Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Umeumizwa, acha yapite, maisha lazima yasonge

Stressed-woman-pictureKujuliana hali ni jadi yetu. Uhali gani mpenzi msomaji wangu? Ni Jumatatu nyingine murua iliyojaa mishemishe za maandalizi ya Sikukuu ya Krismasi, nami nakutakia maandalizi na mnuso mwema.

Wadau wangu, katika mapenzi haijalishi umeumizwa kwa namna gani, iwe kwa kutukanwa, kufumaniwa, kupigwa, kunyanyaswa, kejeli na kila aina ya kuumizwa na mpenzi wako uliyempenda, amini nakuambia, ulipaswa uumie hivyo ili ujifunze au ung’amue kitu f’lani katika ulimwengu wa mapenzi.

Yakupasa pia kuamini kuwa...

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Global Publishers

Umeumizwa, acha yapite, maisha lazima yasonge-2

stressed-womanHongera sana mpenzi msomaji kwa kuifikia, kuifurahia na kuimaliza Sikukuu ya Krismasi vizuri ni jambo jema sana na la kumshukuru Mungu.

Niwape faraja na tumaini jipya wale wote wanaofunguka kutokana na makala za uhusiano kupitia safu yetu hii pendwa ya XXLove.

Yafuatayo ni sehemu ya maoni yenu wapenzi wasomaji yaliyotokana na mada yetu ya wiki iliyopita ya ‘Umeumizwa, Acha Yapite, Maisha Yasonge’.

MSOMAJI WA MBEZI BEACH, DAR
Mada nzuri sana, inafundisha, mimi ni mfano; nilikuwa na mchumba...

 

11 years ago

Mwananchi

Kufeli ni ajali, maisha lazima yaendelee

Elimu ni silaha muhimu katika kupambana na changamoto za maisha. Hawakukosea waliosema kuwa “elimu ni ufunguo wa maisha” kwani mtu anapokuwa na elimu ya kutosha, siyo tu atakuwa katika nafasi nzuri ya kupata ajira, bali atapambana na mazingira yake ili kupata maisha bora.

 

10 years ago

Bongo5

Dully Sykes: Promota anayetaka kunipandisha ndege lazima tuandikishane kwenye bima ya maisha

Usafiri wa ndege ndio usafiri wa hara zaidi, lakini kwa Dully Sykes ndio usafiri ambao anaouogopa na kuukwepa katika maisha yake kiasi cha kuwa tayari kukataa show ambayo itamlazimu kupanda ndege. “Sikurogwa wala nini ni tatizo tu linalowatokea watu wengi sio mimi pake yangu”. Dullysykes ameiambia 255 ya XXL ya Clouds FM. Dully amesema promota […]

 

10 years ago

Vijimambo

IBADA YA KUMBUKUMBU NA SHUKURANI YA MAISHA YA MAISHA YA MAREHEMU WILBARD KENTE DMV

Mchungaji Essie Cannon akiongoza ibada ya kumbukumbu na shukurani ya maisha ya marehemu Mr. Wilbard W. Kente aliyefariki February 1, 2015 Tanzania. Ibada ya kumbukumbu ilifanyika katika kanisa la Universal Holiness lililopo Washington, DC nchini Marekani.Deo Mosha akisoma wasifu wa marehemu Mr. Wilbard Kente katika ibada ya kumbukumbu na shukurani iliyofanyika siku ya Jumamosi March 21, 2015 Washington, DC nchini Marekani.Abba Genes akisoma somo.Jerminr Shelukindo akisoma somo.Henry Kente...

 

10 years ago

Bongo5

6 legends; 6 stars; 1 spotlight: Maisha Magic kuja na shindano la muziki ‘Maisha Supastar’

Kituo cha televisheni cha Maisha Magic cha DSTV, kinatarajia kuja na shindano kubwa la kusaka vipaji vya muziki Afrika Mashariki, ‘Maisha Superstar’. “This will be the revolutionary Talent Search Show East Africa has ever had. For the first time viewers will experience the real science behind making a platinum selling music act,” wameandika kwenye website […]

 

9 years ago

Mwananchi

Kamusoko mtamu, we acha tu!

Kiungo wa Yanga, Thabani Kamusoko ‘rasta’ ameonyesha utaalamu uwanjani baada ya kupiga pasi 46 na kutengeneza bao la pili lililofungwa na Amissi Tambwe katika mechi dhidi Tanzania Prisons ambayo Yanga ilishinda 3-0 kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam juzi.

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga bwana, we acha tu

Wakati Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) likisogeza mbele dirisha la usajili, beki mpya wa Yanga, Vincent Bossou, raia wa Togo ametangaza hali ya hatari kwa washambuliaji wa timu pinzani.

 

10 years ago

GPL

ACHA KUSHOBOKEA MAGARI!-2

Kama kawa kama dawa mpenzi msomaji wa safu hii ambayo imekuwa ikikuletea mambo matamu yahusuyo ulimwengu wa wapendanao, leo tunaendelea na sehemu ya mwisho ya mada yetu ambayo tuliianza wiki iliyopita. Kwa sababu ya kupenda kwao magari, vijana wa kike na kiume hujikuta wakiachana na wenza wa ndoto zao ambao wangeweza kutengeneza wote maisha, badala yake wanakimbilia kwa mapedeshee au mashugamami ambao kimsingi hawawi na mapenzi...

 

10 years ago

GPL

ACHA KUSHOBOKEA MAGARI!

MAISHA yana-badilika kwa kasi sana kwani kadiri siku zinavyokwenda, mapenzi yamebadilika kutoka katika upendo hadi kuwa kitu ambacho kwa mujibu, asilimia kubwa ni fedha. Watu hawavutiki tena katika uhusiano wa kimapenzi kwa sababu ya kuthamini na kupenda , bali kwa kutazama kitu kutoka kwa anayehitaji na magari yanatajwa kuwa ulimbo mkali unaowanasa vijana wengi. Jamii tunayoishi hivi sasa imezoea kuona wanawake wakiwa ndiyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani