yaliacha njia
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Lindi kamishna msaidizi Renatha Mzinga amethibitsha...
11 years ago
Bongo524 Jul
Simu za abiria waliopoteza maisha kwenye ajali ya ndege ya MH17 zinapokelewa na watu walioziiba