Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HII NDIYO AJALI ILIYOPOTEZA MAISHA YA WATU TISA MBEYA

Watu tisa kati yao wanaume saba na wanawake wawili wamefariki dunia baada ya gari waliokuwa wakisafiria lenye namba za usajili t.203 ARZ aina ya Toyota Coaster lililokuwa likiendeshwa na dereva John Emanuel (36) mkazi wa Mlowo-Mbozi likiwa linatokea mjini Mbeya kwenda Tunduma wakati akijaribu kulipita gari lenye namba T.789 AZL/T.123 AXV aina ya Tata truck eneo ambalo kuna mlima na mbele yake kuna kona lilitokea gari T.903 CVF aina ya tata basi hivyo dereva wa coaster kulazimika kuingia...

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

MAALIM SEIF AITEMBELEA NA KUIFARIJI FAMILIA ILIYOPOTEZA WATU TISA KATIKA AJALI YA MOTO BUGURUNI JIJINI DAR ES SALAAM

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akimsalimia na kumpa pole Bw. Massoud Matta aliyepoteza familia yake ya watu tisa akiwemo mkewe na watoto wake wanne kutokana na ajali ya moto iliyotokea Buguruni Malapa jijini Dar es Salaam. Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akimsalimia na mmoja wa wanafamilia ya Bw. Massoud Matta aliyepoteza familia yake ya watu tisa akiwemo mkewe na watoto wake wanne kutokana na ajali ya moto iliyotokea...

 

11 years ago

GPL

GLOBAL NEWS: AJALI MBAYA YA BASI LA SUMRY ILIYOPOTEZA MAISHA YA WATANZANIA MKOANI SINGIDA

AJALI mbaya ya basi la Sumry iliyopoteza roho za Watanzania huko mkoani Singida mwanzoni mwa wiki hii. Watu 19 mpaka sasa wameripotiwa kupoteza maisha kutokana na ajali hiyo. Ungana na mtangazaji wako Joseph Shaluwa kutoka Global TV Online, kuona hali ilivyokuwa eneo la ajali…

 

10 years ago

GPL

AJALI IMETOKEA JIJINI MBEYA, ZAIDI YA WATU 20 WAMEDAIWA KUPOTEZA MAISHA

Baadhi ya wakazi wa jirani na eneola tukio wakitazama gari lilivyopata ajali kando kando ya mto Kiwira.

Wananchi wa Kiwira wakienda kuangalia ajali hiyo.

Wananchi wa Kiwira wakiangalia baadhi ya Miili ya Watu waliopoteza maisha kwenye ajali hiyo. Taarifa iliyoifikia Globu ya Jamii hivi punde toka Wilayani Rungwe,…

 

10 years ago

Michuzi

BREAKING NYUZZZZZ....: AJALI NYINGINE YATOKEA JIJINI MBEYA LEO, ZAIDI YA WATU 20 WADAIWA KUPOTEZA MAISHA

Taarifa iliyoifikia Globu ya Jamii hivi punde toka Wilayani Rungwe, Jijini Mbeya inaeleza kuwa Basi dogo aina ya Toyota Hiace imetumbukia kwenye Mto Kiwira mapema leo na inadaiwa kuwa zaidi ya watu 20 waliokuwepo kwenye basi hilo wamepoteza Maisha.
Kwa mujibu wa mtoa taarifa, amesema kwamba ajali hii imetokea wakati Mabasi yafanyayo safari zake kati ya Mbeya na Kyela (maarufu kama Coaster) kugoma kutoa huduma ya kusafirisha abiria katika maeneo hayo, hivyo baadhi ya hiace za mjini kuamua...

 

10 years ago

Michuzi

SALAMU ZA RAMBIRAMBI KWA RAIS JAKAYA M.KIKWETE NA WAZIRI WA UCHUKUZI MHE MWAKYEMBE NA MKUU WA MKOA WA MARA KWA AJALI MBAYA YA BASI ILIYOPOTEZA MAISHA YA WATANZANIA ZAIDI YA 40


Chama cha Ujenzi wa Taifa cha NRA ,(National Reconstruction Alliance); kinatoa salamu za pole/rambirambi kwa Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mhe Jakaya Kikwete, Waziri za Uchukuzi, Mkuu wa mkoa wa Mara na Wafiwa kwa ajali mbaya ya Basi iliyopelekea kupotea kwa maisha ya watanzania zaidi ya 40, akiongea kwa njia ya simu akiwa katika ziara ya kikazi mkoani  kigoma Naibu KATIBU MKUU NA KATIBU MKUU wa BODI ya chama Mhe Hassan Kisabya (pichani) , ametoa salamu hizo kwa niaba ya Chama...

 

10 years ago

CloudsFM

HII NDIYO AJALI YA ILIYOUA MAOFISA WA BOT WALIOFARIKI,MWANZA.

MAOFISA wawili wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT) waliokuwa wakisafirisha fedha kutoka Mwanza kuelekea Shinyanga, wamefariki dunia baada ya ajali ya gari walilokuwa wakisafiria kupata ajali.Chanzo cha ajali hiyo kimeelezwa ni baada ya gari hilo lililokuwa likiongoza msafara wa magari ya BOT kupinduka baada ya kumgonga mwendasha pikipiki.Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Valentino Mlowola, alisema ajali hiyo ilitokea jana saa 7:45 mchana katika barabara ya Mwanza - Shinyanga, eneo la Bohari, kata...

 

11 years ago

Habarileo

Ajali zakatisha maisha ya watu 3

WATU watatu wamekufa katika matukio matatu jijini Dar es Salaam, likiwemo la mtembea kwa miguu Mwalimu Yusuph (50) aliyekufa baada ya kugongwa na pikipiki.

 

11 years ago

Michuzi

WAWILI WAPOTEZA MAISHA NA WENGINE TISA MAJERUHI KATIKA AJALI MBILI TOFAUTI MOJA IKIHUSISHA GARI LILILOBEBA WANAHABARI WA MBONI SHOW MKOANI DODOMA.

Na Sylvester Onesmo  wa Jeshi la Polisi, Dodoma.
Watu wawili wamepoteza maisha kutokana na ajali mbili zilizotokea katika maeneo mawili tofauti na nyakati tofauti Mkoani Dodoma.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP (pichani) ameeleza kuwa, ajali ya kwanza ilitokea tarehe 30/05/2014 majira ya saa 18:30hrs katika kijiji cha Ipala Wilaya ya Dodoma ambapo gari lenye namba za usajili DFP 614 Toyota Land Cruiser mali ya chuo cha Serikali...

 

10 years ago

Vijimambo

AJALI YA MIKUMI WATU 7 WALIPOTEZA MAISHA

 Ajali ya mabasi iliyotokea jana MikumiWatu saba wamefariki dunia na wengine zaidi ya 48 kujeruhiwa vibaya baada ya basi la Msanga Line walilokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na basi la Luwinzo katika eneo la hifadhi ya taifa ya Mikumi, wilaya Kilosa, Morogoro.

Ajali hiyo ilitokea jana saa 6:45 mchana, baada ya basi la Msanga Line linalosafiri Dar es Salaam kwenda Mahenge, wilayani Ulanga, Morogoro kugongana na basi la Luwinzo lililokuwa linatoka Njombe kwenda Dar...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani